kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
hujamaliza kuotaKama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Nijipe kazi ya kazi ya kufikiri wakati najua sababu ni hao CHADEMA hawana ushawishiNafikiri Unajua kwanini hakina wabunge
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.
Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania
Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi s
Rekebisha heading ni Feb 1 na sio Feb 2Kina wabunge wangapi huko Kilimanjaro ?
Hivi wewe upo nchi gani au unajitoa akili, kama umeshiba kande si ujiendee tu ukalale.Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Moderator ameamua kudanganya umma , mimi sihusiki na nimemuomba arekebishe ila kagomaTangazo linasema Feb Mosi. Hapo kwenye
Heshima kitu cha bure, heshimuni watu na msitukane wadada wa watu kuwa ni mala.. unless kama alikuuzia!.Peneza ni malaya, wanasiasa.malaya.malaya sikui anati na nani
Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .Mkuu sweya lugendo, naunga mkono hoja, CHADEMA kususia kuteua EALA ni strength au ni udhaifu wa ubinafsi?, nimependekeza huyu binti asimamishwe na Chadema, EALA!. Mnaonaje?
Kwa wasio mfahamu, kumfahamu zaidi na anasimamia nini, karibuni mitaa hii
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
Angalia nilipomfahamu, Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
press c.with no end game are nothing and uselessTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.
Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania
Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja
View attachment 2889739
Narudia wanasiasa malaya malaya by JK Nyerere included Peneza. Katika wanawake wanasiasa waliokuwa kwenye moyo wangu ni pamoja na Peneza. Alipofanya UMALAYA nitamuita malaya! FULL STOPHeshima kitu cha bure, heshimuni watu na msitukane wadada wa watu kuwa ni mala.. unless kama alikuuzia!.
Japo kwenye hii hama hama ya wanasiasa, kuna wahamaji wa aina 3.
1. Wasaka fursa, hawa ndio wanasiasa malaya malaya, Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary) | JamiiForums
2. Bendera fuata upepo, hawa ni wanasiasa waabudu watu, mtu wao akihama wanahama nae.
3. The bonafide genuine ones ambao ni watu wa principles wameingia upinzani for genuine reasons lakini wakabaini vyama vyao sio, hivyo wakaona bora warejee CCM!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja? | JamiiForums na hapa CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike | JamiiForums
Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,Nimemsikiliza, nimeguswa!.
Kiukweli I was very right about this beautiful queen, young and very energetic lovely lady ambaye ni beauty with brain!.
Nilimfahamia Upendo Peneza kupitia kwa Regia Mtema (RIP) Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
Angalieni niliwahi kusema nini kumhusu Upendo Furaha Peneza humu[/SIZE]
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.
Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.
Binti mwenye wasifu kama huu, hawezi kuwa mala..!.
P
Unafikiria kwa kutumia upande halali au haramu!!Kama kingekuwa kinaungwa mkono na wananchi si mngekuwa na wabunge ata 200 bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hila CHADEMA Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Makonda Mmoja, Kina Sugu 1000 πππTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.
Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania
Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja
View attachment 2889739
Kwanza naheshimu mawazo yako ila naomba nikuhakikishie sio kila aliyehama Chadema kuhamia CCM ni mwanasiasa malaya malaya!.Narudia wanasiasa malaya malaya by JK Nyerere included Peneza. Katika wanawake wanasiasa waliokuwa kwenye moyo wangu ni pamoja na Peneza. Alipofanya UMALAYA nitamuita malaya! FULL STOP
Moderator ameamua kudanganya umma , mimi sihusiki na nimemuomba arekebishe ila kagomTangazo linasema Feb Mosi. Hapo kwenye
Chadema haijawahi kujibizana na watu duniWanakwenda kumjibu Makonda!
Hivi ni Makonda au Bashite ?Makonda Mmoja, Kina Sugu 1000 πππ
Hiyo ilikuwa wkt wa Akina Slaa.Kinaungwa na wengi waliosoma
Chadema hakuna chawa
ACT kuandamana 6.2.2024Nategemea kuona maandamano nchi nzima, na ratiba ya mikutano ya siasa nchi nzima.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app