Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Ameandika Patrick John Asenga, Kada wa Chadema kwenye Mtandao wa Twitter
“Huu ndio ukweli..... Kimsingi hakuna jina lingine unaloweza kuiita SEREKALI hii ya CCM chini ya Rais Samia zaidi ya kuiita ni SEREKALI ya MAJAMBAZI, MAJIZI, kutokana na Ripoti za CAG za kila mwaka. Hongereni nipashe kwa uthubuthu huu wa kuandika hivi”
“Huu ndio ukweli..... Kimsingi hakuna jina lingine unaloweza kuiita SEREKALI hii ya CCM chini ya Rais Samia zaidi ya kuiita ni SEREKALI ya MAJAMBAZI, MAJIZI, kutokana na Ripoti za CAG za kila mwaka. Hongereni nipashe kwa uthubuthu huu wa kuandika hivi”