Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.
Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.
Wewe kupata kura moja na kushindwa na novice kwenye siasa sio bad luck?. Kabla hujashauri mtu jiangalie wewe kwanza je unastahili kushauri mtu?. Yani wewe umeshindwa kwenye ndoa utashauri nini kwenye ndoa?.
First succeed in politics and then provide political advice to chadema, huwezi kupata kura moja kwenye kura za maoni harafu ujione wa muhimu kuliko CHADEMA.
Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepoteza dira, kimepotea njia, na hakina mwelekeo, hivyo kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.
Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.
Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.
Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wenzetu wengi kwenye complex issues kama hii, ni uelewa mdogo!, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.
Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Wanabodi, Shurti la Mgombea Uongozi wa Umma, Kudhaminiwa na Chama cha Siasa ni Sheria Mbovu, ni... Kinyume cha Katiba, Kinyume cha Universal Declaration of Human Rights Kinyume cha The United Nations Human Rights Committee, Kinyume cha African Chatter of People and Political Rights Inaminya...
www.jamiiforums.com
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa
A Way Forward Kwa Chadema
Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, ni sio tuu, hailitambui Bunge, bali pia, hawamtambui Rais wa JMT. Hivyo hawana haja ya kuandika barua popote, na maadam, hawalitambui Bunge, basi iachane na hao wabunge wa Spika. Lakini kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo ionyeshe kuwa Chadema wamefanya due diligence na kubaini majina hayo yamefojiwa, hivyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.
Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, ni mambo ya ndani ya chama, kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, then hao wabunge 19 wa Chadema, hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.
Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.
Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.
Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.
Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.
Nawatakia Jumanne Njema.
Paskali
Update ya Mchango Very Objective
Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.
Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.
Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.
Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.
Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.
Ndugu yangu Mayala, nimeisoma makala yako ndogo ihusuyo ushauri kwa CDM, nimeirudia mara mbili sioni ushauri hapo simply kwa sababu hujui katiba ya vyama vya siasa(especially ya CDM) na katiba ya inchi iliyopo na kwa nini ipo hivyo. Hata wabunge unaowazungumzia wakibaki bungeni CDM haitakufa kama unavyodhani. Kipindi chote cha JPM CDM walibanwa sana hata kwa njia za kuvunja katiba lakini haikufa. Nampongeza sana Rais aliepo madarakani kwani yeye amekuwa na kipaji zaidi yako ndio maana amekaa na wapinzani na kuzungumza nao sio kwamba hajui hawakutambua matokeo. Kutotambua matokeo ni dhana tu tena ya kisiasa kwa nchi zenye katiba kama yetu ambapo matokeo hayapingwi mahakamani. Kwa msingi huo kupinga ni kuonyesha disatisfaction and no further action can be taken. Rais ni rais kwa kufuata katiba hii na CDM na serikali inafahamu hili, kilichofanyika wakati wa uchaguzi kipo wazi wewe hukukiona. CDM ni chama cha siasa kupinga kwao matokeo haukifanyi chama hiki kutotambulika kisheria kama unavyodhani ndio maana Rais na serikali bado inawasiliana nao e.g. Auditing etc. Mayala unaonyesha dalili za kuwa coecive kama JPM alivyokuwa na chance ya kuukosa ushindi kwa stand hiyo ni kubwa sana.
Haya yote uyaonayo ni sarakasi za kubaki madarakani kama ilivyo desturi ya viongozi wa Africa. Marais wa Africa from day one wanapoapa huanza mikakati ya term ijayo planning zote zinaelekezwa hapo kwa kipindi chote cha miaka mitano. Umesikia kilichokubaliwa kwenye kikao cha CCM Dodoma kuhusu katiba? Hizo zote ni sarakasi za 2025. There shall be no serious constitutional amendment in this period mark my word Mayala.
Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.
Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.
Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.
Nimefuatilia Bunge live asubuhi hii, nikiamini jana ile ile kina Mdee wali re lodge upya na kuomba stay orders, huku Chadema wakitembea usiku kucha ili asubuhi nakala ya hukumu ya jana itue mezani kwa Spika, nikidhani Spika atatuambia kinachoendelea kuhusu hatima ya kila Halima Mdee baada ya hukumu ya jana.
Bunge limeendelea kama kawaida as if nothing happened!. Hivyo mpaka hapa ninapoandika, wabunge hao 19 bado ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine, mpaka Spika atangaze vinginevyo.
Hiki ni kikao muhimu sana, na kitakwenda kujenga heshima kubwa kwa Chadema kama chama cha siasa chenye vikao,kinachoendesha mambo yake kwa kufuata katiba yake!. Haiwezekani chama, an established party kukaa kama a kangaroo court na kufanya maamuzi ya kiajabu ajabu !.
P
Hiki ni kikao muhimu sana, na kitakwenda kujenga heshima kubwa kwa Chadema kama chama cha siasa chenye vikao,kinachoendesha mambo yake kwa kufuata katiba yake!. Haiwezekani chama, an established party kukaa kama a kangaroo court na kufanya maamuzi ya kiajabu ajabu !.
P
Mimi ni mwanahabari tuu sio mwanaharakati na japo ni msomi wa sheria level ya LL.B lakini sio Mwanasheria bali ni mtetezi huru wa haki.
Kwa mtu anayeijua katiba ya Chadema, kina Mdee hawajatendewa haki, baada ya kuikosa haki yao Chadema, wamekimbilia mahakamani kutafuta haki yao, ndio kama hivyo kesi imetupwa for legal technicalities and not points of law. Sheria na haki ni vitu viwili tofauti!.
Hapa sasa ndipo mkuu mzee karma anapoingia, kiukweli kabisa karma haina mswalie Mtume!.
P
Mimi ni mwanahabari tuu sio mwanaharakati na japo ni msomi wa sheria level ya LL.B lakini sio Mwanasheria bali ni mtetezi huru wa haki.
Kwa mtu anayeijua katiba ya Chadema, kina Mdee hawajatendewa haki, baada ya kuikosa haki yao Chadema, wamekimbilia mahakamani kutafuta haki yao, ndio kama hivyo kesi imetupwa for legal technicalities and not points of law. Sheria na haki ni vitu viwili tofauti!.
Hapa sasa ndipo mkuu mzee karma anapoingia, kiukweli kabisa karma haina mswalie Mtume!.
P
Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.
Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.
Ndugu yangu Mayala naona umepoteza direction completely. You are demanding neutrality but I do not see it in your words. Waachie wanasiasa wacheze michezo yao, you cannot make sense of their decisions. hard to defend under normal legal means. Narudia Mayala haya yote ni sarakasi za 2025 my friend.
Nimefuatilia Bunge live asubuhi hii, nikiamini jana ile ile kina Mdee wali re lodge upya na kuomba stay orders, huku Chadema wakitembea usiku kucha ili asubuhi nakala ya hukumu ya jana itue mezani kwa Spika, nikidhani Spika atatuambia kinachoendelea kuhusu hatima ya kila Halima Mdee baada ya hukumu ya jana.
Bunge limeendelea kama kawaida as if nothing happened!. Hivyo mpaka hapa ninapoandika, wabunge hao 19 bado ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine, mpaka Spika atangaze vinginevyo.
Nimefuatilia Bunge live asubuhi hii, nikiamini jana ile ile kina Mdee wali re lodge upya na kuomba stay orders, huku Chadema wakitembea usiku kucha ili asubuhi nakala ya hukumu ya jana itue mezani kwa Spika, nikidhani Spika atatuambia kinachoendelea kuhusu hatima ya kila Halima Mdee baada ya hukumu ya jana.
Bunge limeendelea kama kawaida as if nothing happened!. Hivyo mpaka hapa ninapoandika, wabunge hao 19 bado ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine, mpaka Spika atangaze vinginevyo.
Nimeifurahia hii hukumu sana sio kwa sababu Covid 19 wameshindwa no no at all, nimefurahi kwa mahakama at least for once, wamekataa kutokuchanganywa kwenye makandokando ya kisiasa na kumpelekea Spika aamue kazi kwake.
Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepoteza dira, kimepotea njia, na hakina mwelekeo, hivyo kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.
Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.
Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.
Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wenzetu wengi kwenye complex issues kama hii, ni uelewa mdogo!, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.
Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Wanabodi, Shurti la Mgombea Uongozi wa Umma, Kudhaminiwa na Chama cha Siasa ni Sheria Mbovu, ni... Kinyume cha Katiba, Kinyume cha Universal Declaration of Human Rights Kinyume cha The United Nations Human Rights Committee, Kinyume cha African Chatter of People and Political Rights Inaminya...
www.jamiiforums.com
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa
A Way Forward Kwa Chadema
Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, ni sio tuu, hailitambui Bunge, bali pia, hawamtambui Rais wa JMT. Hivyo hawana haja ya kuandika barua popote, na maadam, hawalitambui Bunge, basi iachane na hao wabunge wa Spika. Lakini kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo ionyeshe kuwa Chadema wamefanya due diligence na kubaini majina hayo yamefojiwa, hivyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.
Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, ni mambo ya ndani ya chama, kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, then hao wabunge 19 wa Chadema, hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.
Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.
Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.
Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.
Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.
Nawatakia Jumanne Njema.
Paskali
Update ya Mchango Very Objective
Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.
Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.
Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.
Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.
Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.
Paskali asante sana kwa andiko lako zuri. Kuna suala ambalo lipo wazi, na ni hili hawa " HAWAKUTEULIWA BALI WALIJITEUWA WENYEWE" sina chama wala sipigi kura lakini ule uchaguzi uliona kama ni halali? Haitawahi kutokea ujinga kama ule uliotokea mwaka 2020. Ni uonevu usio na kifani na hauelezeki, kuna mtu mwenye akili timamu anaweza akawatetea hao wabunge 19?
Mkuu karma ni natural huwezi husisha Lissu kupingwa risasi au Mbowe kuporwa mashamba eti karma ya Zitto!! Mbona zitto huyo huyo alifiwa na mama yake mara tu baada ya kutimuliwa CHADEMA ila hamkusema ni karma? Vp zitto kuanguka uchaguzi wa 2015 kwa kuambulia kura laki 1 nchi nzima?? Vipi alikimbiwa na Kamati kuu karibu yote kuanzia kitila mpaka mghwira nayo sio karma??
Tuache subjective analysis!! The winner of this saga was Mbowe and Lissu tena kwa sasa Wana working relationship na CCM tegemea Mdee kufutika au kupewa kesi ya uhujumu uchumi kwa kufoji sign!!!
Nimefuatilia Bunge live asubuhi hii, nikiamini jana ile ile kina Mdee wali re lodge upya na kuomba stay orders, huku Chadema wakitembea usiku kucha ili asubuhi nakala ya hukumu ya jana itue mezani kwa Spika, nikidhani Spika atatuambia kinachoendelea kuhusu hatima ya kila Halima Mdee baada ya hukumu ya jana.
Bunge limeendelea kama kawaida as if nothing happened!. Hivyo mpaka hapa ninapoandika, wabunge hao 19 bado ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine, mpaka Spika atangaze vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.