CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

Tatizo sio rais bali tatizo ni NEC.

Mtoto ni halali aliyepatikana katika njia haramu hivyo wa kulaumiwa sio mtoto bali ni wazazi waliofanya yao.
Mzazi Baba yake si ni CCM na Mlezi wake si Rais aliye wateua au hujui.

NEC na CCM ni kama YAI NA KUKU MZEE.

MSITUZUGE CDM
 
Kumbuka kuna "cause and effect"--- Samia kuwa Rais ni effect lakini Cause yake ni NEC, sasa Chadema watakuwa wajinga kulaumu effect na kuacha kulaumu Cause na kutafuta njia ya kudumu kudhibiti cause kama hiyo ili effect ya aina hiyo isijetokea tena.

Mfano ni huu; huwezi kuwalaumu wote mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa na wazazi waliomzaa bali wazazi ndio wa kulaumiwa, sasa hatuwezi kuwalaumu Wote Samia aliyepewa urais na NEC bali NEC ndio mlaumiwa kwa kukiuka wajibu wake kisheria na njia mojawapo iliyopo ya kudai na kulalamika ni kupitia huyo huyo mtoto wa NEC Rais Samia.
GEUZA HIVI:-

NEC NI EFFECT NA CAUSE YAKE NI RAIS.

UJINGA WA CHADEMA UKO HAPA KWENYE KUJITETEA.
SAMIA NA NEC NI KAMA KUKU NA YAI, KAMA MNASUSA SUSENI ACHENI KUJIPENDEKEZA..

MTU UNAMWITA ADUI HALAFU UNAJIKOMBAKOMBA. NDO YALEYALE YA SLAA , LIPUMBA NA UJIO WA LOWASSA, WALIWAAMBIA UKWELI MKAANZA KUJILAMBALAMBA KUWA WASALITI KUMBE NI NDUMILAKUWILI NINYI
 
machafuko si mnayaombea kila siku? Mbowe yuko ndani nani anaandamana kumtoa?

usiwasemehe watanzania, wako tofauti mno na a akili yako..

machafuko??? my foot
Machafuko kwa lipi?...
ha ha haha. Majamaa ni majinga sana aisee

kila kukicha yanaunga mkono juhudi. Yaani ni vigeugeu sana
 
kwanza wanaohubiri machafuko kila siku ni hawahawa CHADEMA.
Wamebanwa kila kona now wanakimbilia kuanzisha taharuki na machafuko, ila wameshindwa kila kona!! Wakulaumiwa kuhusu CDM ni JK, aliwadekeza sana ile miaka yake 10, na sababu kubwa alikuwa anawatumia sana kufanikisha mikakati yake ya kisiasa, hasahasa kumchafua Lowassa!! Legacy pekee ya mwendazake naikumbuka ni kuwasambaratisha hawa wahuni, aliwakalia kooni haswaa, nadhani alishawajua kuwa ni wachumia tumbo na hawana nia njema na nchi hii zaidi ya kushibisha matumbo yao
 
Ni kwa mwenye ufinyu wa akili tu ndiyo anaweza kuandika hivi. Mpaka hapo nchi itakapoingia kwenye machafuko ya kutisha kwa UCHAFUZI wa uchaguzi ndiyo mtatia akili kichwani.
Mpaka unakufa hutakuja ona machafuko unayoombea. Nyerere aliinyosha nchi kwa rula.
 
Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.



Hivi NEC wanaendaje? Tuache tu siasa, hata mwanaume ukidharauliwa sana kuna wakati unaweka msimamo wa kiume
 
Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.


Unategemea wahudhurie bila Mwenyekiti kuwepo! Kuiua Kenya hakutaifanya Tanzania istawi, vivyo hivyo kuiua Chadema hakutaifanya CCM istawi. CCM ya sasa haina wanasiasa kabisa inaishi kwa kutegemea polisi.
 
Dogo sasa mnalialia kwenda Ikulu kufanyaje?acheni utoto
UPUUZI MTUPU!!! unakutana na NEC wakitangaza uhuni wao waliofanya 2020 ili iweje!? Ukasikilize wakizungumza kuhusu wizi wao kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki wakati ukweli tunaujua?
 
Wewe huna lolote,acha kutishia watu
Ni kwa mwenye ufinyu wa akili tu ndiyo anaweza kuandika hivi. Mpaka hapo nchi itakapoingia kwenye machafuko ya kutisha kwa UCHAFUZI wa uchaguzi ndiyo mtatia akili kichwani.
 
GEUZA HIVI:-

NEC NI EFFECT NA CAUSE YAKE NI RAIS.

UJINGA WA CHADEMA UKO HAPA KWENYE KUJITETEA.
SAMIA NA NEC NI KAMA KUKU NA YAI, KAMA MNASUSA SUSENI ACHENI KUJIPENDEKEZA..

MTU UNAMWITA ADUI HALAFU UNAJIKOMBAKOMBA. NDO YALEYALE YA SLAA , LIPUMBA NA UJIO WA LOWASSA, WALIWAAMBIA UKWELI MKAANZA KUJILAMBALAMBA KUWA WASALITI KUMBE NI NDUMILAKUWILI NINYI



Lazima kuna kimoja kilianza kati ya kuku na yai , kati ya mtoto na mzazi nani alianza ??---in this case Rais Samia ni mtoto na mzazi ni NEC.

Na yeye ndiye Rais mwenye mamlaka so far , itakuwa ni ujuha kukataa hilo.
 
Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.

Rubbish! Ndiyo maana JF inapoteza mvuto as time goes on. Kuna rotten mind zimejaa humu
 
Na hilo la kujiona wao ni bora na muhimu kuliko vyama vingine vyote vya upinzani litaendelea kuwakwamisha miaka nenda rudi, kwasababu vyama vingine vitaendelea kutowapa ushirikiano katika madai yao yote. Hiki ni chama ambacho hakina political strategists kabisa; kimejaa watu wa mitulinga tu. Utadhani Jeshi la Sungusungu!
Stupid, vyama ambavyo wanachama wake hawazidi 100 nchi nzima au kabisa havina wanachama, wewe ni takataka wa kufikiri
 
Amekalia kiti baada ya Mchakato wa NEC kwenye uchaguzi mkuu.

au unajitoa ufahamu mkuu?.. Kama uchaguzi ni batili , mnamtambuaje SAMIA KAMA RAIS?

CHADEMA NI COMEDY SANA


Yeye ni Rais aliyepatikana katika njia haramu,--- yeye ndiye raisi.

Wewe kwanini huelewi??--- hivi mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa (njia ya haramu) anakuwa sio mtoto?? au ni mbuzi??!!, yeye atabaki kuwa mtoto na watakaolaumiwa ni wazazi wake kwa kumzaa huyo mtoto nje ya taratibu hivyo RAIS Samia yeye atabaki kuwa Rais ila NEC itabaki kubeba lawama za kuhujumu uchaguzi uliomfanya (Magu) na hatimaye Samia awe Rais.
 
Back
Top Bottom