CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?

Nafikiri tukitafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza
Kama mnaamini/mnajua kuwa ni ngumu kwa CHADEMA kushika/kuingia madarakani kwa sanduku la kura naomba kukuuliza maswali yafuatayo
  • Kwanini hamtaki kuruhusu uchaguzi huru na wa haki?
  • kwanini mnaogopa kuwa na tume huru ya uchaguzi?
  • Kwanini mnatumia nguvu kubwa yaJWTZ, Polisi, TISS, RCs, DCs, DEDS kupambana na chama kisicho na ushawishi?
  • Kwanini mnaogopa kuruhusu mchakato w akatiba mpya?
  • Kwanini mnaogopa hadi mnazuia vyama kufanya mikutano na shughuli za vyama zilizoko kisheria?
 
Ni kweli, kuna mambo muhimu kuliko katiba mpya na tume huru, Nitakupa mfano kwa wenzetu. Nchi ya Marekani ina wawezesha wana siasa kupinga matokeo ya uchaguzi kwa kupitia mahakama ila lazima uwe umeshindwa kwa asilimia zisizozidi mbili. Huwezi kushindwa kwa asilimia zaidi ya 80 alafu ukadai kwamba umeshindwa kwasababu tume sio huru au kwamba katiba ni ya zamani.

Tafakari
Sasa hapa hata hiyo mahakama inaruhusiwa kuhoji matokeo ya kupikwa ?! Ija kure ni !!
 
Kama mnaamini/mnajua kuwa ni ngumu kwa CHADEMA kushika/kuingia madarakani kwa sanduku la kura naomba kukuuliza maswali yafuatayo
  • Kwanini hamtaki kuruhusu uchaguzi huru na wa haki?
  • kwanini mnaogopa kuwa na tume hutu ya uchaguzi?
  • Kwanini mnatumia nguvu kubwa yaJWTZ, Polisi, TISS, RCs, DCs, DEDS kupambana na chama kisicho na ushawishi?
  • Kwanini mnaogopa kuruhusu mchakato w akatiba mpya?
  • Kwanini mnaogopa hadi mnazuia vyama kufanya mikutano na shughuli za vyama zilizoko kisheria?
Hana akili na uwezo wa kujibu maswali haya . Lazima a divert kwenye issue zingine
 
Huo ndiyo mwisho wako wa kufikiri?Katiba si mali ya chama.Ni ya watu wote na haihusu uchaguzi pekee.
Get that into your empty head......

Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?

Nafikiri tukitafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza
Kufikiri
 
Ushindi wa 80% ni wizi uliozoeleka.Anayeshangilia 'ushindi' kwa kuua, kuiba na kutungia wengine mashtaka ni punguani kama ulivyo wewe.
Ni kweli, kuna mambo muhimu kuliko katiba mpya na tume huru, Nitakupa mfano kwa wenzetu. Nchi ya Marekani ina wawezesha wana siasa kupinga matokeo ya uchaguzi kwa kupitia mahakama ila lazima uwe umeshindwa kwa asilimia zisizozidi mbili. Huwezi kushindwa kwa asilimia zaidi ya 80 alafu ukadai kwamba umeshindwa kwasababu tume sio huru au kwamba katiba ni ya zamani.

Tafakari
 
Kama mnaamini/mnajua kuwa ni ngumu kwa CHADEMA kushika/kuingia madarakani kwa sanduku la kura naomba kukuuliza maswali yafuatayo
  • Kwanini hamtaki kuruhusu uchaguzi huru na wa haki?
  • kwanini mnaogopa kuwa na tume huru ya uchaguzi?
  • Kwanini mnatumia nguvu kubwa yaJWTZ, Polisi, TISS, RCs, DCs, DEDS kupambana na chama kisicho na ushawishi?
  • Kwanini mnaogopa kuruhusu mchakato w akatiba mpya?
  • Kwanini mnaogopa hadi mnazuia vyama kufanya mikutano na shughuli za vyama zilizoko kisheria?
- Kwanini unasema kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na haki?. Una uhakika kwamba CHADEMA hawa kupata ridhaa ya wananchi?. The defeating was resounding, huwezi ukawa na visingizio. Tume huru na katiba mpya havi kuwa sababu ya kushindwa

- Una amini kwamba tume huru ya uchaguzi inatosha kuwa kwamua wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi na kuwa fikisha madarakani?. Are they really disadvantaged by this?

- Vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama. Sio jambo gumu kwa maandamano yalio pangwa kuwa ya amani kubadilika na kuwa ya fujo. Vile vile ni muda muafaka kwa wana CHADEMA ambao ndio kama chombo cha kudai katiba mpya na tume huru ku kubali kwamba mbinu wanazo tumia kufanya shughuli hii hazi leti manufaa. Ku laani vitendo vya vyombo vya usalama tu sio njia ya wao kutimiza malengo yao. Kuwa na vyombo vyao vya matangazo kama CHADEMA TV au redio ni mfano wa njia mbadala wa ku timiza malengo yao. Huwezi kupigana ngumi na serikali kwasababu utashindwa tu.

- Nina amini kwamba katiba inaweza kuwa na manufaa kwa watanzania kama vipengele vinavyo takiwa kubadilishwa vinge jadiliwa. Sio sahihi kwa mtu yeyote kufanya maandamano ya kudai katiba mpya bila kuwa na sababu au bila kuonyesha mpango mzuri utakao orodhesha vipengele ambavyo vime pitwa na wakati. Hii elimu ni muhimu sana kwa wananchi.

- Kama wana CHADEMA mna mipango ipi ya kimkakati kuanzia kipindi hiki na miaka mitano au kumi ijayo?. Mna mipango ipi ya kuwafikia watu wengi hata katika kipindi ambacho sio cha uchaguzi?
 
Huo ndiyo mwisho wako wa kufikiri?Katiba si mali ya chama.Ni ya watu wote na haihusu uchaguzi pekee.
Get that into your empty head......


Kufikiri
Ama kweli, bendera ufuata upepo. Niki ku uliza mapendekezo yako binafsi ya katiba utani jibu vipi?
 
- Kwanini unasema kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na haki?. Una uhakika kwamba CHADEMA hawa kupata ridhaa ya wananchi?. The defeating was resounding, huwezi ukawa na visingizio. Tume huru na katiba mpya havi kuwa sababu ya kushindwa

- Una amini kwamba tume huru ya uchaguzi inatosha kuwa kwamua wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi na kuwa fikisha madarakani?. Are they really disadvantaged by this?

- Vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama. Sio jambo gumu kwa maandamano yalio pangwa kuwa ya amani kubadilika na kuwa ya fujo. Vile vile ni muda muafaka kwa wana CHADEMA ambao ndio kama chombo cha kudai katiba mpya na tume huru ku kubali kwamba mbinu wanazo tumia kufanya shughuli hii hazi leti manufaa. Ku laani vitendo vya vyombo vya usalama tu sio njia ya wao kutimiza malengo yao. Kuwa na vyombo vyao vya matangazo kama CHADEMA TV au redio ni mfano wa njia mbadala wa ku timiza malengo yao. Huwezi kupigana ngumi na serikali kwasababu utashindwa tu.

- Nina amini kwamba katiba inaweza kuwa na manufaa kwa watanzania kama vipengele vinavyo takiwa kubadilishwa vinge jadiliwa. Sio sahihi kwa mtu yeyote kufanya maandamano ya kudai katiba mpya bila kuwa na sababu au bila kuonyesha mpango mzuri utakao orodhesha vipengele ambavyo vime pitwa na wakati. Hii elimu ni muhimu sana kwa wananchi.

- Kama wana CHADEMA mna mipango ipi ya kimkakati kuanzia kipindi hiki na miaka mitano au kumi ijayo?. Mna mipango ipi ya kuwafikia watu wengi hata katika kipindi ambacho sio cha uchaguzi?
nilipoona maelezo marefu nikajua umenijibu maswali yangu lakini nimekutana na porojo
 
Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?

Nafikiri tukitafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza
Kwa kweli hawa kuingia madarakani ni ngumu zaidi kuliko kumuona Mmasai akiiimba taarab.
 
- Kwanini unasema kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na haki?. Una uhakika kwamba CHADEMA hawa kupata ridhaa ya wananchi?. The defeating was resounding, huwezi ukawa na visingizio. Tume huru na katiba mpya havi kuwa sababu ya kushindwa

- Una amini kwamba tume huru ya uchaguzi inatosha kuwa kwamua wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi na kuwa fikisha madarakani?. Are they really disadvantaged by this?

- Vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama. Sio jambo gumu kwa maandamano yalio pangwa kuwa ya amani kubadilika na kuwa ya fujo. Vile vile ni muda muafaka kwa wana CHADEMA ambao ndio kama chombo cha kudai katiba mpya na tume huru ku kubali kwamba mbinu wanazo tumia kufanya shughuli hii hazi leti manufaa. Ku laani vitendo vya vyombo vya usalama tu sio njia ya wao kutimiza malengo yao. Kuwa na vyombo vyao vya matangazo kama CHADEMA TV au redio ni mfano wa njia mbadala wa ku timiza malengo yao. Huwezi kupigana ngumi na serikali kwasababu utashindwa tu.

- Nina amini kwamba katiba inaweza kuwa na manufaa kwa watanzania kama vipengele vinavyo takiwa kubadilishwa vinge jadiliwa. Sio sahihi kwa mtu yeyote kufanya maandamano ya kudai katiba mpya bila kuwa na sababu au bila kuonyesha mpango mzuri utakao orodhesha vipengele ambavyo vime pitwa na wakati. Hii elimu ni muhimu sana kwa wananchi.

- Kama wana CHADEMA mna mipango ipi ya kimkakati kuanzia kipindi hiki na miaka mitano au kumi ijayo?. Mna mipango ipi ya kuwafikia watu wengi hata katika kipindi ambacho sio cha uchaguzi?
Ujinga nao ni mzigo, hivi mpaka haujui kwamba policcm wamezuia mikutano ya ndani na ya hadhara kwa wapinzani tu? Yaani hujui kabisa ?
 
Ujinga nao ni mzigo, hivi mpaka haujui kwamba policcm wamezuia mikutano ya ndani na ya hadhara kwa wapinzani tu? Yaani hujui kabisa ?
Kweli ushamba ni mzigo wa kuni. Hamkubaliani na vitendo vya polisi lakini katika hali hiyo huwezi kupigana na serikali. Kwanza kubali kwamba njia ya mikutano ya kisiasa haiwezekani alafu utafute njia nyingine
 
Kweli ushamba ni mzigo wa kuni. Hamkubaliani na vitendo vya polisi lakini katika hali hiyo huwezi kupigana na serikali. Kwanza kubali kwamba njia ya mikutano ya kisiasa haiwezekani alafu utafute njia nyingine
Njia nyingine ipi comredi
 
Bwege ni wewe unaeujua ukweli halafu unajidanganya kujiridhisha nafsi. Wewe ulikula sh ngapi kwa mauzo mliyofanya kwa Lowasa?

Wafuasi wa Chadema wa 2015 hadi sasa mnatakiwa mkapimwe akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mmekaa kitapeli mno mfyuu
Yaani kazi kweli kweli.mpaka leo kuna mbuzi zinaamni lowasa alinunua CDM??
 
Njia nyingine ipi comredi
- Tayari wana CHADEMA wana tumia mitandao ya jamii kujaribu kuwa fikia wananchi lakini bado haitoshi
  • Ingependeza sana kama wana CHADEMA wenge kuwa na vyombo vyao vya habari na vipindi vyao ili kuwa wezesha kujenga hoja kwa watu wengi zaidi na katika njia ambayo haita endelea kuleta msuguano kati yao na vyombo vya usalama.
  • Kundi la wana CHADEMA lililo bungeni linaweza likawa strength kubwa haswa katika kipindi ambacho chama kimepoteza majimbo yote. Wasichukuliwe kama maadui kwa kutokuwa na ridhaa ya chama chao bali waweze kuwasilisha hoja zao na kuongea na watanzania. Kususia bunge sio wazo zuri
  • Njia nyingine ni kujaribu kufanya tathmini haswa katika majimbo waliyo shindwa na kujaribu kujenga mahusiano chanya na wananchi kabla ya kipindi cha uchaguzi. Sifahamu kama wana CHADEMA wana kamati ya uenezi ila huu ndio wakati wa kwenda kwenye kila kitongoji na kufanya branding. Kwa vyoyote vile lazima tukubaliane kwamba tume huru na katiba havikuwa sababu ya msingi ya kushindwa kwa asilimia zote hizo.
  • Kitu ambacho ni muhimu sana haswa kwa yeyote yule anaye tegemea kuingia madarakani ni mahusiano na nchi zingine. Viongozi karibia wote wa CHADEMA wana historia ya kuwa na kesi nyingi na kukamatwa mara nyingi sana na vyombo vya usalama. Ina wezekana kwamba kukamatwa huku na kesi hizi zime tengenezwa na wana CCM lakini mbali na hilo, mambo kama hayo haya pendezi. Ni ishara na indication kubwa ya "Lack of integrity". Lazima wawe waangalifu sana kwa hilo.
  • Mwisho kabisa lazima viongozi wote wa CHADEMA wana fahamu kwamba wapo kwenye vita na vita hivi ni dhidi ya serikali. Kitu chochote kile hata kiwe kidogo kinaweza kutumiwa dhidi yao. Mfano mkubwa, unaenda kwenye kongamano la katiba mpya una amka kesho yake unakuta una kesi ya ugaidi. Lazima wawe spotless, wakati wote.
 
Wana bodi,

NI jambo la kujiuliza kama kweli wananchi ndio wanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi au ni wanasiasa wanao tumia mbinu tofauti tofauti ku tekeleza wanacho hitaji. Vile vile ni vyema kama tukiji uliza swali lingine. Tangia mfumo wa vyama vingi ku anza Tanzania, je ilishawahi kutokea kwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi kwa sababu ya katiba au tume tuliyo nayo ya uchaguzi?

Nafikiri tukitafakari na kujiuliza maswali haya, tuta gundua kwamba kwa kiasi kikubwa, wahusika wote hawaku pata ridhaa ya wananchi.

Tuki jaribu kuangalia kama chama chenyewe kina kubalika na watanzania walio wengi tuna gundua kwamba kuna mambo mengi muhimu zaidi kuliko tume huru au katiba mpya vinavyo weza kuwa saidia kuwa na msingi nchini kwote. Ni muhimu kwa wao ku elekeza nguvu kazi kwenye kujenga chama chao kwanza

Btw. Usihangaike na CHADEMA. Kama nyinyi mnavyodai katiba na tume huru si lolote kwa wananchi. Wanajali kula yao tu. Huenda mko sawa - kiaina.

Muhimu elewa kuwa Watanzania walishapuuza mustakabali wao kisiasa siku nyingi tu. Hawajali nani yuko Ikulu wala bungeni. Wamegundua hawawezi kufanya chochote kuhusu hilo.

Leo hii Joe Biden akishusha vikosi vyake vya US Marines akadhibiti Ikulu za Magogoni na Chamwino na kambi zote za jeshi kisha akatangaza kuitawala Tanzania kwa mwaka mmoja, nakuhakikishia wabongo watamwagika mitaani na vigodoro na singeli kushangilia ujio wa “muzungu” kutawala Tanzania.

Tena wajanja wa mujini watawahi kuulizia michongo mbalimbali ya zabuni, ajira, vibarua na dili la kuwauzia askari (marines) japo mihogo ya kukaanga. Watauliza mpango wa kuifanya Dar kuwa New York! Wakihojiwa kuhusu Rais wao, watazoza kuwa “noma sana, maza miyeyusho tu, tozo kama zote, achana naye huyo, heri tuhamie Burundi au Zimbabwe kabisa …!”

Hata wazo kuwa nchi yao imevamiwa na “beberu” hawataelewa. Ndio watanzania hao wasiojali katiba makini wala tume huru bali wanawaza msosi wao mezani tu. Kama CCM inavyopenda tuamini.

Maana yake halisi ni kuwa Watanzania hawajali kabisa nchi yao inatawaliwa na nani na kivipi almuradi michongo inaitikia! The lowest in Maslow’s hierarchy of needs.
 
Huo ndiyo mwisho wako wa kufikiri?Katiba si mali ya chama.Ni ya watu wote na haihusu uchaguzi pekee.
Get that into your empty head......


Kufikiri
Na mta endelea kushindwa kila mwaka mkisema kwamba katiba ina upendeleo.
 
Huwezi kumlinganisha Hichilema na wanaojiita viongozi wa chadema waliojawa uchu, ubinafsi na ufisadi usiokua na soni.
Wepesi mno kujiuza na kununulika hawa.... wametuulia upinzani kabisa


Chadema 2005 - 2014
View attachment 1928629View attachment 1928630


Wacha niendelee na kazi mie. Kituo kinachofuata Zomba

Karibuni kusini mwa Tanzania mjifunze jinsi ya kujenga upinzani wenye tija na mafanikio kama wao wanavyokuja kwetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa kushika dola kwa kipindi kirefu[emoji2][emoji2][emoji2]

Yaani wafuasi wa chadema wa miaka hii wamekua malofa...., ni huzuni kweli[emoji38][emoji38][emoji38]

Naby Keita Unawaelewa hawa watu?
Chomeka kidole uko chini,halafu unuse.ndo akili zako na ccm zilivyo.mmeoza mfyuuu wewe
 
Back
Top Bottom