Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mujibu wa Chadema Digital , Chadema ina wanachama hai mil 15 , huku ccm ikiwa na mil 8 tu , wengi wao wakiwa ndugu wa viongozi na nyumba zao ndogo

Angalizo : Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpya .
Mbunge wa Hai ni chama gani
 
Hao wasomi ndo ambao hata siku ya kupiga kura hawaendi kupiga? Na wengi wao ni diaspora. Siku CHADEMA mkija kugundua huu upumbavu wenu wa kutoelewa kwenye demokrasia muhimu ni NAMBA. Uwingi wa wanaokuunga mkono ndo nguvu yako. Haijalishi wamesoma au hawajasoma. CCM ni chama cha wote.. hata wahadzabe siku ya kupiga kura huipigia CCM. Nyie CHADEMA bakini na wasomi wenu wa Twitter.
Jana nimewaona vijana waUVCC Wanagombania wali na maji kule mjini. Dar. Kwa upumbavu ule mtatatawaliwa milele.
Ni rahisi sana kumtawala mwenye njaa kuliko aliyeshiba- Ulimwengu, J
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe

Watakuwaje na wabunge 200 wakati wao wanategemea wachaguliwe na wananchi ilihali kuna CCM ambayo wabunge wake hawategemei kura ya mtu yeyote isipokuwa wakurugenzi na polisi?
 
Kwani bado hamjahamia kwenye lile pagale la Mikocheni? Kwa vyovyote vile Chama cha watoa taarifa hamtaeleweka kwa wapiga kura kama kwenye hiyo press hamtamshukuru mwenyekiti wa CCM kwa kuratibu maandamano yenu
Ukoo wenu wote hata mkijiuza watumwa you can not raise money to buy that!
 
Ansbert ni Ansbert na mimi ni mimi, kwa vile Ansbert ana uwezo huo wa kutoa habari kwa kutumia higher mental faculties, mimi siwezi kujifanya Ansbert kwasababu sikujaaliwa hiyo higher mental faculties, ila na mimi ninatumia kile kidogo nilicho jaaliwa.
Kama fulani anafanya vizuri, wote hatuwezi kufanana na huyo fulani!.
P
Basi jitoeni muache kupotosha watu na unreasoned news
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Acha upumbavu, wabunge wote wa ccm ni hand picked na mwendazake, usitake kufunua makaburi, ujinga,umasikini, maradhi na rushwa vimetamalaki, mbona Singida kuna umasikini sana?,alisikika magogoni akumuuliza magogoni swali hili!!
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Umejitoa ufahamu kidogo
 
Back
Top Bottom