Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nganjengwa Kaboyoka wa Chadema alitoa majibu kuwa hakuna tril 1.5 iliyoibiwa. Pia hansard za Bunge la JMT
nenda kaendeleze ushoga mamayenu aliwaletea shoga tetezi la ushoga ikulu.Alidhibiti upigaji wenu
Mimba yake inamchukia mbowe inapenda ukwajuNje ya mada,wewe unamuota Mbowe tu kakufanya nini hata humsahau?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
2025 tafteni kazi za kufanya.Wakilambishwa asali nao watatulia
Mkisema ni Serikal ya Wezi mjue na Mwenyekiti wenu ni mwizi, anafata nini Ikulu?
Wakilambishwa asali nao watatulia
Magufuli alipambana na ufisadi kivipi wakati CAG Assad alivyoibua ufisadi wa serikali alimtimua kazi na nyie wapambe wa kambale mkatukana Mzee Assad kila aina la tusi??Ameandika Patrick John Asenga, Kada wa Chadema kwenye Mtandao wa Twitter
“Huu ndio ukweli..... Kimsingi hakuna jina lingine unaloweza kuiita SEREKALI hii ya CCM chini ya Rais Samia zaidi ya kuiita ni SEREKALI ya MAJAMBAZI, MAJIZI, kutokana na Ripoti za CAG za kila mwaka. Hongereni nipashe kwa uthubuthu huu wa kuandika hivi”
View attachment 2579301
Daaah 🤣🤣🤣 yaan hamtaki kuhoji wala kusikia mamb ya CAG 🤣🤣!! Mtoto wa mwizi ni mwizi tu. Nimeamin 🤣🤣Mbowe naye kajitumbukiza Serikalini kila siku Kiguu na Njia Ikulu
Alidhibiti upigaji wenu
Na ndiyo wakati nilimpuuza sana huyu boyaHakuna udhibiti wowote alifanya, na miaka yote alipokuwa madarakani ripoti ya CAG ilikuwa na Madudu. Kibaya zaidi 1.5t zetu zilipotangazwa kuzipiga akageuka mbogo, hadi akahakikisha CAG anatolewa kwa mizengwe. Dhalimu alizuia uhuru wa vyombo vya habari, ili aonekane kama alikuwa kiongozi mzuri kwa kutangazwa aliyopenda tu.
CAG alisema hazijulikani zilipo sasa kama Serikali haijui kiasi kikubwa kama hicho cha hela ilipo kama siyo wizi ni kitu gani?Nganjengwa Kaboyoka wa Chadema alitoa majibu kuwa hakuna tril 1.5 iliyoibiwa. Pia hansard za Bunge la JMT
Kwa hiyo wote wanaotembelea ikulu ni sehemu ya Serikali? Wewe unamtamani sana Mbowe bila kumtaja hupati usingizi,shauri yako.Mkisema ni Serikal ya Wezi mjue na Mwenyekiti wenu ni mwizi, anafata nini Ikulu?
Wanamkumbuka kwa udhalimu wakeTindo, watanzania leo hii wanamkumbuka huyo unayedai ni Dhalimu
Na ushahidi huu hapaWakati yet ndio alikuwa mwizi. Kamuweka binamu kuwa msajili hazina ili waibe vizuri. CCM ni mafisadi Hilo ndio ukweli.
Nyumbu huchukia tu bila sababu za msingi. Kwahiyo walimchukia tuCDM walimchukia JPM yaezekana but ungeainisha walimchukia kwa mamb gan ili jukwaa litambue!!