CHADEMA kuweni makini na mapokezi ya Lissu wakati huu wa msiba, mnafanya kosa la kiufundi, mtawapa watu mtaji wa kiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Sisi wanaccm tuna amini Chadema imeshakufa.
 
Hapo sikuandika mgawanyiko unaohusiana na 'itikadi'.
Mgawanyiko juu ya 'itikadi' hauleti uhasama ndani ya jamii.
 
Waache wawape watu chakusema, yani we bendera zinapepea nusu mlingoti hadi nchi jirani, watu wanaacha shughuli zao za kitaifa kwenye nchi zao huko wanakuja hapa nchini alafu eti wewe mtanzania unaenda kufanya maandamano ya mapokezi.

Sasa wewe "hao nchi jirani" wameacha shughuli zao?.....

Bendera kupepea nusu mlingoni hakuzuii shughuli za watu kuendelea.....

Ndiyo maana shule zinaendelea, sherehe za harusi zinaendelea hazizuiliwi na "bendera nusu mlingoni"...

Mnazungumza kana kwamba mmemuua Mzee wa watu makusudi ili tu kuzuia shughuli ya CHADEMA, right?...
 
Msimba kwani huyo akiyekufa ninani hapa Tz labda kama angekuwa amekufa Mbowe ndo ningekuelewa
Ndio shida ya kujadili na wanaolala na kinyesi kwenye chupi, bado hamjitambui Yaani wewe hujui umuhimu wa Hayati Mkapa kweli mpaka umfananishe na Mbowe kweli?? Mtu wako hajawahi hata kuwa katibu wa wizara leo umfananishe na Mhe Marehemu Mkapa!!
 
Mkuu ukitulia utaona msingi wa hoja yangu ni nini.

Ndugu, wengi tunakusoma. Wengi tuna akili na maarifa kukuzidi wewe. Hoja yako haina msingi wowote. Tumekusoma na kuona kusudi lako...

Hata hujiulizi ni wangapi wamekufa leo, Jana na wengine watazikwa kesho?

Obviously ni wengi lakini kazi za watu mtaani ndani ya kijijini ulipo msiba haziwezi kusimama. Watu wataomboleza huku wengine wanafanya kazi zao....

Kwa hiyo, hapa huna hoja mkubwa. Hicho unachoita "hoja", basically ni "hofu" yako binafsi iliyo na elements zote za ki - propaganda za CCM na watawala....
 
Kwani Vyombo vya usalama havina mawasiliano na Chadema kujulisha hali ya mambo itakavyokua ikiwa kuna uwezekano ama lah?
 
Mama yako
Chizi kweli wewe.chunguza mitaani hakuna mtu ana time na kifo cha mkapa.sikia ipo hivi ukitendea watu mabaya utaliliwa na wanafiki tu tena wanalia uku moyoni wanasema afadhali ameenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…