Chadema kuwaburuza Mahakamani OCD wa Kigoma na Dodoma kwa tuhuma za Wizi

Chadema kuwaburuza Mahakamani OCD wa Kigoma na Dodoma kwa tuhuma za Wizi

Huko Kigoma ikiwezekana wazee wafanye yao kwa huyo aliyeamuru mlingoti na bendara yake kuondolewa.
Maana hizi mahakama si za kuziamini sana,tumieni njia mbadala.!
 
CHADEMA WANASHINDWA KUFUNGA HATA CCTV ZA Elfu 60. Mfano siku wale wahuni wamempiga Mbowe getini kwake Dodoma hata CCTV hamna?

CCTV zitatumika hadi mahakama ya the Hague. Ni muhimu sana. Tena fungeni zile HD.
CCTV kwa Lissu na Clouds Makonda hazikuwepo?
 
Watashitakiwa kwa Majina yao binafsi kama wanavyoshitakiwa vibaka wengine, hii ni baada ya kuamuru na kushiriki wizi wa nyaraka za Chadema waziwazi bila kificho chochote.

OCD wa Dodoma ameonekana wazi akishiriki kuvunja ofisi ya Kanda ya kati na kuiba nyaraka kadhaa pamoja na pesa Taslimu, huku OCD wa Kigoma akituhumiwa kuvunja kijiwe cha Chadema na kuiba mlingoti wa bendera na bendera yenyewe ambavyo vyote ni Mali ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Tayari Mawakili wa Chadema wameelekezwa kufungua mashitaka hayo ifikapo Jumatatu saa 2 asubuhi.


Taarifa hii Muhimu imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Mh Benson alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Chama hicho Kinondoni , pamoja na hayo pia Mh Kigaila amehoji IGP anakotoa mamlaka ya kukamata Wafuasi wa Chadema wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani, ambapo amemtaka IGP Sirro kuonyesha Kifungu chochote cha Katiba ya Nchi kinachokataza wananchi kuhudhuria kesi Mahakamani kabla hajafunguliwa Mashitaka ya kusababisha fujo isiyo na tija yoyote, kwake binafsi , kwa familia yake wala kwa nchi Jumatatu asubuhi.
Hii imefungua WANANCHI Sana, kuanzia IGP kuburuzwa mahakamani


Sasa NAFIKILI ndo twende hivi mwananchi ukionewa na police, ni kumburuza mahakamani KWa jina lake , ili tueshimiane
 
Polisi kabla hajakukamata asaini kwa uongozi wa mtaa,ili akifunguliwa mashitaka amtaje huyo aliye juu kuthibitisha tuhuma.
Kodi nyingi zinatumika kuwalisha mahabusu wakisiasa bila sababu zamsingi
 
cdm mmeshitaki kila mtu bado aliyewaumba tu kweli mfamaji haishi kutapatapa.
 
Tanzania almost hakuna private prosecution? Any case with criminal nature ni mali ya Dpp anaweza kui fyekelea mbali with or without reason wether is private or public prosecuted
 
Watashitakiwa kwa Majina yao binafsi kama wanavyoshitakiwa vibaka wengine, hii ni baada ya kuamuru na kushiriki wizi wa nyaraka za Chadema waziwazi bila kificho chochote.

OCD wa Dodoma ameonekana wazi akishiriki kuvunja ofisi ya Kanda ya kati na kuiba nyaraka kadhaa pamoja na pesa Taslimu, huku OCD wa Kigoma akituhumiwa kuvunja kijiwe cha Chadema na kuiba mlingoti wa bendera na bendera yenyewe ambavyo vyote ni Mali ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Tayari Mawakili wa Chadema wameelekezwa kufungua mashitaka hayo ifikapo Jumatatu saa 2 asubuhi.


Taarifa hii Muhimu imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Mh Benson alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Chama hicho Kinondoni , pamoja na hayo pia Mh Kigaila amehoji IGP anakotoa mamlaka ya kukamata Wafuasi wa Chadema wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani, ambapo amemtaka IGP Sirro kuonyesha Kifungu chochote cha Katiba ya Nchi kinachokataza wananchi kuhudhuria kesi Mahakamani kabla hajafunguliwa Mashitaka ya kusababisha fujo isiyo na tija yoyote, kwake binafsi , kwa familia yake wala kwa nchi Jumatatu asubuhi.
Hiki ndicho kinachotakiwa kufanywa Mara zote...

Tunajua wanategemea kubebwa na mahakimu (baadhi)...

Lakini mimi naamini ipo siku watakuja kuamka wanakuta mahakimu wanaowategemea wote hawapo ama akili zimegeuzwa na dunia kushangaa ndani ya Tanzania RPC au OCD anahukumiwa mvua kadhaa au kulipia fidia/faini walichokiharibu....!!!
 
Hiki ndicho kinachotakiwa kufanywa Mara zote...

Tunajua wanategemea kubebwa na mahakimu (baadhi)...

Lakini watakuja kuamka wanakuta mahakimu wanaowategemea wote hawapo na dunia kushangaa RPC au OCD anahukumiwa mvua kadhaa na kulipa faini....!!!
Ni njia njema.Binge laweza itishwa haraka kupitisha sheria ya kings kwa Policccm
 
CHADEMA WANASHINDWA KUFUNGA HATA CCTV ZA Elfu 60. Mfano siku wale wahuni wamempiga Mbowe getini kwake Dodoma hata CCTV hamna?

CCTV zitatumika hadi mahakama ya the Hague. Ni muhimu sana. Tena fungeni zile HD.
Yaaah ni kweli ni muhimu wazifunge ili ziwasaidie kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kuwaona viongozi wao wakiwa wamelewa chakari na kuangua kwenye ngazi ILI WAWAHI KUWASAIDIA!
 
Back
Top Bottom