Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Uwezo huu wa uchambuzi ungekuwa unatumika na uongozi wa Chadema, chama kinge kuwa mbali.Kumbuka kuna "cause and effect"--- Samia kuwa Rais ni effect lakini Cause yake ni NEC, sasa Chadema watakuwa wajinga kulaumu effect na kuacha kulaumu Cause na kutafuta njia ya kudumu kudhibiti cause kama hiyo ili effect ya aina hiyo isijetokea tena.
Mfano ni huu; huwezi kuwalaumu wote mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa na wazazi waliomzaa bali wazazi ndio wa kulaumiwa, sasa hatuwezi kuwalaumu Wote Samia aliyepewa urais na NEC bali NEC ndio mlaumiwa kwa kukiuka wajibu wake kisheria na njia mojawapo iliyopo ya kudai na kulalamika ni kupitia huyo huyo mtoto wa NEC Rais Samia.
Ninazo evidences nyingi ambazo uongozi wa Chadema haufanyi kabisa au hata kusikiliza synthesis analysis ya major events ili kupata critical path analysis huwa hilo halipo kabisa .
Na ukitaka wafuate uchambuzi wa kitaalamu wa kila jambo, watakwambia toa usomi wako hapa. Wataalamu ambao wanaweza kusikilizwa Chadema ni Wana sheria tuu, na sababu uongozi unafanya ya kuishi kisiasa kwa kuvunja sheria.
Ndio maana si shangai vilaza kuwa uongozi wote wa juu kabisa wa Chadema,