CHADEMA kuna la kujifunza hapa. Hapi anapiga kilimo cha ukweli sio kilimo cha selfie. Vijana wa CCM wapo makini, wamefundwa

CHADEMA kuna la kujifunza hapa. Hapi anapiga kilimo cha ukweli sio kilimo cha selfie. Vijana wa CCM wapo makini, wamefundwa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Maana wanatambua kuwa uongozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini

Hiki sio kilimo cha selfie
20221113_150451.jpg
 
Atamkumbuka Magufuli mpaka siku yake ya kuondoka hapa duniani. Jeuri yote kwisha. Aliwajaza sana upepo hawa vijana.

Wapi Paul Makonda aka Daudi Albert Bashite! Wapi General Lengai Ole Sabaya!!
 
Kwani kuna uhusiano gani kati ya hicho anachokifanya hapo huyo Ali Hapi na Chadema?

Vipi na hao Chadema wangewarusha kuhusu miradi ya makamanda wao akina Sugu, Mbowe, na wengineo wengi! Kwa uelewa wako ungeona kuna mantiki?
Chadema hawajui kuwa uongozi ni dhamana.
 
Safi sana.pesa ya heshima na isiyo na dhambi hupatikana shambani.Siyo wale wa kujipendekeza kwa rais ili wateuliwa waanze kuiba pesa za umma
Sasa si uwataje mkurugenzi! Mmojawapo ni huyu hapa Lucas mwashambwa! Kutwa ni kusifia tu! Tena siku hizi anaweka mpaka na namba yeke ya simu, ili akumbukwe!

Ukienda nyumbani kwao Mbozi Mbeya, kila siku anashinda ofisi za ccm! Huji kumuona ameenda shamba! Yaani shamba lake ni ofisi za chama.
 
Sasa si uwataje mkurugenzi! Mmojawapo ni huyu hapa Lucas mwashambwa! Kutwa ni kusifia tu! Tena siku hizi anaweka mpaka na namba yeke ya simu, ili akumbukwe!

Ukienda nyumbani kwao Mbozi Mbeya, kila siku anashinda ofisi za ccm! Huji kumuona ameenda shamba! Yaani shamba lake ni ofisi za chama.
Acha utani wako mkuu, Mimi nashinda shambani muda Mwingi, Nakukaribisha pia shambani ulime na uache kulia Lia habari za Bei ya vyakula kupanda utafikiri sisi wakulima ndio tulizaliwa kubeba matatizo yenu watu wa mjini, acha Nasi tufaidike na jasho letu, mama yetu Rais Samia ametambua machungu tunayoyapata na kuyapitia wakulima ndio maana ametutazama kwa jicho la huruma na upendo, hakika wakulima tutamlipa Rais Samia kwa kumpigia kura za Ndio kwa kishindo uchaguzi ujao na kumfanyia kampeni ya nyumba kwa nyumba
 
Acha utani wako mkuu, Mimi nashinda shambani muda Mwingi, Nakukaribisha pia shambani ulime na uache kulia Lia habari za Bei ya vyakula kupanda utafikiri sisi wakulima ndio tulizaliwa kubeba matatizo yenu watu wa mjini, acha Nasi tufaidike na jasho letu, mama yetu Rais Samia ametambua machungu tunayoyapata na kuyapitia wakulima ndio maana ametutazama kwa jicho la huruma na upendo, hakika wakulima tutamlipa Rais Samia kwa kumpigia kura za Ndio kwa kishindo uchaguzi ujao na kumfanyia kampeni ya nyumba kwa nyumba
Good message
 
Nonsensical post
Sasa hivi ni saa 10:30, Jenerali Sabaya ameshapigiwa filimbi ya kuingia selo kulala,habari ndio hiyo,uliandika JF na kuandika kumuombea Sabaya huruma kwa Mama mpaka umejichokea maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado napigwa pipe tu Jela Karanga pale mamamamamamae
 
Sasa hivi ni saa 10:30, Jenerali Sabaya ameshapigiwa filimbi ya kuingia selo kulala,habari ndio hiyo,uliandika JF na kuandika kumuombea Sabaya huruma kwa Mama mpaka umejichokea maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado napigwa pipe tu Jela Karanga pale mamamamamamae
Huu ni upuuzi. Jadili mada husika
 
Hii ni mada husika?

CDM wajifunze nini kwenye hilo au hizo mbwembwe za selfie ndio za kujifunza? Wahuni wa Magufuli si walivunja green house za Mbowe wakati Ali Hapi akiwa kwenye ofisi ya umma akitetemekea cheo?

Huyo msaka sifa mmpe muda wa miaka mitatu akiwa anapambana na changamoto za kilimo. Akifanikiwa kuwepo kwenye kilimo baada ya hela za wizi kukuta ndio uje na picha zake.
 
Back
Top Bottom