kwetukubaya
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 108
- 211
Jenerali Sabaya kabaki kichwa tu *****,Jela hakuna Bata,Ujanja na Ubabe wote kwishney[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484
Wewe kamanda tindo bila nyanya za Iringa hapo Dar hauna maisha.CDM wajifunze nini kwenye hilo au hizo mbwembwe za selfie ndio za kujifunza? Wahuni wa Magufuli si walivunja green house za Mbowe wakati Ali Hapi akiwa kwenye ofisi ya umma akitetemekea cheo?
Huyo msaka sifa mmpe muda wa miaka mitatu akiwa anapambana na changamoto za kilimo. Akifanikiwa kuwepo kwenye kilimo baada ya hela za wizi kukuta ndio uje na picha zake.
Hii nini?Jenerali Sabaya kabaki kichwa tu *****,Jela hakuna Bata,Ujanja na Ubabe wote kwishney[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2415540
Kweli hata lowasa alichunga ng'ombe !kweli tumefundwa!Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484
Sasa kama huyo Pambalu wako akilima kwenye vyanzo vya maji unataka aachiwe, au?hilo shamba angelima Pambalup0ungesikia amelima kwenye vyanzo vya maji
View attachment 2415514
Pambalu?! Pambalu how much?hilo shamba angelima Pambalu ungesikia amelima kwenye vyanzo vya maji
View attachment 2415514
muda unaopoteza kuandika USHUZI JF ni vema ungeutumia kwenda Karanga Jela pale kumpelekea Jenerali Sabaya walau Nyembe za kunyolea vuzi na sabuni,ni vitu adimu sana mle ndani,kaisha kimebaki kichwa tu mamamae,hakika What Goes Around Comes AroundUlimaliza la saba?
Stupiditymuda unaopoteza kuandika USHUZI JF ni vema ungeutumia kwenda Karanga Jela pale kumpelekea Jenerali Sabaya walau Nyembe za kunyolea vuzi na sabuni,ni vitu adimu sana mle ndani,kaisha kimebaki kichwa tu mamamae,hakika What Goes Around Comes AroundView attachment 2415558
Wewe kamanda tindo bila nyanya za Iringa hapo Dar hauna maisha.
Shamba la mbowe lilikuwa ndani ya mita 60 kinyume na sheria ya mazingira. Ulitaka liachwe?
CHADEMA inaingiaje sasa hapo wewe Mpuuzi?Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484
Lugha ya picha hiyo sio lazima iwe kweli kama unavodhani!Ulimaliza la saba?
Hilo ndio mnaloweza, "time and tide wait for no man"Atamkumbuka magufuli mpaka siku yake ya kuondoka hapa duniani. Jeuri yote kwisha. Aliwajaza sana upepo hawa vijana.
Wapi Paul Makonda aka Daudi Albert Bashite! Wapi General Lengai Ole Sabaya!!
Mbowe amerudi na anaendelea kulilimaWewe kamanda tindo bila nyanya za Iringa hapo Dar hauna maisha.
Shamba la mbowe lilikuwa ndani ya mita 60 kinyume na sheria ya mazingira. Ulitaka liachwe?
Kilimo cha mitandaoni.Maana wanatambua kuwa uogozi ni dhamana na hiyo dhamana ikiondoka basi unatakiwa uwe makini
Hiki sio kilimo cha selfieView attachment 2415484