CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

Tunaweza kumlaum Jiwe peke yake tusisahau Enablers akina Mahiga, Kabudi, Bashiru, polelpole, Cdif, Igip, Digis, Takokukuru na Spaiker
 
Utopolo.
 
Chadema hamjui mnataka nini????
 
Chama chenyewe karibu kinaenda mochwari kitashinda uchaguzi wa wapi?
Btw, kwani mama kasema ameachana na sera za hayati Magufuli mpaka unawagawia chadema? Nakumbuka alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja!
 
Huyo mungu wenu ndyo ameshakufa
 
Kwa tume hii mapesa cjui mahera????haya iblis na ujanja wake hawez shinda
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]CHADEMA mnajidaigi mnaakili huku mmeshindwa kuchukua nchi. Mnazidiwa kete alafi mnajinadi mnaakili.
 
Matendo yako hutafsir kila kitu,kama tadinu tudanu
Kauli ya kipumbavu sana kumwita binadamu mwenzako mwendakuzimu je unahukumu wewe kama nani na unauhakika gani yupo huko au unaongozwa na chuki angalia usihukumu usijehukumiwa
 
Wenye vyet feki weng bdo wapo serikaln hasa wale wabeba maboksi ya kura za wzi
 
kwel kabsa hatukuzoea hbar za kutekna na kupigana risasi hadharan
 
Kwa ujinga wako unayotuhumu ww ndyo kweli,hakika ujinga wa utoton unaweza kuisha lkn wa uzeen lazma ufe nao tu
 
Tunaweza kumlaum Jiwe peke yake tusisahau Enablers akina Mahiga, Kabudi, Bashiru, polelpole, Cdif, Igip, Digis, Takokukuru na Spaiker
Nguvu ya Rais kwa katiba yetu ni kubwa sana, hao wote waliufyata kwa Jiwe, wengi wao hawakupenda matendo yake lakini hawakuwa na cha kufanya zaidi ya kupiga mapambio ili waweze kujipatia mkate wao wa kila siku
 
Umeandika ujinga hata nafsi yako inakusuta, we sema tu kuwa ulikuwa na chuki na Jpm kwa sababu aligusa maslahi yako.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Akina Mbowe waliua watu wapi halafu walichukuliwa hatua gani, madai yako hayana msingi kwani haiwezekani mtu afanye uhalifu halafu asichukuliwe hatua, unless you're writing under the influence of Cannabis Sativa.
 
Akina Mbowe waliua watu wapi halafu walichukuliwa hatua gani, madai yako hayana msingi kwani haiwezekani mtu afanye uhalifu halafu asichukuliwe hatua, unless you're writing under the influence of Cannabis Sativa.
Propaganda hizo hizo ambazo hamziamini ndizo hizo hizo ambazo sisi wana CCM tunaziamini kuwa Chacha Wangwe aliuawa na Mbowe, Lisu aliponea chupuchupu etc.
 
Nguvu ya Rais kwa katiba yetu ni kubwa sana, hao wote waliufyata kwa Jiwe, wengi wao hawakupenda matendo yake lakini hawakuwa na cha kufanya zaidi ya kupiga mapambio ili waweze kujipatia mkate wao wa kila siku
Mkuu NaipendaTz kama ktk vigogo hao niliotaja japo hata wawili wao wangesema Mh Rais hiki tunachofanya sio sahihi twende hivi au vile angeshtuka. Tazama Nchi meparanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…