Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Aaagh, na nyie mmezidi sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaagh, na nyie mmezidi sasa!
Tumeanza Upyaaaaaa !!!Aaagh, na nyie mmezidi sasa!
Unaelewa maana ya kuabudu na kusujuduTatzo lako ni kuabudu na kusushudu binadamu badala ya Muumba mbingu na nchi
Ni ile hali uliyokuwa ukiifanya kwa JPMUnaelewa maana ya kuabudu na kusujudu
JPM hakuniangushaNi ile hali uliyokuwa ukiifanya kwa JPM
mnataka kuwaua tena? mbona Huulizi Shetani Magufuli anafufuka lini?Lema na Lisu mnarudi lini Tanzania?
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Kumbe laana ya kumshabikia Jiwe aue watu, kuwapoteza, kuwateka bado inakuandamaNadhani watazungumzia mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa!
Wewe siku hizi umekubuhu kwa uongo mleta mada ile press ya BAWACHA iLIISHIA WAPI?
Jinga weweHao nyumbu ndicho wanachokitafuta. Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana.
Mkuu nenda makao makuu ufipa utapata majibu!Lema na Lisu mnarudi lini Tanzania?
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Nitajie nchi ambayo hakuna corona baada ya kufuata muongozo.
Jikite kwenye madaNitajie nchi ambayo hakuna corona baada ya kufuata muongozo.
nyie wapinzani toka JPM mnalizimisha lockdown utafikiri mna maisha ya kibillionea kumbe wala mihogo tu,ili nanyi muonekane mnafuate muongozo.
hovyo kabisa endeleeni kumpotosha rais,leo corona ina zaidi ya mwaka mmoja kwani tunaishije?
Wamepotelea wapi sasa hawa wahuni?
Mbona hujatupa updates?
Wewe ni mwandishi wa habari ?Mbona hujatupa updates?