CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

mnataka kuwaua tena? mbona Huulizi Shetani Magufuli anafufuka lini?
 
Mkuu nenda makao makuu ufipa utapata majibu!
Nenda jitambulishe wewe etwege

Ova
 
View attachment 1778395

Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kudhibiti Corona .
Nitajie nchi ambayo hakuna corona baada ya kufuata muongozo.
nyie wapinzani toka JPM mnalizimisha lockdown utafikiri mna maisha ya kibillionea kumbe wala mihogo tu,ili nanyi muonekane mnafuate muongozo.
hovyo kabisa endeleeni kumpotosha rais,leo corona ina zaidi ya mwaka mmoja kwani tunaishije?
 
Jikite kwenye mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…