CHADEMA Makambako huu ni upigaji, hili jengo haliwezi kugharimu Tsh Milioni 80. Kwanini mnaonesha tabia za kipigaji zinazotuchafua?

CHADEMA Makambako huu ni upigaji, hili jengo haliwezi kugharimu Tsh Milioni 80. Kwanini mnaonesha tabia za kipigaji zinazotuchafua?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Makambako mkoani Njombe, Ben Kyando amesema, mpaka sasa ujenzi wa ofisi zao za chama hicho pichani umegharimu zaidi ya milioni 80 huku jumla ya shilingi Milioni 125 zikitarajiwa kutumika ili kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo zilizopo kata ya Lyamkena.

20220208_134035.jpg
 
da yaani chadema sijui wataacha lini wizi hapo milioni 120 zinatumika kufanya nini? lakini ni kawaidayao mbowe alikula milioni mia moja alipewa na sabodo kujenga ofisi ya chama matokeo yake mpaka sasa hawana ofisi nzuri makao makuu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Makambako mkoani Njombe, Ben Kyando amesema, mpaka sasa ujenzi wa ofisi zao za chama hicho pichani umegharimu zaidi ya milioni 80 huku jumla ya shilingi Milioni 125 zikitarajiwa kutumika ili kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo zilizopo kata ya Lyamkena https://t.co/mjjqVrp94RView attachment 2112548

Utakuwa wizi day light, hiyo Nyumba mpaka hapo haizidi 40m! Sasa tupiamo hako Ka ushahidi cha hayo maneno ya 80m
 
da yaani chadema sijui wataacha lini wizi hapo milioni 120 zinatumika kufanya nini? lakini ni kawaidayao mbowe alikula milioni mia moja alipewa na sabodo kujenga ofisi ya chama matokeo yake mpaka sasa hawana ofisi nzuri makao makuu

Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Makambako mkoani Njombe, Ben Kyando amesema, mpaka sasa ujenzi wa ofisi zao za chama hicho pichani umegharimu zaidi ya milioni 80 huku jumla ya shilingi Milioni 125 zikitarajiwa kutumika ili kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo zilizopo kata ya Lyamkena.

View attachment 2112548
Wewe umechangia kiasi gani
 
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Makambako mkoani Njombe, Ben Kyando amesema, mpaka sasa ujenzi wa ofisi zao za chama hicho pichani umegharimu zaidi ya milioni 80 huku jumla ya shilingi Milioni 125 zikitarajiwa kutumika ili kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo zilizopo kata ya Lyamkena.

View attachment 2112548
Wamechanga wao wamefyatua wao wamejenga wao wewe unakuja kulaumu mtandaoni, hata wangesema mil 150 sawa tu hawadaiwi na mtu.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Makambako mkoani Njombe, Ben Kyando amesema, mpaka sasa ujenzi wa ofisi zao za chama hicho pichani umegharimu zaidi ya milioni 80 huku jumla ya shilingi Milioni 125 zikitarajiwa kutumika ili kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo zilizopo kata ya Lyamkena.

View attachment 2112548
Sahihi, kiwanja wamepata bure au wamenunua?
 
Wapiga dili wapo kote kote, kama hiyo ni 80ml wayu wasinge jenga
 
Back
Top Bottom