CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

Hongera sana Shujaa Mwendana zake umeandika ukweli mtupu
 
Kuleta hoja za kisiasa wakati wewe siyo member wa chama siasa basi wewi ni mchonganishi.

Kwa hiyo haya ambayo ccm na vibaraka wenzio wanawatendea CHADEMA unaona ni haki?

First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
 
Hakuna hekima na maarifa katika Tume ya kishetani ya kina Mahera.
 
First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
Agree or not but the fact remains that you are the puppet one because what you speak is nonsense whether you know me or not.The aim is to build and not to break the society.
 
Agree or not but the fact remains that you are the puppet one because what you speak is nonsense whether you know me or not.The aim is to build and not to break the society.

Gimme a break; that’s utter nonsense! Who builds a society by alienating other opposition political parties? Who builds a society by willfully engaging in name calling?

History repeats itself. Your party is exactly on the same path that led NCCR Mageuzi and CUF, one after another, into political irrelevance!
 
By using extra force Police force,Electoral Committee,Tiss and Public Directors and not the will of many citizens.
 
First and foremost, huna basis ya kuniita kibaraka. Sikujui na hunijui. I don’t have to agree with CHADEMA (or any other party) to be entitled to my opinion.

Kila kisicho haki kina njia zake sahihi za kukishughulikia!
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…