CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

CHADEMA iko kwenye mioyo ya watu haiko kwenye pesa mkuu.
Hizo ni enzi za real politics, kujiunga na chama fulani ni imani, na mapenzi ya dhati ya moyoni. Enzi hizo fedha ilikuwa sii msingi, ni matokeo. Sasa ni tofauti, fedha ndio kila kitu!. Chadema ilishindwa kuendesha kikao cha Baraza Kuu kutokana na ukata, ingekuwa ni mapenzi ya dhati ya moyoni, wajumbe wa Baraza Kuu wangejitolea!. Mpaka Mama alipookoa jahazi ndipo Baraza Kuu likakutana!. Siasa za sasa pesa ndio kila kitu!.

Mimi ni Pro Nyerere, nimegombea CCM, sikutoa hata senti moja, nikapata kura 1.

Nilimshauri Magufuli kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Na sasa nimemshauri Samia kufuta ruzuku Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee


View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=JO1joEa6GuP3pFAU
P
 
Hizo ni enzi za real politics, kujiunga na chama fulani ni imani, na mapenzi ya dhati ya moyoni. Enzi hizo fedha ilikuwa sii msingi, ni matokeo. Sasa ni tofauti, fedha ndio kila kitu!. Chadema ilishindwa kuendesha kikao cha Baraza Kuu kutokana na ukata, ingekuwa ni mapenzi ya dhati ya moyoni, wajumbe wa Baraza Kuu wangejitolea!. Mpaka Mama alipookoa jahazi ndipo Baraza Kuu likakutana!. Siasa za sasa pesa ndio kila kitu!.

Mimi ni Pro Nyerere, nimegombea CCM, sikutoa hata senti moja, nikapata kura 1.

Nilimshauri Magufuli kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Na sasa nimemshauri Samia kufuta ruzuku Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee


View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=JO1joEa6GuP3pFAU
P

Hahaha unadhani ccm inapata wapi pesa? CCM ruzuku yao kubwa sana kuliko vyama vyote. Pia wanapewa na nchi rafiki au vyama rafiki kama CCP, na Vingine duniani.

Ili hivi vyama viweze kuwepo ruzuku lazima iwepo, vyama vile vya kiukombozi pia vilikuwa vinapata pesa kutoka nchi rafiki. Na mpaka sasa kila chama kina marafiki ndani na nje, ila Chadema walizuiliwa kupokea pesa moja kwa moja, ikatengenezwa kwamba pesa za Chadema kutoka nje zipitie serikali kuu, na mtoaji aseme ni za nini ili chama kisizitumie kwa kazi tofauti. Lakini hii ilikuwa kwa chadema na CUF(enzi hizo).
 
Hahaha unadhani ccm inapata wapi pesa? CCM ruzuku yao kubwa sana kuliko vyama vyote. Pia wanapewa na nchi rafiki au vyama rafiki kama CCP, na Vingine duniani.

Ili hivi vyama viweze kuwepo ruzuku lazima iwepo, vyama vile vya kiukombozi pia vilikuwa vinapata pesa kutoka nchi rafiki. Na mpaka sasa kila chama kina marafiki ndani na nje, ila Chadema walizuiliwa kupokea pesa moja kwa moja, ikatengenezwa kwamba pesa za Chadema kutoka nje zipitie serikali kuu, na mtoaji aseme ni za nini ili chama kisizitumie kwa kazi tofauti. Lakini hii ilikuwa kwa chadema na CUF(enzi hizo).
Aisee,Mungu aliamua ugomvi.
 
Wanabodi,

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa

[*]Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
[*]Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
[*]Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
[/LIST]
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli,
Paskali
Wanabodi,

Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi tuu humu jukwaani kuwa karma ndio the power pekee ambayo hutoa hukumu ya haki hapa duniani, kwenye karma, mtu unaadhibiwa au kuhukumiwa kwa mawazo, maneno na matendo yako, karma haina mswalie Mtume, wala haujui nani ni nani!, kwenye hukumu ya karma, inatembeza bakra za kutosha na adhabu kubwa ya mwisho ya karma huwa ni kula kichwa!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!

Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Nimeliona andiko hili japo sijalisoma its contents lakini hii ni habari njema kwa Chadema View attachment 3064986 kwasababu itawaepushia karma ya machozi, jasho na damu ya makamanda hawa.

Hiki ambacho Chadema inakwenda kukifanya sasa, mimi niliwashauri kitambo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Hata baada ya Chadema kushinda kesi mahakamani kuwa wametimuliwa kihalali, bado tuliwashauri Chadema
Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote!
Na hili la kuwasamehe likija kutokea, mimi ni miongoni mwa tutakao farijika sana kwasababu tulishauri, tukapuuzwa, ila ushauri wetu unatekelezwa step by step Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

Wawasamehe tuu yaishe!.
P
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepoteza dira, kimepotea njia, na hakina mwelekeo, hivyo kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.

Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Paskali
Wanabodi,
Sijitapi ila japo kuna watu we are nobodies, lakini tuna kauli umba!, tukisema jambo linatokea. Mimi ni mmoja wa watu hawa wenye kauli umba "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia

Kwenye bandiko hili nilisema mambo mawili.
1. Makamanda hawa 19 wataendelea na ubunge wao full term!. Hili limetokea makamanda hawa 19 wanaendelea kupeta!.
2. Karma itawatandika Chadema kwenda 6ft under, hili la pili sasa ndio linakwenda kutokea iwapo kesho Mwenyekiti Mbowe, atashupaza shingo kung'ang'ania kutetea kiti chake!.

Tusubirie hiyo kesho, mimi nikiwa miongoni mwa tutakao kuwepo nyumbani kwa Mwenyekiti Mbowe kumsikilikiza ana akiiunganisha nyumba yake kwa kukubali matokeo, kuwa miaka 20 inatosha, ama akiibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!.

Tusubirie hiyo kesho.
Mungu Mbariki Mwenyekiti Mbowe kuuona ukweli!.
Mungu ibariki Chadema.
Mungu ibariki Tanzania.

P.
 
Karma itawatandika Chadema kwenda 6ft under, hili la pili sasa ndio linakwenda kutokea iwapo kesho Mwenyekiti Mbowe, atashupaza shingo kung'ang'ania kutetea kiti chake!.
Hii karma umekuwa ukiitamka dhidi ya Chadema kwa muda mrefu sana ina maana chama hiki tu ndio hukosea? chama chako Ccm au vyama vingine havikosei?

Au ni mbinu ya kuhalalisha wanavyotendewa na watawala kwa kivuli cha karma?
 
Wanabodi,
Sijitapi ila japo kuna watu we are nobodies, lakini tuna kauli umba!, tukisema jambo linatokea. Mimi ni mmoja wa watu hawa wenye kauli umba "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia

Kwenye bandiko hili nilisema mambo mawili.
1. Makamanda hawa 19 wataendelea na ubunge wao full term!. Hili limetokea makamanda hawa 19 wanaendelea kupeta!.
2. Karma itawatandika Chadema kwenda 6ft under, hili la pili sasa ndio linakwenda kutokea iwapo kesho Mwenyekiti Mbowe, atashupaza shingo kung'ang'ania kutetea kiti chake!.

Tusubirie hiyo kesho, mimi nikiwa miongoni mwa tutakao kuwepo nyumbani kwa Mwenyekiti Mbowe kumsikilikiza ana akiiunganisha nyumba yake kwa kukubali matokeo, kuwa miaka 20 inatosha, ama akiibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!.

Tusubirie hiyo kesho.
Mungu Mbariki Mwenyekiti Mbowe kuuona ukweli!.
Mungu ibariki Chadema.
Mungu ibariki Tanzania.

P.
Mhuu huu ni mtazamo wako mzuri, ameshaamua anagombea na amini mimi CDM haitakuwa kwani kushindwa kwa sanduku la kura sii ugomvi uamuzi wa wana CDM. Uchaguzi wa CDM unaakisi struggle za kidini na kisiasa kwani nahisi hata serikali na ccm might have interest in it, they prefer lesser evil.
 
Wanabodi,
Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume, pika pakua!,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!
P
“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”

“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema

View attachment 3201877
P
 
Back
Top Bottom