CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

Mackanackyyy

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2019
Posts
2,338
Reaction score
5,271
CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?

Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored

Acheni upuuzi bana, ala!
 
CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?

Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored

Acheni upuuzi bana, ala!
Naunga mkono hoja.
Chadema Media mmezubaa sana. Badilikeni bana, hao Millard Ayoccm, ITVccm, Mwanahalisiccm, Chanel tenccm, Azam TVccm na channels nyingine nyingi za CCM zinatunyima habari za CDM.

Its time 4 Change.

Washeni moto bana.
 
CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?

Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored

Acheni upuuzi bana, ala!
Mteule aliyeshinda mauti? Alikufa akafufuka? Hapati hata kura 50000 kwa hii kufuru uliyofanya.
 
Back
Top Bottom