CHADEMA Kutumia Sakata la DP World Kueneza "Hate Speech" Haikubaliki na Ni Kinyume na Maadili ya Nchi na Umoja wa Mataifa

CHADEMA Kutumia Sakata la DP World Kueneza "Hate Speech" Haikubaliki na Ni Kinyume na Maadili ya Nchi na Umoja wa Mataifa

Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.
Ccm bhana tunakaa kupambania aman kuliko haki
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Tafadhali ainisha hizo hate speech ili jukwaa lijiridhishe!!
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Ningeshangaa sana usingemtaja Kardinari Pengo,wewe jamaa udini utakumaliza.
 
Ikisema ianze kuawaeka ndani kama enzi ya magu watu wataanza kulia lia tena kua serikali ya kibabe.inshort wananchi wanatumiwa vibaya mno na hawa viongozi wapuuuzi.nilikua chadema kindaki ndaki ila saiv nimewaona ni watu wa hovyooooo kuliko yaan hawafai kupewa nchi.mwenye akili timamu hili lazima alione
Kiongozi mkuu wa upinzani kua na chuki ni mbaya xnaa mwisho wa cku yataja tokea yale mauaji kama ya south a.
Nilipoona tu undishi wa 'xana' na pia kutokujua matumizi ya nukta na baada ya nukta uanze na herufi kubwa,basi kijana unahitaji kwanza kurudi shule ujifunze basics za uandishi kisha urudi sasa kuwabeza CHADEMA.
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
hakuna ubaguzi wala hate speech, odoeni mkataba huu wa kipuuzi muone kama watu wataongea hayo mnayosema ni ubaguzi. Inakuwaje Tanganyika ndio wanaopenda sana MAENEDELEO kuliko Zanazibar? mzanzibar anauza Tanganyika ukiuloiza unaitwa mbaguzi. jifunzeni kuwa na vichwa vyenye Uwezo wa kusikiliza hatabyale msiopenda kusikia. Futeni huo mkataba wenu wa KIMANGUNGO au jumuisheni na Bandari za Zanzibar.
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Hii ni hofu yako
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Nime confirm nilichokuwa ninamashaka nacho.
Una akili za bata mzinga.
 
DSC_2469.jpg

"Hate speech" yaani WanaCCM mumeshasahau mara hii au Nyani haoni kundule...?

Lugha za Kibaguzi nyie ndio waasisi.
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Unawaza tu nchi wakati rasilimali za nchi zinateketea.Hiyo nchi itasaidia nini kama ikiwa haina kila kitu muhimu.wacha wenye akili wapambanie tulivyonavyo.Mambo ya nchi yatakuja tu kwasababi sio lazima iwe leo.tumia akili wakati mwingine.
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.


Lakini mi nadhani ingekua busara na muhimu sana wewe unaefahamu vema Jambo hili ukatusaidia tusiojua, suala la Bandari linahusu Bandari za Bara pekee au na Zanzibar pia?. Halafu hapo ukipaweka sawa tutapata nguvu ya kumsema anaepotosha na kuchochea chuki miongoni mwa watz.
Tafadhali sana
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Itakuwa Bora tuongozwe na Mtanganyika halafu ni msomi wa Uchumi

Nchi itapaa sana
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Hakuna chuki. Jibu I maswali ya Watanzania. Period.
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Waliouza Bandari wana chuki na Tanganyika
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..

..Mnyika ameuliza swali ambalo serikali ilipaswa kulijibu.

..kwanini bandari za Zanzibar haziko ktk mkataba huu?

..Je, Zanzibar kuunda mamlaka yake ya bandari ni uvunjifu wa katiba?

..Je, kumjibu Mnyika kunaweza kuibua malalamiko zaidi kuhusu muungano wetu?

..Suala hili la bandari limebainisha kasoro kubwa ktk muungano wetu, na limedhihirisha umuhimu wa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.
 
Back
Top Bottom