Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kudhibiti Corona .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una akili ndogo sana !Nadhani watazungumzia mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa!
Ni fitna tu kisa kina mdee wanakula posho, Ndugai kashawapa muongozo wa kuufata ,Nadhani watazungumzia mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa!
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREchadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,
Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Muda utaongea manka!una akili ndogo sana !
Hao nyumbu ndicho wanachokitafuta. Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana.chadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,
Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Tatzo lako ni kuabudu na kusushudu binadamu badala ya Muumba mbingu na nchiwanataka kitumia fursa kusaka kiki
Uliabudu na kumtukuza JPM badala ya Muumba mbingu na Dunia. Hilo ni KOSA KUBWA SANAHao nyumbu ndicho wanachokitafuta. Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani watazungumzia mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa!
Tatizo kina halima wanatumia jina la chadema, tatizo lipo hapochadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,
Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Ndo Uhuru wenyeweWameanza chokochoko hawa
Ndo Uhuru wenyeweWameanza chokochoko hawa
Upumbavu wa mtu huthibitishwa na matamshi yake.Lema na Lisu mnarudi lini Tanzania?
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Nadhan isiingefaa Wala haifai kutumia neno DHAIFU kwa kiongozi ambaye toka aingie madarakani hata siku 90 hazijatimia! Huyo Mama ni msikivu, tatizo letu watanzania tukipata mtu msikivu tunamwita dhaifu, matokeo yake yanakua Kama Yale tunapata viongozi wababe wababe na wenye kiburi Kama akina Ndugai na Jiwe!chadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,
Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Zima TV tu,hakuna namna,maana ni chama halali kilichosajiliwa ambacho mwendazake alipambana kukiua lakini akafa yeye na akakiacha kinaishichadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,
Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK