MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Sheria gani ama Ibara gani ya Katiba inayoelekeza rais kuruhusu maandamano?Aliwaruhusu muandamane au umeshasahau manka?
Si umesema kinaungwa mkono na watu wengi halafu unauliza tena?.Si mna wabunge na mawaziri vivuli?Kina wabunge wangapi huko Kilimanjaro ?
Kinaungwa na wengi waliosomaKama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Ansbert ni Ansbert na mimi ni mimi, kwa vile Ansbert ana uwezo huo wa kutoa habari kwa kutumia higher mental faculties, mimi siwezi kujifanya Ansbert kwasababu sikujaaliwa hiyo higher mental faculties, ila na mimi ninatumia kile kidogo nilicho jaaliwa.Nje ya mada: Ansbert Ngurumo unaona anyota habari kwa kutumia higher mental faculties, mnashindwa nini mtu kama wewe? Tatizo lako nadhani ni UCHAWA otherwise.........
Hao wasomi ndo ambao hata siku ya kupiga kura hawaendi kupiga? Na wengi wao ni diaspora. Siku CHADEMA mkija kugundua huu upumbavu wenu wa kutoelewa kwenye demokrasia muhimu ni NAMBA. Uwingi wa wanaokuunga mkono ndo nguvu yako. Haijalishi wamesoma au hawajasoma. CCM ni chama cha wote.. hata wahadzabe siku ya kupiga kura huipigia CCM. Nyie CHADEMA bakini na wasomi wenu wa Twitter.Kinaungwa na wengi waliosoma
Chadema hakuna chawa
Umeelewa uzi ?Ni saa tisa sasa,hawajaanza kuongea?
Kweli kabisa, rais Samia hana ukubwa wa kuweza kuruhusu maandamano, Yale maandamano yaliruhusiwa na mkubwa Mbowe.Maandamano aruhusu Rais Samia! mbona unampa ukubwa asiokuwa nao?
Unajitoa ufahamu au ni nini? kilichotendeka uchaguzi 2020 unaona kilikuwa sawa.Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Na sasa ndio tumefika kuwaelimisha kwamba umasikini walionao si mpango wa Mungu , bali ni mpango wa ccmNa hao mnaowaita maskini,wazee na wenye kuishi vijijini ndio majority ya wapiga kura.
Endeleeni kujivunia utajiri na usomi na mtashindwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu na Uchaguzi mkuu 2025 na mtadai kwamba mmeibiwa kura kumbe ukweli mnaujua.Endeleeni kutukana wapiga kura.
CHADEMA mjue demokrasia ni mchezo wa namba. Hao maskini, wazee, wenye elimu duni, wanawake na waishio vijijini mnaowadharau ndo wengi sana na huwa waaminifu sana kuamka asubuhi mapema kwenda kupiga kura. Acheni huo ushenzi wa kudhani wasomi na matajiri ambao ni wachache ndo wawawezesha kushika dola. Huo utafiti ulitakiwa uwaamshe toka usingizini ili muanze kusaka uungwaji mkono na hayo makundi mnayoyadharau. Kibaya zaidi siku za karibuni mmejipaka mavi kwa kujitumbukiza kwenye udini... mmeki-brand chama kuwa ni cha kikristo. MSIPOFUATA HUU USHAURI WANGU MTAISHIA KUWA WAPINZANI TU
Kweli kabisa, rais Samia hana ukubwa wa kuweza kuruhusu maandamano, Yale maandamano yaliruhusiwa na mkubwa Mbowe.
Umasikini si jambo la kujivunia , ni laanaCHADEMA mjue demokrasia ni mchezo wa namba. Hao maskini, wazee, wenye elimu duni, wanawake na waishio vijijini mnaowadharau ndo wengi sana na huwa waaminifu sana kuamka asubuhi mapema kwenda kupiga kura. Acheni huo ushenzi wa kudhani wasomi na matajiri ambao ni wachache ndo wawawezesha kushika dola. Huo utafiti ulitakiwa uwaamshe toka usingizini ili muanze kusaka uungwaji mkono na hayo makundi mnayoyadharau. Kibaya zaidi siku za karibuni mmejipaka mavi kwa kujitumbukiza kwenye udini... mmeki-brand chama kuwa ni cha kikristo. MSIPOFUATA HUU USHAURI WANGU MTAISHIA KUWA WAPINZANI TU
Popoma lingine hapa juu...Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Hapo umeongeza chumvi kidogo kama kawaida yako😎...Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania ,...
Kwa mujibu wa Chadema Digital , Chadema ina wanachama hai mil 15 , huku ccm ikiwa na mil 8 tu , wengi wao wakiwa ndugu wa viongozi na nyumba zao ndogoHapo umeongeza chumvi kidogo kama kawaida yako😎