Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani bado hamjahamia kwenye lile pagale la Mikocheni? Kwa vyovyote vile Chama cha watoa taarifa hamtaeleweka kwa wapiga kura kama kwenye hiyo press hamtamshukuru mwenyekiti wa CCM kwa kuratibu maandamano yenu
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Kinaungwa na wengi waliosoma
Chadema hakuna chawa
 
IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Nje ya mada: Ansbert Ngurumo unaona anyota habari kwa kutumia higher mental faculties, mnashindwa nini mtu kama wewe? Tatizo lako nadhani ni UCHAWA otherwise.........
Ansbert ni Ansbert na mimi ni mimi, kwa vile Ansbert ana uwezo huo wa kutoa habari kwa kutumia higher mental faculties, mimi siwezi kujifanya Ansbert kwasababu sikujaaliwa hiyo higher mental faculties, ila na mimi ninatumia kile kidogo nilicho jaaliwa.
Kama fulani anafanya vizuri, wote hatuwezi kufanana na huyo fulani!.
P
 
Kinaungwa na wengi waliosoma
Chadema hakuna chawa
Hao wasomi ndo ambao hata siku ya kupiga kura hawaendi kupiga? Na wengi wao ni diaspora. Siku CHADEMA mkija kugundua huu upumbavu wenu wa kutoelewa kwenye demokrasia muhimu ni NAMBA. Uwingi wa wanaokuunga mkono ndo nguvu yako. Haijalishi wamesoma au hawajasoma. CCM ni chama cha wote.. hata wahadzabe siku ya kupiga kura huipigia CCM. Nyie CHADEMA bakini na wasomi wenu wa Twitter.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Na hao mnaowaita maskini,wazee na wenye kuishi vijijini ndio majority ya wapiga kura.
Endeleeni kujivunia utajiri na usomi na mtashindwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu na Uchaguzi mkuu 2025 na mtadai kwamba mmeibiwa kura kumbe ukweli mnaujua.Endeleeni kutukana wapiga kura.
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Unajitoa ufahamu au ni nini? kilichotendeka uchaguzi 2020 unaona kilikuwa sawa.
 
Na hao mnaowaita maskini,wazee na wenye kuishi vijijini ndio majority ya wapiga kura.
Endeleeni kujivunia utajiri na usomi na mtashindwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu na Uchaguzi mkuu 2025 na mtadai kwamba mmeibiwa kura kumbe ukweli mnaujua.Endeleeni kutukana wapiga kura.
Na sasa ndio tumefika kuwaelimisha kwamba umasikini walionao si mpango wa Mungu , bali ni mpango wa ccm

FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
 
CHADEMA mjue demokrasia ni mchezo wa namba. Hao maskini, wazee, wenye elimu duni, wanawake na waishio vijijini mnaowadharau ndo wengi sana na huwa waaminifu sana kuamka asubuhi mapema kwenda kupiga kura. Acheni huo ushenzi wa kudhani wasomi na matajiri ambao ni wachache ndo wawawezesha kushika dola. Huo utafiti ulitakiwa uwaamshe toka usingizini ili muanze kusaka uungwaji mkono na hayo makundi mnayoyadharau. Kibaya zaidi siku za karibuni mmejipaka mavi kwa kujitumbukiza kwenye udini... mmeki-brand chama kuwa ni cha kikristo. MSIPOFUATA HUU USHAURI WANGU MTAISHIA KUWA WAPINZANI TU
 
CHADEMA mjue demokrasia ni mchezo wa namba. Hao maskini, wazee, wenye elimu duni, wanawake na waishio vijijini mnaowadharau ndo wengi sana na huwa waaminifu sana kuamka asubuhi mapema kwenda kupiga kura. Acheni huo ushenzi wa kudhani wasomi na matajiri ambao ni wachache ndo wawawezesha kushika dola. Huo utafiti ulitakiwa uwaamshe toka usingizini ili muanze kusaka uungwaji mkono na hayo makundi mnayoyadharau. Kibaya zaidi siku za karibuni mmejipaka mavi kwa kujitumbukiza kwenye udini... mmeki-brand chama kuwa ni cha kikristo. MSIPOFUATA HUU USHAURI WANGU MTAISHIA KUWA WAPINZANI TU
Umasikini si jambo la kujivunia , ni laana
 
Endelea na kejeli zako.Hao unawakejeli ndio majority Nchi hii na wana kura 1 mara ulivyo wewe so called"tajiri".Wamesha wajua na kejeli zenu matokeo mtayapata.
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Popoma lingine hapa juu...
 
Back
Top Bottom