CHADEMA, mna haki ya kumuona Lissu kama shujaa wenu, ila si kulazimisha kila mtu amuone ni shujaa

CHADEMA, mna haki ya kumuona Lissu kama shujaa wenu, ila si kulazimisha kila mtu amuone ni shujaa

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
 
Hujashtakiwa Miga ila ndege yako Airbus A220 iko wapi sasa hivi tunavyoongea?

Hujashtakiwa Miga ila Ile mikataba uliyovunja kihuni imerudishwa au haijarudishwa kama ilivyokuwa awali?

Kwahiyo sasa kukosekana Katiba mnamlaumu Lisu na sio utoto uliofanywa na kina Sita na Kuna za maruhani?
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la kutafuta katiba kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama mh Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu wamuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali? Wasijubu hoja na kile mh Lisu alichotahadharisha huo nao ni ujinga?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.

Kutukana ni huluka ya wanachadema; nawakaribisheni kwa matusi!
ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Sawa sawa, sasa mpelekee mic na yule kule mwisho atoe maoni yake
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la kutafuta katiba kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama mh Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu wamuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
WATU WEMA HAWAFI MAPEMA, mzee Makamba.
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la kutafuta katiba kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama mh Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu wamuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
Hayo ni yako mwenyewe sisi Chadema hatutukuzi watu kama nyie mafala hadi mnajiita chawa. Ndiyo mnalazimisha yule mwovu aliyeko jehanam kuwa ni shujaa
 
Kariba aliharibu Sitta kwa kuandaa kariba fake na matokeo yake wakaharibu. Nilikuwa live sana. Waliotoka bungeni na kukubali kiacha maposho waliiuwa na jia njema saaana. Tena wanatakiwa wapongezwe

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la kutafuta katiba kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama mh Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu wamuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.

Maelezo mengi lakini hoja ni chache. Kwanza Lisu hahitaji ww, au nyinyi mumuone ni shujaa. Alichosema Lisu ni ukweli ambao wengi hampendi kusikia. Ila kuna namna imejengeka ya watu hasa wañaccm kukwepa ukweli.

Huko MIGA alisema tutashitakiwa kutokana na mikataba tuliyoingia. Lakini hatujashitakiwa maana hakuna chochote tumewapora hao wazungu. Sana sana walirudi kwa mlango wa uani.

Unataka tuone Magufuli alikuwa na nia njema, kiasi kwamba angeweza kukubali ushauri wa Lisu. Kwanza Magufuli alikuwa hapendi ushauri na alikuwa anatamba kabisa ukimshauri umeharibu. Inshort approach ya Magufuli haikuwa sahihi, ndio maana akajenga uhasama wa kusaka sifa za kijinga. Usisahau wakati unalia kuwa Lisu asitake kuonekana shujaa kwa kila mtu, lakini Magufuli na nyie wapambe wake mlitaka aonekane shujaa kwa kila mtu.
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la kutafuta katiba kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama mh Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu wamuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
Kama inakuuma, chomoa taratibu masta
 
Kwenu mmezika wangapi waliostahili kufa ukianzia na Babu wa bibi yako mkuu

Ile ni kauli ya wendawazimu tu mkuu, wewe haikufai kwa kuwa wengi mliozika kwenu naamini sio wabaya!
Ukoo wetu hakuna wabaya wanao winda watu wema.
 
Kisamv ,

..kuna michezo Watanzania tulichezewa, au serikali ilikubali kuchezewa.

..acacia walitushtaki ktk mahakama ya kimataifa ya wawekezaji.

..Serikali ya Tanzania ilisaidiwa na Barrick ambao ni wamiliki wa acacia kusitisha kesi hiyo.

..matokeo yake serikali ya Tanzania ikaachana na madai ya usd 191 bil dhidi ya acacia.

..pia serikali ikakubali makinikia yaendelee kusafirishwa nje ya nchi.

..vilevile uamuzi kwamba migogoro kati ya wawekezaji na serikali iamuliwe na mahakama za Tz ulilegezwa. Migogoro itaendelea kuamuliwa na mahakama za kimataifa.

..mwisho, Barrick wakawanunua minority shareholder wa acacia na hivyo kampuni hiyo kurudi kuwa miliki ya Barrick 100%.
 
Kisamv ,

..kuna michezo Watanzania tulichezewa, au serikali ilikubali kuchezewa.

..acacia walitushtaki ktk mahakama ya kimataifa ya wawekezaji.

..Serikali ya Tanzania ilisaidiwa na Barrick ambao ni wamiliki wa acacia kusitisha kesi hiyo.

..matokeo yake serikali ya Tanzania ikaachana na madai ya usd 191 bil dhidi ya acacia.

..pia serikali ikakubali makinikia yaendelee kusafirishwa nje ya nchi.

..vilevile uamuzi kwamba migogoro kati ya wawekezaji na serikali iamuliwe na mahakama za Tz ulilegezwa. Migogoro itaendelea kuamuliwa na mahakama za kimataifa.

..mwisho, Barrick wakawanunua minority shareholder wa acacia na hivyo kampuni hiyo kurudi kuwa miliki ya Barrick 100%.
Hawezi kuyajua haya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom