Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
Wamefundwa kulima au nini??Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefundwa kulima au nini??Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484
Mbona kuwa kiongozi na kuwa mkulima ni vitu viwili tofauti??Kuwa viongozi
Acha utani wako mkuu, Mimi nashinda shambani muda Mwingi, Nakukaribisha pia shambani ulime na uache kulia Lia habari za Bei ya vyakula kupanda utafikiri sisi wakulima ndio tulizaliwa kubeba matatizo yenu watu wa mjini, acha Nasi tufaidike na jasho letu, mama yetu Rais Samia ametambua machungu tunayoyapata na kuyapitia wakulima ndio maana ametutazama kwa jicho la huruma na upendo, hakika wakulima tutamlipa Rais Samia kwa kumpigia kura za Ndio kwa kishindo uchaguzi ujao na kumfanyia kampeni ya nyumba kwa nyumba
Mmeacha kunyang'anyana mashamba mtu akitoka madarakani? Hio itakuwa ni hatuna nzuri