Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Naunga mkono hoja.CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!
Mteule aliyeshinda mauti? Alikufa akafufuka? Hapati hata kura 50000 kwa hii kufuru uliyofanya.CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!
Kwani Mungu hakumshindia mauti???Mteule aliyeshinda mauti? Alikufa akafufuka? Hapati hata kura 50000 kwa hii kufuru uliyofanya.
Mtoa mada hajasema Mungu alimsaidia kushinda mauti.Kwani Mungu hakumshindia mauti???
Sasa hiyo ndo maana yake!Mtoa mada hajasema Mungu alimsaidia kushinda mauti.
We ni mpumbavuSasa hiyo ndo maana yake!
Polee mkuu naona umeishiwa hoja unakimbilia matusi!!We ni mpumbavu
Hilo sio tusi. Ila ndio ukweli wenyewe.Polee mkuu naona umeishiwa hoja unakimbilia matusi!!
Basi tukutane October 2020 katika kumsimika Tundu Antipas Lissu IkuluHilo sio tusi. Ila ndio ukweli wenyewe.
Mtaa wa ufipa? Au nyumbani kwa Joyce Mukya mkinywa Konyagi na kuvuta bangi?Basi tukutane October 2020 katika kumsimika Tundu Antipas Lissu Ikulu
Muda utaongea. Asante!Mtaa wa ufipa? Au nyumbani kwa Joyce Mukya mkinywa Konyagi na kuvuta bangi?