CHADEMA Kutumia Sakata la DP World Kueneza "Hate Speech" Haikubaliki na Ni Kinyume na Maadili ya Nchi na Umoja wa Mataifa

CHADEMA Kutumia Sakata la DP World Kueneza "Hate Speech" Haikubaliki na Ni Kinyume na Maadili ya Nchi na Umoja wa Mataifa

Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Kumbe na wewe ni mpumbavu kiasi hiki
 
Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..

Ndo Sera zao miaka yote...

Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..
Wewe nae kwa akili kama hizi lazima mtukanwe tu. Imagine mtu anatetea rasilimali za nchi yake ila panatokea wapumbavu flani hivi wasiokuwa na akili badala waungane kutetea, wao wanawatukana wale wanaotetea vya kwao. Tumeshawaambia kuwa hili la bandari mmeyakanyaga. Hakuna Mtz mwenye akili atakaewaelewa! Time will tell. Rejeeni mikataba ya migodi yetu. Raia walipiga kelele ila hawakuskizwa!
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Ungewakemea kwaza walioapa, huku wameshikilia misahafu, kuwa watalinda maslahi ya nchi, halafu wakageuka kuwa madalali wa kuuza rasilimali za Tanganyika. Waliapa watatenda haki na kutotoa upendeleo wowote, lakini wakazilinda bandari za Zanzibar na kuziuza zaTanganyika. Waliapa kuilinda katiba, katiba inayotamka wazi kuwa mamlaka ya juu kabisa ni umma wa Watanzania, lakini wamejimejifanya miunguwatu, na kutamka wazi kuwa wamefunga masikio, hawana habari kuhusu wenye nchi wanataka nini.

Kwa upande mwingine, nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa kuwa wakweli. Mbaguzi mkuu ni Rais. Aliwezaje kusaini document inayoruhusu uporaji wa bandari za Tanganyika akaziacha za kwao Zanzibar? Ina maana jambo hili halikufanyika kwa bahati mbaya. Mbaguzi ni Rais, kwa nini awaweke wazanzibari kwenye wizara isiyo ya Muungano? Ina maana alikosa mtu kutoka kwa wenye wizara yao, hadi kulazimika kuwachukua watu toka Zanzibar?

Kama kjna wabaguzi nchi hii, basi wa kwanza atakuwa ni Rais.
 
Ungewakemea kwaza walioapa, huku wameshikilia misahafu, kuwa watalinda maslahi ya nchi, halafu wakageuka kuwa madalali wa kuuza rasilimali za Tanganyika. Waliapa watatenda haki na kutotoa upendeleo wowote, lakini wakazilinda bandari za Zanzibar na kuziuza zaTanganyika. Waliapa kuilinda katiba, katiba inayotamka wazi kuwa mamlaka ya juu kabisa ni umma wa Watanzania, lakini wamejimejifanya miunguwatu, na kutamka wazi kuwa wamefunga masikio, hawana habari kuhusu wenye nchi wanataka nini.

Kwa upande mwingine, nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa kuwa wakweli. Mbaguzi mkuu ni Rais. Aliwezaje kusaini document inayoruhusu uporaji wa bandari za Tanganyika akaziacha za kwao Zanzibar? Ina maana jambo hili halikufanyika kwa bahati mbaya. Mbaguzi ni Rais, kwa nini awaweke wazanzibari kwenye wizara isiyo ya Muungano? Ina maana alikosa mtu kutoka kwa wenye wizara yao, hadi kulazimika kuwachukua watu toka Zanzibar?

Kama kjna wabaguzi nchi hii, basi wa kwanza atakuwa ni Rais.
Wapi umewaona wanatumia hate speech?
 
Ungewakemea kwaza walioapa, huku wameshikilia misahafu, kuwa watalinda maslahi ya nchi, halafu wakageuka kuwa madalali wa kuuza rasilimali za Tanganyika. Waliapa watatenda haki na kutotoa upendeleo wowote, lakini wakazilinda bandari za Zanzibar na kuziuza zaTanganyika. Waliapa kuilinda katiba, katiba inayotamka wazi kuwa mamlaka ya juu kabisa ni umma wa Watanzania, lakini wamejimejifanya miunguwatu, na kutamka wazi kuwa wamefunga masikio, hawana habari kuhusu wenye nchi wanataka nini.

Kwa upande mwingine, nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa kuwa wakweli. Mbaguzi mkuu ni Rais. Aliwezaje kusaini document inayoruhusu uporaji wa bandari za Tanganyika akaziacha za kwao Zanzibar? Ina maana jambo hili halikufanyika kwa bahati mbaya. Mbaguzi ni Rais, kwa nini awaweke wazanzibari kwenye wizara isiyo ya Muungano? Ina maana alikosa mtu kutoka kwa wenye wizara yao, hadi kulazimika kuwachukua watu toka Zanzibar?

Kama kjna wabaguzi nchi hii, basi wa kwanza atakuwa ni Rais.
Huyu anaeongea upumbavu hapa ndio Rais si ndio?
 
Hapa mods hawawezi kufuta Kwa sababu ni mwanachama wao katoa lugha ya kudhalilisha kinyume na Maadili Yao
Nionyeshe ulipokemea speech ya Chawa wenu Manara aliposema Bandari ya Dar haiwahusu watu wa mikoani maana ilianzishwa na Waarabu na wamerudishiwa Waarabu!
 
Sijawah kuona mpango mkakati wa CHADEMA zaidi ya kurukia mambo,Mara DP world wakati wao ndiyo waliojinadi na sera za ubinafsishaji wa uwanja wa ndege n.k inakuwaje CCM wanataka kubinafsisha bandari wao wabweke hovyo. Suala la uwekezaji lazima liwe la faida kwa upande wa muekezaji serikali ni watcher ,regulator na collecter msituchanganye. Kwani enclousere system sindo ilimfanya BRITISH kuwa super power!! Na open door policy/marshall plan kwa U.S.A na vyote vilipigiwa kelele.
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Safi sana Serikali msicheke na nyani
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Tanzania ya 1985-95 ni tofauti sana na hii ya leo.

Hao wanapiga kelele na wanapata wasikilizaji wenye upeo mpana wa nini kinaendelea usitegemee wao kuwa na uhalali wa kudumu wa kuongea huo ujinga.

CCM wanagusa maisha ya mtu mmoja mmoja hivyo kina Lissu wanadumu na ushujaa wao wa midomoni na humu majukwaani walipo wasomi wachache.
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Punguza kuweka LINKS.

Hizo videos za Twitter ungedownload ukaupload humu.

Pili punguza lundo la maandishi.

Unaandikaga pumba sana, hala zinakuwa pumba square kwa kujaza maandishi 3000 kusififia watu
 
 
Nyie madalali rudisheni pesa ya muarabu ,hamuwezi kuuza nchi halafu watu wawaangalie tu ,kama mlileta mkataba bungeni ni wazi wananchi lazima waudiscuss kama mlikuwa hamtaki mngeuza kimya kimya tu bandari.
 
Nyie madalali rudisheni pesa ya muarabu ,hamuwezi kuuza nchi halafu watu wawaangalie tu ,kama mlileta mkataba bungeni ni wazi wananchi lazima waudiscuss kama mlikuwa hamtaki mngeuza kimya kimya tu bandari.
Mbona wewe unaangalia tuu huendi kuandamana?
 
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.


Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..

Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..


Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.

Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..

Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.

Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?

My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.

Ila ccm kupora chaguzi za nchi hii inakubalika na sheria za umoja wa mataifa.
 
Tanzania ya 1985-95 ni tofauti sana na hii ya leo.

Hao wanapiga kelele na wanapata wasikilizaji wenye upeo mpana wa nini kinaendelea usitegemee wao kuwa na uhalali wa kudumu wa kuongea huo ujinga.

CCM wanagusa maisha ya mtu mmoja mmoja hivyo kina Lissu wanadumu na ushujaa wao wa midomoni na humu majukwaani walipo wasomi wachache.
Matusi na kueneza Chuki sio ushujaa unless wewe ni punguani
 
Back
Top Bottom