Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Pre GE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Februari 1

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
hujamaliza kuota
 
Tangazo linasema Feb Mosi. Hapo kwenye
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.

Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania

Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi s
Kina wabunge wangapi huko Kilimanjaro ?
Rekebisha heading ni Feb 1 na sio Feb 2
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Hivi wewe upo nchi gani au unajitoa akili, kama umeshiba kande si ujiendee tu ukalale.
 
Peneza ni malaya, wanasiasa.malaya.malaya sikui anati na nani
Heshima kitu cha bure, heshimuni watu na msitukane wadada wa watu kuwa ni mala.. unless kama alikuuzia!.

Japo kwenye hii hama hama ya wanasiasa, kuna wahamaji wa aina 3.

1. Wasaka fursa, hawa ndio wanasiasa malaya malaya, Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary) | JamiiForums
2. Bendera fuata upepo, hawa ni wanasiasa waabudu watu, mtu wao akihama wanahama nae.

3. The bonafide genuine ones ambao ni watu wa principles wameingia upinzani for genuine reasons lakini wakabaini vyama vyao sio, hivyo wakaona bora warejee CCM!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja? | JamiiForums na hapa CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike | JamiiForums

Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,
Nimemsikiliza, nimeguswa!.

Kiukweli I was very right about this beautiful queen, young and very energetic lovely lady ambaye ni beauty with brain!.

Nilimfahamia Upendo Peneza kupitia kwa Regia Mtema (RIP) Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?

Angalieni niliwahi kusema nini kumhusu Upendo Furaha Peneza humu[/SIZE]
  1. Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
  2. Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
  3. Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
  4. Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
  5. Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
  6. Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
  7. Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
  8. Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
  9. Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
  10. Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
  11. Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
  12. Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
  13. Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!

Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.

Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.

Binti mwenye wasifu kama huu, hawezi kuwa mala..!.
P
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.

Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania

Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja

View attachment 2889739
press c.with no end game are nothing and useless
 
Heshima kitu cha bure, heshimuni watu na msitukane wadada wa watu kuwa ni mala.. unless kama alikuuzia!.

Japo kwenye hii hama hama ya wanasiasa, kuna wahamaji wa aina 3.

1. Wasaka fursa, hawa ndio wanasiasa malaya malaya, Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary) | JamiiForums
2. Bendera fuata upepo, hawa ni wanasiasa waabudu watu, mtu wao akihama wanahama nae.

3. The bonafide genuine ones ambao ni watu wa principles wameingia upinzani for genuine reasons lakini wakabaini vyama vyao sio, hivyo wakaona bora warejee CCM!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja? | JamiiForums na hapa CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike | JamiiForums


Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,
Nimemsikiliza, nimeguswa!.

Kiukweli I was very right about this beautiful queen, young and very energetic lovely lady ambaye ni beauty with brain!.

Nilimfahamia Upendo Peneza kupitia kwa Regia Mtema (RIP) Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?

Angalieni niliwahi kusema nini kumhusu Upendo Furaha Peneza humu[/SIZE]
  1. Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
  2. Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
  3. Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
  4. Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
  5. Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
  6. Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
  7. Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
  8. Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
  9. Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
  10. Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
  11. Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
  12. Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
  13. Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!

Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.

Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.

Binti mwenye wasifu kama huu, hawezi kuwa mala..!.
P

Narudia wanasiasa malaya malaya by JK Nyerere included Peneza. Katika wanawake wanasiasa waliokuwa kwenye moyo wangu ni pamoja na Peneza. Alipofanya UMALAYA nitamuita malaya! FULL STOP



View: https://www.youtube.com/watch?v=E79zLqNM7yg
 
Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Unafikiria kwa kutumia upande halali au haramu!!
Huyaoni yanayoendelea humu nchini na taabu wananchi wanapata!
Nchi inapigwa kila kona!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.

Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania

Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja

View attachment 2889739
Makonda Mmoja, Kina Sugu 1000 😂😂😂
 
Narudia wanasiasa malaya malaya by JK Nyerere included Peneza. Katika wanawake wanasiasa waliokuwa kwenye moyo wangu ni pamoja na Peneza. Alipofanya UMALAYA nitamuita malaya! FULL STOP
Kwanza naheshimu mawazo yako ila naomba nikuhakikishie sio kila aliyehama Chadema kuhamia CCM ni mwanasiasa malaya malaya!.

Wanasiasa malaya ni wale waliohamia CCM kwa kuhongwa!. Kuna wengine wamehamia CCM kutokana na kuchoshwa na maroroso ya Chadema, wameomba wenyewe kujiunga CCM na hawatongozwa na yeyote na hawajahongwa hata senti moja!. Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! | JamiiForums

Peneza is one of them!. Unless kama you are very sure na yeye ni mala.. if you are not sure please don't, usimtukane ni mala.. bila ushahidi wa umalay. wake, unatuumiza sisi tunao muamininia!.
2052319_DSC_0261 (1) (1).jpg


But, if it makes you happy kutukana wadada wa watu kuwa ni mala.., bila ushahidi wowote wa huo umalay., then be happy!.
P
 
Chama chetu CHADEMA chama makini kitoe tamko na ufafanuzi wa sarakasi za chama dola kongwe CCM katika kikao cha bunge cha 14 kilichoanza January 29 2024.

Maana hadi sasa vitu nyeti vinaongelewa juu juu ndani ya Bunge na hata katika media House zetu nje ya bunge, kiasi mwananchi wa kawaida ambao ndiyo wengi hatuelewi kinachojadiliwa bunge kuhusu miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi, sheria za Tume ya Uchaguzi na mabadiliko ya katiba.

Tunasikia kulikuwepo mapendekezo yanayofikia 84 muhimu na ni 65 yamepelekwa bungeni kujadiliwa huku 19 imetiwa kapuni haikupelekwa.

Sasa hiyo 65 iliyopelekwa kujadiliwa ni ipi na 19 iliyopuuzwa ni ipi pia umuhimu ya hiyo 65 ni upi bila kusahaiu iliyoachwa 19 nayo ina mguso gani katika kutafuta haki, demokrasia na uwanja ulio sawa kwa wote.

Vituo vya televisheni vya kawaida sawia na online TV, mitandao ya kijamii ya online haijakaribisha manguli wa sheria na katiba kufafanua kinachoongelewa na kilichotupwa kuwa vinatupa mustakaballi upi kuelekea 2024 na 2025

TOKA MAKTABA:
WALICHOSEMA BUNGE LA CCM na serikali yake kikao cha 14 cha bunge january - February 2024 kuhusu mapendekezo na mabadiliko :

Dr. Joseph Kizito Mhagama mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya utawala, sheria na katiba akisoma maoni ya kamati. Naye waziri wa nchi sera, bunge ofisi ya Waziri Mkuu bi. Jenista Joakim Mhangama akiwasilisha ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=uowS98xbzME
 
Back
Top Bottom