CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum na kugomea chaguzi za marudio.

Kwa uwazi kabisa mtazamo wa CDM ni kuwa chaguzi za S/M 2019 na MKUU 2020 zilikuwa ni batili na walioshinda hawawatambui. Ajabu ya CHADEMA ktk hili ni uleule undumilakuwili wa "Sizitaki mbichi hizi" kwani inaonekana wako tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya kufanya mjadala wa kisiasa sijui maridhiano ya kitaifa, they know much.

SWALI hapa wanataka kukutana na Rais aliyetokana na uchaguzi waliouita batili, What does that mean?. Maana yake hawatambui ushindi wa JPM/SSH mwaka 2020. Je wanataka kukutana na SAMIA yeye kama nani?. Kama ni Rais ameupata kutokana na uchaguzi upi?, je kama wanamambua hivyo kuna haja kutoutambua huo uchaguzi? It is just a logical fact!

CHADEMA katika kususia jambo bado wamefeli na wanafeli, mwaka 2015 walisusa na kutotambua Urais wa JPM na walifika mbali wakamuita Lowassa kuwa "Rais wa Mioyo ya Watanzania" (Sitaki kuongelea tena huu upuuzi wao maana huyu Rais amerudi kwao kumenoga). In the end bado walikuwa wanajipendekeza kutaka maridhiano mara kutaka kuonana na JPM ili kusikilizwa kilio chao wakati hawakumtambua kama Rais. Funny indeed

Kuna mawili ambayo CDM yanawashinda na wataendelea kuwa Ndumilakuwili mpaka kesho baada ya kuamua moja:-
1. Kama unasusa basi susa mazima ijulikane UMESUSA KIUME NA UNA MSIMAMO kisha dai tume huru KWA NGUVU ZOTE.
2.Show some respect kisha omba kukutana na RAIS ufikishe kilio chako awasikilize shida zenu.

Zaidi ya hapo ni Undumilakuwili na kuendelea kuonekana hawana msimamo . UNAMSUSIA KUKU WAKATI MAYAI YAKE YANAKUTOA MATE.


Hongera sana Shujaa Mwendana zake umeandika ukweli mtupu
 
Kuleta hoja za kisiasa wakati wewe siyo member wa chama siasa basi wewi ni mchonganishi.

Kwa hiyo haya ambayo ccm na vibaraka wenzio wanawatendea CHADEMA unaona ni haki?

First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
 
Mwenye Busara anatembea na wenye Hekima, lakini Mpumbavu anazidi kwenda mbele na lazima aumie.Mnaopinga Mtokeo ya Tume unaushahidi gani huku ukikaa na kusema mwenyewe huko Pembeni umeonewa. Njoo Tume ya Uchaguzi kama Viongozi wa Dini na watu mbalimbali waliotembelea Tume na kupata Hekima na maarifa kuhusu kazi za Tume na jinsi inavyoendesha Uchaguzi.
Hakuna hekima na maarifa katika Tume ya kishetani ya kina Mahera.
 
First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
Agree or not but the fact remains that you are the puppet one because what you speak is nonsense whether you know me or not.The aim is to build and not to break the society.
 
Agree or not but the fact remains that you are the puppet one because what you speak is nonsense whether you know me or not.The aim is to build and not to break the society.

Gimme a break; that’s utter nonsense! Who builds a society by alienating other opposition political parties? Who builds a society by willfully engaging in name calling?

History repeats itself. Your party is exactly on the same path that led NCCR Mageuzi and CUF, one after another, into political irrelevance!
 
Gimme a break; that’s utter nonsense! Who builds a society by alienating other opposition political parties? Who builds a society by willfully engaging in name calling?

History repeats itself. Your party is exactly on the same path that led NCCR Mageuzi and CUF, one after another, into political irrelevance!
By using extra force Police force,Electoral Committee,Tiss and Public Directors and not the will of many citizens.
 
First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
Sure
 
Back
Top Bottom