CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Mkuu BAK nyie kwa kutengeneza matukio ili mpate sympathy ya wananchi mpo vizuri sana, unamkumbuka yule jamaa yenu wa Igunga kwenye uchaguzi mdogo mlimmwagia tindikali mkawasingizia CCM ili wananchi wawachukie CCM!! Na uchaguzi wenyewe Kafumu akawamwaga, na mlivyokosa aibu mkawa mnapanda na jamaa kwenye mikutano ya kampeni
Sahihi.....

Mathalani anayoyaongea Lema mitandaoni......

Lema anatengeneza siasa za kuonewa huruma na kuchukiwa CCM na serikali yake kwa kuzusha,kubatilisha ukweli na kuongopa juu ya "KESI iliyoko mahakamani....."

Hakika CHADEMA na siasa za MATUKIO YA KUPANGA....
 
Kupotea Ben Saanane ni tukio la kutengeneza, kuokotwa maiti ufukweni Dar ni tukio la kutengeneza, kupotea kwa Azory ni tukio la kutengeneza. Shambulizi la Lissu miaka minne iliyopita ni la kutengeneza. Kukamatwa kila mara wanachama na Viongozi wa Chadema na kubambikiwa kesi FAKE ná kunyimwa dhamana yote ni matukio ya kutengeneza. Mpuuzi kweli wewe!!!
Mkuu BAK nyie kwa kutengeneza matukio ili mpate sympathy ya wananchi mpo vizuri sana, unamkumbuka yule jamaa yenu wa Igunga kwenye uchaguzi mdogo mlimmwagia tindikali mkawasingizia CCM ili wananchi wawachukie CCM!! Na uchaguzi wenyewe Kafumu akawamwaga, na mlivyokosa aibu mkawa mnapanda na jamaa kwenye mikutano ya kampeni
 
ule uchaguzi wa Mahera wa kura za mabegi ! lazima ung'olewe ubongo ili kuamini
Mabegi yale mliyoyatengeneza kupitia marafiki zenu wa nje ya nchi akina Mark Vog Johnsen ,Sirjyev Ailankapoum na wengineo?!!!

Ile MOVIE mliyoitengeneza hakika INASHANGAZA kwelikweli.....
 
Japo kuwa huna akili lakini ngoja nikusaidie , Hichilema aliambiwa kama hivi hivi ila leo ni rais wa Zambia
Hichilema wa Tanzania ni nani.

Tatizokubwa la vyama vya siasa Tanzania ni kukosa mikakati. Kuanzia miaka ya tisisni tumekuwa tunashangilia nchi nyingine wanapoondoa chama tawala na kujifariji kuwa na sisi zamu yetu inafuata lakini wapi.
(1) Chiluba alimshinda Kaunda tukasema hayo hayo kuwa na sisi twaja.
(2) Bakili Muluzi alimshinda Banda huko Malawi na sisi tukajipa moyo kuwa zamu yetu inafuata,
(3) Kenya waliiondoa KANU madarakani tukashangilia kuwa zamu yetu yaja.
(4) Huko Malawi na Zambia wameshabadilisha vyama mara nyingi tu na kila siku sisi tumekuwa tunajifariji kuwa zamu yetu yaja.

CHADEMA wanategemea kura za watu kuichukia CCM badala ya kutegemea kura za watu kuipenda CHADEMA. Ushindi wa namna hiyo ni mgumu sana

Tutasubiri sana
 
Kupotea Ben Saanane ni tukio la kutengeneza, kuokotwa maiti ufukweni Dar ni tukio la kutengeneza, kupotea kwa Azory ni tukio la kutengeneza. Shambulizi la Lissu miaka minne iliyopita ni la kutengeneza. Kukamatwa kila mara wanachama na Viongozi wa Chadema na kubambikiwa kesi FAKE ná kunyimwa dhamana yote ni matukio ya kutengeneza. Mpuuzi kweli wewe!!!

Mbona umepaniki jombaa?? Una uhakika gani baadhi ya hayo hayajapikwa hapo kiwandani Ufipa? Mlimteka dereva wa Dr. Slaa mkasingizia CCM, stupid
 
Kukwambia ukweli si kupanick zwazwa!!! upumbavu wako ni hasara kubwa kwa Taifa.
Mbona umepaniki jombaa?? Una uhakika gani baadhi ya hayo hayajapikwa hapo kiwandani Ufipa? Mlimteka dereva wa Dr. Slaa mkasingizia CCM, stupid
 
Mengine yaliyopikwa na Chadema haya hapa mpuuzi wewe!!!
Mbona umepaniki jombaa?? Una uhakika gani baadhi ya hayo hayajapikwa hapo kiwandani Ufipa? Mlimteka dereva wa Dr. Slaa mkasingizia CCM, stupid
 
Mengine yaliyopikwa na Chadema haya hapa mpuuzi wewe!!!

Acha ufala, JK mliyemdekea hayupo, JPM kawanyoosha miaka 5, kijiti kapokea Mother, anawanyoosha na ataendelea kuwanyoosha hadi 2030, 2030 anachukua Dr. Nchemba, hapo ndipo maji mtaita mma, Pumbaf
 
Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Tanzania imekuwa ni Taifa lenye Wapumbavu wengi labda kuliko Taifa lolote lile duniani. Eti dhalimu mwendazake KATUNYOOSHA!!! 🤣🤣🤣🤣 Utadhani kuanguka kwa uchumi, elimu, afya, ukosefu wa ajira, kushuka kwa heshima ya Tanzania Africa na duniani kote KUNAWAATHIRI Chadema tu kwa sababu ya ufinyu wa akili yako hujui Watanzania wote wanaathirika bila kujali kama wana vyama, ni Chadema au maccm.
Acha ufala, JK mliyemdekea hayupo, JPM kawanyoosha miaka 5, kijiti kapokea Mother, anawanyoosha na ataendelea kuwanyoosha hadi 2030, 2030 anachukua Dr. Nchemba, hapo ndipo maji mtaita mma, Pumbaf
 
Ni kweli, kuna mambo muhimu kuliko katiba mpya na tume huru, Nitakupa mfano kwa wenzetu. Nchi ya Marekani ina wawezesha wana siasa kupinga matokeo ya uchaguzi kwa kupitia mahakama ila lazima uwe umeshindwa kwa asilimia zisizozidi mbili. Huwezi kushindwa kwa asilimia zaidi ya l
DaudiAiko kawaambia ukweliii, yaani nyie watu buana🤣🤣 miaka30 mnalalamikia tatizo lilelile moja bila kupata ufumbuzi mnategemea tuwape nchi ndio mtaweza tatua matatizo yetu watanzania 60M kweli?? Aiiii hatuwezi chezesha nchi kamari♥️♣️♦️♠️😆😆

Kuendelea kulialia haiwasaidii sana sana mnaoneka hamna mipango ila mna matatizo sugu ya kushindwa kufikiria😃😃😃 Kama siasa imewashinda vile!

Tunaambiwa Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results, acheni kulamika chama hakijengwi kwa maneno ya mitandaoni

Ushauri wa bure tafuteni mtu asiyekua na matakwa binafsi mumpe kazi ya kuwajengea chama maana nyie kwa nyie mlishapewa onyo kwamba SUMU HAIONJWI 😛😛
In 30 years what have you changed!!..Au Una kula na kulala na kwenda kazini tu?!!
 
Acha ufala, JK mliyemdekea hayupo, JPM kawanyoosha miaka 5, kijiti kapokea Mother, anawanyoosha na ataendelea kuwanyoosha hadi 2030, 2030 anachukua Dr. Nchemba, hapo ndipo maji mtaita mma, Pumbaf
Kwani wananyoshwa chadema au watanzania?
 
Chadema bado wana safari ndefu sana......

Si chama chenye kuaminika na Watanzania wa maeneo na kaliba zote (all walks of life).....

Mathalani Hichilema wa Zambia alishinda kwa kuwa na AGENDA za kinchi......Hichilema ameshinda baada ya YEYE binafsi kugombea mara 6....hii ni tofauti na SURA MPYA KILA CHAGUZI KWA WAGOMBEA WA URAIS WA CHADEMA....wao huangalia "popularity" ya wagombea ijapokuwa wana MAKANDOKANDO (this is really a setback).......

Hichilema ameshinda kwa kuwa ndani ya MUUNGANO wa vyama vyenye nguvu na ajenda KUNTU(kuaminika)........

Ukiwaangalia viongozi wa CHADEMA huoni uzalendo wa kweli kwa maslahi mapana ya TAIFA HILI.....

Mwangalie mtetezi wao huko Canada....LEMA...🤣

Mwangalie Tundu Lissu na siasa zake za "mivutano na kukosa staha ya kitanzania....."🤣🤣

Hakika CHADEMA ni ngumu kushinda CHAGUZI kuliko NGAMIA kupita TUNDU LA SINDANO.....

#SiempreJMT
#NchiKwanza
#KaziInaendelea
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Ingekua haiaminiki na watanzania mbona mnatumia Polisi sasa?
 
Mkuu BAK nyie kwa kutengeneza matukio ili mpate sympathy ya wananchi mpo vizuri sana, unamkumbuka yule jamaa yenu wa Igunga kwenye uchaguzi mdogo mlimmwagia tindikali mkawasingizia CCM ili wananchi wawachukie CCM!! Na uchaguzi wenyewe Kafumu akawamwaga, na mlivyokosa aibu mkawa mnapanda na jamaa kwenye mikutano ya kampeni
Na nyie mmemleta Hamza kuzima Tozo!!!
 
Hawapo serious, Hichilema ni mpinzani serious aliyesimamia anachokiamini kwa muda mrefu, he is a real deal! Kwa hapa TZ unaweza kumfananisha na Hayati Maalim pekee, siyo hawa vilaza akina Lema
Maalim nae alikua Mpinzani baada ya kukubali kushirikiana na wauaji
 
Hakika ujinga wa utoton waweza kumalizika lkn ujinga wa ukubwan lazma utakufa nao tu
Mbona umepaniki jombaa?? Una uhakika gani baadhi ya hayo hayajapikwa hapo kiwandani Ufipa? Mlimteka dereva wa Dr. Slaa mkasingizia CCM, stupid
 
Kwahiyo wewe Mbowe ni babaako
Kwa mwenye ufinyu wa akili tu. Ingekuwa Mbowe au lissu ni babaako au Kakaako usingeandika upuuzi kama huu. Wewe ndiyo wale wa mkuki ni mtamu kwa nguruwe.
 
Huwezi kumlinganisha Hichilema na wanaojiita viongozi wa chadema waliojawa uchu, ubinafsi na ufisadi usiokua na soni.
Wepesi mno kujiuza na kununulika hawa.... wametuulia upinzani kabisa


Chadema 2005 - 2014
View attachment 1928629View attachment 1928630


Wacha niendelee na kazi mie. Kituo kinachofuata Zomba

Karibuni kusini mwa Tanzania mjifunze jinsi ya kujenga upinzani wenye tija na mafanikio kama wao wanavyokuja kwetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa kushika dola kwa kipindi kirefu😃😃😃

Yaani wafuasi wa chadema wa miaka hii wamekua malofa...., ni huzuni kweli😆😆😆
Aibu wewe mama.
 
Back
Top Bottom