mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππ½
Aibuuuuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππ½
wewe ni miongoni mwa ID za kimkakati , endelea kutumikishwa tangu 2012
ule uchaguzi wa Mahera wa kura za mabegi ! lazima ung'olewe ubongo ili kuamini
wewe kweli akili huna, enda shule za kata ni bure sasaNi kweli, kuna mambo muhimu kuliko katiba mpya na tume huru, Nitakupa mfano kwa wenzetu. Nchi ya Marekani ina wawezesha wana siasa kupinga matokeo ya uchaguzi kwa kupitia mahakama ila lazima uwe umeshindwa kwa asilimia zisizozidi mbili. Huwezi kushindwa kwa asilimia zaidi ya 80 alafu ukadai kwamba umeshindwa kwasababu tume sio huru au kwamba katiba ni ya zamani.
Tafakari
kweli ujinga ni mwingi bongo, yaani mtu anaadika eti katiba mpya na tume huru sio vitu za muhimu, kweli ukosefu wa elimu ni kitu baya sana, angalia mataifa yote yaliopiga hatua kimaendeleo, wako na kitu moja common, good katiba,anyway wewe ni wanauvccm so enda kapewe kazi ya udc
Katiba mpya haiwa saidii sana wana CHADEMAkweli ujinga ni mwingi bongo, yaani mtu anaadika eti katiba mpya na tume huru sio vitu za muhimu, kweli ukosefu wa elimu ni kitu baya sana, angalia mataifa yote yaliopiga hatua kimaendeleo, wako na kitu moja common, good katiba,anyway wewe ni wanauvccm so enda kapewe kazi ya udc
Utamfananisha Hichilema na hawa wahuni akina Mbowe, Sugu, Mdee, waitara, Gekul, Lema, Heche? Maana hawa wote wapo kapu moja, hamna wa kumzidi mwenzake hapoJapo kuwa huna akili lakini ngoja nikusaidie , Hichilema aliambiwa kama hivi hivi ila leo ni rais wa Zambia
Utamfananisha Hichilema na hawa wahuni akina Mbowe, Sugu, Mdee, waitara, Gekul, Lema, Heche? Maana hawa wote wapo kapu moja, hamna wa kumzidi mwenzake hapo
Nawashangaa zaidi pale wanapomfananisha Mbowe na Mandela. Hawa jamaa (makamanda uchwara) hamnazo.Anamfananisha Hichilema na hawa binadamu matapeli hapaπ€£π€£π€£π€£
CHADEMA 2005 - 2014
View attachment 1928632
View attachment 1928633
Hawapo serious, Hichilema ni mpinzani serious aliyesimamia anachokiamini kwa muda mrefu, he is a real deal! Kwa hapa TZ unaweza kumfananisha na Hayati Maalim pekee, siyo hawa vilaza akina LemaAnamfananisha Hichilema na hawa binadamu matapeli hapaπ€£π€£π€£π€£
CHADEMA 2005 - 2014
View attachment 1928632
View attachment 1928633
Hivi unato.mbwa saangapi we mwanamke ?Anamfananisha Hichilema na hawa binadamu matapeli hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
CHADEMA 2005 - 2014
View attachment 1928632
View attachment 1928633
Ni kweli, kuna mambo muhimu kuliko katiba mpya na tume huru, Nitakupa mfano kwa wenzetu. Nchi ya Marekani ina wawezesha wana siasa kupinga matokeo ya uchaguzi kwa kupitia mahakama ila lazima uwe umeshindwa kwa asilimia zisizozidi mbili. Huwezi kushindwa kwa asilimia zaidi ya 80 alafu ukadai kwamba umeshindwa kwasababu tume sio huru au kwamba katiba ni ya zamani.
Tafakari
Hivi unato.mbwa saangapi we mwanamke ?
Whacking below the belt, very unfortunate.Hivi unato.mbwa saangapi we mwanamke ?
Hawapo serious, Hichilema ni mpinzani serious aliyesimamia anachokiamini kwa muda mrefu, he is a real deal! Kwa hapa TZ unaweza kumfananisha na Hayati Maalim pekee, siyo hawa vilaza akina Lema
Mkuu BAK nyie kwa kutengeneza matukio ili mpate sympathy ya wananchi mpo vizuri sana, unamkumbuka yule jamaa yenu wa Igunga kwenye uchaguzi mdogo mlimmwagia tindikali mkawasingizia CCM ili wananchi wawachukie CCM!! Na uchaguzi wenyewe Kafumu akawamwaga, na mlivyokosa aibu mkawa mnapanda na jamaa kwenye mikutano ya kampeniUnawaogopaje vilaza wa Chadema hadi kukataa uwepo wa katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi ni HURU na wa HAKI? Vilaza ni VILAZA TU sasa inakuwaje maccm yaogope na kufikia kupora chaguzi na kutia vilema Watanzania pia kuwaua? π³π³π³
View attachment 1928636
Chadema bado wana safari ndefu sana......Wana bodi,
NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?. Nafikiri tuki tafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.
Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza