CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?. Nafikiri tuki tafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza

😂😂😂😂!

IMG_20210908_071329_904.jpg


Jumbe Brown ID hizi, haziwafikirishi?
 
Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?. Nafikiri tuki tafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza
Chama cha Mbowe kimekuwa level moja na chauma kwa sasa.
 
Huwezi kumlinganisha Hichilema na wanaojiita viongozi wa chadema waliojawa uchu, ubinafsi na ufisadi usiokua na soni.
Wepesi mno kujiuza na kununulika hawa.... wametuulia upinzani kabisa


Chadema 2005 - 2014
View attachment 1928629View attachment 1928630


Wacha niendelee na kazi mie. Kituo kinachofuata Zomba

Karibuni kusini mwa Tanzania mjifunze jinsi ya kujenga upinzani wenye tija na mafanikio kama wao wanavyokuja kwetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa kushika dola kwa kipindi kirefu[emoji2][emoji2][emoji2]

Yaani wafuasi wa chadema wa miaka hii wamekua malofa...., ni huzuni kweli[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawana haya hawa watu.....
Yaani aibu kwao ni mwiko! Sijui walilishwa nini huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani mimi kweli umporomoshee fisadi maneno yote yale halafu baadae uje ununuliwe nae na zilezile pesa za kifisadi

Watanzania sio mabwege kama nyie
Tena walimfanya Gwajima kama mshenga wao wa kuleta Lowasa chadema
 
Ukiwa huna akili timanu unaweza kuuita uchaguzi ambao CCM uwekwa madarakani, yaani unajifanya hauoni wizi na unyang'anyi wa kura ulivyofanyika, leo unauita uchaguzi na kupongezana eti na kujadili changamoto, ndio maana kodi zangu zinavyotumika kufanya viinimacho inaniuma sana, mmeongeza na matozo kibao, wakati za mwanzo mnajirushia! Ok.
 
In 30 years what have you changed!!..Au Una kula na kulala na kwenda kazini tu?!!

Eti what have you changed!? Wewe umeona tukilialia kama wewe🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tumefanikiwa kuendelea kumkataa fisadi Lowasa katika jaribio lake la kutaka kushika dola, nyie mkanunuliwa na kumwachia mzigo😅😅😅 au huoni mabadiliko hapo😆
 
Aibu wewe mama.

Hii ya chadema ni aibu sana kwa kweli.... hadi huzuni🤣🤣🤣

mama D said:
Huwezi kumlinganisha Hichilema na wanaojiita viongozi wa chadema waliojawa uchu, ubinafsi na ufisadi usiokua na soni.
Wepesi mno kujiuza na kununulika hawa.... wametuulia upinzani kabisa


Chadema 2005 - 2014
View attachment 1928629 View attachment 1928630


Wacha niendelee na kazi mie. Kituo kinachofuata Zomba

Karibuni kusini mwa Tanzania mjifunze jinsi ya kujenga upinzani wenye tija na mafanikio kama wao wanavyokuja kwetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa kushika dola kwa kipindi kirefu😃😃😃

Yaani wafuasi wa chadema wa miaka hii wamekua malofa...., ni huzuni kweli😆😆😆
 
Upara ninao ila lazima wana CHADEMA wanawa hitaji watu kama wewe ili kuweza kupindua meza. Kushindwa uchaguzi kwa asilimia zaidi ya 80 sio mchezo
Unateseka sanaaa na unatumika kama mwanamke malaya kisha kila mtu anamtema mate,kushindwa uchaguzi kwa 80% unamaanisha uchaguzi upi? kama ni ule wa 2020 basi wewe ubongo wako ni makamasi matupu hovyo kabisa na unajua aliehujumu uchaguzi kwa kutumia nguvu za dola polisi na hao usalama wa Taifa yuko wapi saa hizi.
 
Hahhaha... Ila mama d unawafanya hawa jamaa walale na viatu

Wacha walale navyo tuu maana wamekubali kutumika na vibaka.

Huwa najiuliza walipata gawio sh ngap waliponunuliwa? Limewasaidia nini mbona bado wanalialia tuu kila siku!?
 
Eti what have you changed!? Wewe umeona tukilialia kama wewe🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tumefanikiwa kuendelea kumkataa fisadi Lowasa katika jaribio lake la kutaka kushika dola, nyie mkanunuliwa na kumwachia mzigo😅😅😅 au huoni mabadiliko hapo😆
Lowassa yuko wapi?!!.. Mtoto wake yuko wapi?!!.. Anafanya nini?!!..unajua unachoongea kweli?!!
 
Lowassa yuko wapi?!!.. Mtoto wake yuko wapi?!!.. Anafanya nini?!!..unajua unachoongea kweli?!!

Wewe hujui Lowasa aliko🤣🤣🤣🤣 ukikubali kununuliwa ndio ukubali yatokanayo pia

Lowasa yuko nyumbani anaugua, baada ya chadema kushindwa kumtunza alirudi kuomba radhi na serikali ikamsamehe na kuendelea kumuuguza😆

Na hilo ni jukumu la serikali, hata wewe ukiugua utatibiwa, hata vibaka, majambazi, wafungwa....huwa wanatibiwa na serikali 😃😃😃 Hawawezi kuachwa wafe
 
Wewe hujui Lowasa aliko🤣🤣🤣🤣 ukikubali kununuliwa ndio ukubali yatokanayo pia

Lowasa yuko nyumbani anaugua, baada ya chadema kushindwa kumtunza alirudi kuomba radhi na serikali ikamsamehe na kuendelea kumuuguza😆

Na hilo ni jukumu la serikali, hata wewe ukiugua utatibiwa, hata vibaka, majambazi, wafungwa....huwa wanatibiwa na serikali 😃😃😃 Hawawezi kuachwa wafe
Ushabiki mgumu sana!!..watu mnaongea msivyovijua kwasababu tumekua na Uhuru huo!!..Vipi Hamza nae mmeamua kumpumzisha!!
 
Wewe hujui Lowasa aliko🤣🤣🤣🤣 ukikubali kununuliwa ndio ukubali yatokanayo pia

Lowasa yuko nyumbani anaugua, baada ya chadema kushindwa kumtunza alirudi kuomba radhi na serikali ikamsamehe na kuendelea kumuuguza😆

Na hilo ni jukumu la serikali, hata wewe ukiugua utatibiwa, hata vibaka, majambazi, wafungwa....huwa wanatibiwa na serikali 😃😃😃 Hawawezi kuachwa wafe
Nilichojifunza ni kwamba tunapenda matokeo kuliko njia zilizotumika!!..kuna Mwenzako hapa nimemuuliza haya chadema hawezi kuchukua nchi Sawa!!..Nyie vipi mnayo nchi kila siku mbona bado mnanjaa?
 
Wewe hujui Lowasa aliko🤣🤣🤣🤣 ukikubali kununuliwa ndio ukubali yatokanayo pia

Lowasa yuko nyumbani anaugua, baada ya chadema kushindwa kumtunza alirudi kuomba radhi na serikali ikamsamehe na kuendelea kumuuguza😆

Na hilo ni jukumu la serikali, hata wewe ukiugua utatibiwa, hata vibaka, majambazi, wafungwa....huwa wanatibiwa na serikali 😃😃😃 Hawawezi kuachwa wafe
Kama wewe hulipi Kodi kama lowassa Sawa!!..Kama na wewe unalipa Kodi basi inabidi utafakari jinsi yako ya kufikiria!!
 
Back
Top Bottom