CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

chadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,

Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Vurugu walifanyiwa na wenye mawazo kama yako.
 
chadema tumewachoka, yote hiyo ni wivu kisa kina halima waanakula posho,

Mmeshamuona SASHA ni dhaifu ,mmeanza kila siku press, soon mtaanza mikutano na vurugu kama enzi za JK
Sema ukweli, mnawagwaya mno.
Nchi ni HURU na ni ya kwetu sote.
Ukianza kukubali na kutambua hivyo nawe utakuwa huru na MUNGU atakupenda.
 
Back
Top Bottom