Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #101
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio kwamba natakiwa niseseme ukweli Ccm ikifanya mazuri. Kesi huwa inamalizwa na ushahidi kama unabambikiwa kesi thibitisha. Mahakama ni chombo huru.Hao viongozi ww huoni wakibambikizia kesi, wakinajisi chaguzi za nchi, wakinyima haki za wengine za kisiasa? Au kwakuwa una maslahi na hizo hujuma hapo unaingiwa na upofu, ila macho yako yanaona tu hao viongozi wanapopata mrejesho wa udhalimu wao? Uko ccm, japo unajifanya uko NCCR ukidhani itakuwa na mvuto, lakini umeona ccm na hiyo Nccr hazina mvuto humu mitandaoni, kwa ajili ya nongwa unaona uichafue cdm. Acha siasa za kipuuzi dogo.
Lisu mlimpigia risasi kwa kutumia ibara ipi ya katika ya Jmt?Naamua kucheka maana unashangaza watu. Kwa hiyo hayo matusi hayaoni humu Jf na mitandao kama twitter? Hapa Tanzania kuna dikteta uchawara? Kuna rais anayefanya extrajudicial killings? Mimi sina shida ya umaarugu kama unavyowaza. Mimi ni mkulima ila kwenye ukweli nitatumia haki yangu ya kikatiba kama ibara ya 18 ya katiba ya JMT inavyosema.
Nenda kalale na hiypo fake Id ya photocopier.Unadhan kila mtu anatumwa kama ww?
Lissu alipigwa risasi na Chadema,Dk Mollel anao ushahidi.Lisu mlimpigia risasi kwa kutumia ibara ipi ya katika ya Jmt?
Can you answer an evil spirit?Pumbavu kabisa,kwahiyo wewe ccm ikiwafanyia rafu uchadema unafurahi unacheka mpaka unajijambia ila chadema wakiwatenda ccm unahuzunika mpaka unashindwa hata kula
Chakula cha makamanda? Pole sana maana safari hata ruzuku inaenda kukata.Chadema ipo mioyoni mwa watu hta mfanyeje hamuwezi badili chochote
Kama kawa! Hubaki nyuma!Chadema wanahangaika masikini hawaamini km ruzuku mwisho july
Ila Mbowe mjanja sana baada ya kujua October hatapata mbunge hata mmoja ameamua alambe Bilion nane
Uoni Aibu?.Lissu alipigwa risasi na Chadema,Dk Mollel anao ushahidi.
Wewe unaona aibu?Uoni Aibu?.
Jina lako tu ww ndio linaonekana ni chakula ya FisiemuChakula cha makamanda? Pole sana maana safari hata ruzuku inaenda kukata.
Ndiyo maana mnaambiwa msiabudu watu lakini hamsikii.sasa kila wanachoongea mnaowabudu hamtafakali.kwa ujinga unasema Molel anao ushahidi jinga kama lile mpaka unajiuliza lilipataje u dkWewe unaona aibu?
Jina langu lina tatizo gani? Umekosa points?Mkuu achana nae huyu kwanza jina lake tu ukisoma vzr lina uwalakini
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio kwamba natakiwa niseseme ukweli Ccm ikifanya mazuri. Kesi huwa inamalizwa na ushahidi kama unabambikiwa kesi thibitisha. Mahakama ni chombo huru.
Yule mtu ana siri nyingi za Chadema. Alafu ni MD usimuite mjinga. Alichosema ni kweli kabisa.Ndiyo maana mnaambiwa msiabudu watu lakini hamsikii.sasa kila wanachoongea mnaowabudu hamtafakali.kwa ujinga unasema Molel anao ushahidi jinga kama lile mpaka unajiuliza lilipataje u dk
Ukweli utajulikana pale bunge litapovunjwa.Utabaki wewe na mmiliki wa Chadema.Hakuna mahakama huru linapokuja suala la kubambikiwa kesi na watawala. Toka umejiunga na NCCR hujawahi kuweka sera zao zaidi ya kuitaja cdm ili uzi wako uwe na post nyingi. Yaani uko Nccr, lakini kwa ajili ya nongwa dhidi ya cdm, umejikuta unaitaja zaidi cdm kuliko hiyo Nccr unayojifanya uko. Vuta post zako toka uliposema uko Nccr, kisha search nyuzi zako umeitaja mara ngapi cdm, na umeitaja mara ngapi Nccr. Kwa maneno marahisi ulidhani Nccr itapata mvuto, lakini umeona haina mvuto, na hiyo ccm haina mvuto bali imebaki kushurutisha kukubalika, wakati huohuo cdm ikibaki kuwa na mvuto. Jambo hili naona linakutesa kupita kiasi.
Ni hivi, cdm haitakaa iisifie ccm kwa lolote, na wala haitokaa iisujudie ccm wala mwenyekiti wake. Kuna vyama vinaweza kuisifia ccm na kumsujudia mwenyekiti wake, na vyama hivyo ni vile visivyokuwa na mvuto kama Nccr, Cuf, Tlp nk. Hivi ndiyo vinahitaji hisani ya ccm ili kupata uwakilishi.