CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

UPUUZI MTUPU!!! unakutana na NEC wakitangaza uhuni wao waliofanya 2020 ili iweje!? Ukasikilize wakizungumza kuhusu wizi wao kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki wakati ukweli tunaujua?
Sasa Kama chadema hawautambui uchaguzi uliomweka mh Samia Leo madarakani kwanini wanahangaika kutaka kukutana na rais ambaye kawekwa na uchaguzi wasioutambua? Nyie chadema hamueleweki.
 
Na Gentamycin yupo? Nadhani huyu mtoe au nalo limebadirika Kama Kigogo
 
Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Eti Chadema hamueleweki halafu mnalia lia kila kukicha kila kitu cha nchi hii kilivyo cha hovyo. Mtaji mkubwa wa maccm ni upumbavu uliokithiri nchini wa watu kutojua HAKI zao mbali mbali kama Raia.


Sasa Kama chadema hawautambui uchaguzi uliomweka mh Samia Leo madarakani kwanini wanahangaika kutaka kukutana na rais ambaye kawekwa na uchaguzi wasioutambua? Nyie chadema hamueleweki.
 
Kitu ambacho hujui, hata ukipindua nchi na ukaweza bado utaitwa rais, CHADEMA wapo sahihi kabisa, Samia hata angekuwa amefanya mapinduzi bado angekuwa ni rais japo hatakuwa amepatikana na njia ya kidemokrasia
 
لعنة الله اليك انت مجنون[emoji1787]
Nimekunyoosha, nimeongea na ma'am yako atakupigia Sasa hivi akwambie baba yako ni Nani maana huyo unayejidai naye Ni wa kufikia
 
Kitu ambacho hujui, hata ukipindua nchi na ukaweza bado utaitwa rais, CHADEMA wapo sahihi kabisa, Samia hata angekuwa amefanya mapinduzi bado angekuwa ni rais japo hatakuwa amepatikana na njia ya kidemokrasia
Kuna list ndefu humu ya Hawa Wajinga hawawezi kuelewa philosophy ya andiko lako.
 
Weka na ile ya upande wenu, namba moja awe yule jamaa wa Kyela, Nyumbu namba 1 wa Bwana Ustaadhi, wewe unaweza kamata namba 2 kwa unyumbu
 
Nimekunyoosha, nimeongea na ma'am yako atakupigia Sasa hivi akwambie baba yako ni Nani maana huyo unayejidai naye Ni wa kufikia


YOU ARE MENTALLY RETIRED, انت مجنون---- kwani hilo jina ulipewa na mtu??, si wehu wako mwenyewe baada ya kuvuta bangi ukaamua kujipa jina hilo, sasa alaumiwe nani you stupid mental retired.
 
Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.


Mwenye akili timamu asingehudhuria, kumsikiliza huyo Samia akiongelea UPUPU wake.
 
Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.


Tatizo la kimsingi hapa ni chaguzi zetu hapa nchini kuwa za kimaigizo na zimekuwa zikiendeshwa na kikundi cha wahuni wa chama tawala.
Na kimefanya mengi ya kijinga ili kulinda maslahi ya mwenyekiti wao.

Historia iko wazi, watu wasiohatia walivikwa majina mabaya ili wauwawe na ilikuwa hivyo.

Hizi ni dalili za chama tawala dhalili kilichofilisika kisela kwa kuwa hakisikilizwi tena wanatumia kilicho mkononi kutimiza azma yao.

Lakini hatma ya vyama kama hivi siku zote huzaa matatizo na mizozo mikubwa kwa kuwa " for every action there is always equal and opposite reactions"

That means there is some consequences ahead of the acting party if it doesnt take consensus seriously
 
UPUUZI MTUPU!!! unakutana na
NEC wakitangaza uhuni wao waliofanya 2020 ili iweje!? Ukasikilize wakizungumza kuhusu wizi wao kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki wakati ukweli tunaujua?
Kushirikiana na mbaya wako ni kuhalalisha maovu yake, ni bora mbaya wako akajua unachukizwa na uovu wake dhidi yako. Kama hata ona aibu ataacha uovuanao kutendea. Vinginevyo aamue kukudhuru kabisa kwa kukosa chaguo linguine.
 
Bwashee, hata huko kwa rais wameshaghairi asipokutana nao peke yao. Akiwaweka kwenye kundi la vyama vyote basi hawaendi!
Ujinga uliomo chadema sasa hivi hata kwa fimbo hatuwezi kuutoa.
Na ni vyema ukakumbuka hizo ndizo consequences za kupuuza haki na kuvunja sheria. Na ipo siku yawezekana mka pay the price! Kama mtaendelea kuyapuuza mambo ya msingi
 
Stupid, vyama ambavyo wanachama wake hawazidi 100 nchi nzima au kabisa havina wanachama, wewe ni takataka wa kufikiri

I typically don’t let loonies drag me down to their neanderthal standard of decency!
 
Back
Top Bottom