Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!