CHADEMA, mna haki ya kumuona Lissu kama shujaa wenu, ila si kulazimisha kila mtu amuone ni shujaa

CHADEMA, mna haki ya kumuona Lissu kama shujaa wenu, ila si kulazimisha kila mtu amuone ni shujaa

Sioni ajabu kwa kuwa nilitoa nafasi kwa watukanaji
Hongera,kwa ku staarabika mimi siko upande wowote kiitikadi lkn CDM sometimes wanaikosa democracy wanayoihubiri ,they only think all their ideas are positive and strong.
They don't leave space for people to correct them
 
Wewe au ukoo wako mmelifanyia nin hili taifa kumzidi Lissu labda??? Tuanzie hapo!
Mleta thread nimtu mjinga asiye na utafiti... mpaka madikteta ushuzi watake kumuua ujuwe aliyabana kjambio vizuri!
Pambana na kisamvu chako chalii mang'aa si tunakula baga
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
Nilifikiri ni mwanamapinduzi mwenzetu kumbe wapinga maendeleo mnakulana vichwa wenyewe kwa wenyewe.
Hapo naiona pro lissu na pro mbowe chadema zikianza mtifuano.
 
Wewe au ukoo wako mmelifanyia nin hili taifa kumzidi Lissu labda??? Tuanzie hapo!
Mleta thread nimtu mjinga asiye na utafiti... mpaka madikteta ushuzi watake kumuua ujuwe aliyabana kjambio vizuri!
Pambana na kisamvu chako chalii mang'aa si tunakula baga
Ukisema hivyo ,unakua unakosea mkuu kwamba ww umelifanyia nini taifa,kila mtu ana nafasi yake katika taifa na analifanyia taifa makubwa kwa nafasi yake,wote hatuwezi kua wanasiasa je unataka na yeye awe mwanasiasa ili alifanyie jambo kubwa taifa?
 
Ukisema hivyo ,unakua unakosea mkuu kwamba ww umelifanyia nini taifa,kila mtu ana nafasi yake katika taifa na analifanyia taifa makubwa kwa nafasi yake,wote hatuwezi kua wanasiasa je unataka na yeye awe mwanasiasa ili alifanyie jambo kubwa taifa?
Hekima hili mkuu! Barikiwa
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
Lisu sio tu shujaa wa chadema ni shujaa wa wakati huu, ni yeye pekee amepigwa risasi nyingi na serikali ili kuzibwa mdomo na bado amebaki hai, ila sasa waliamua na kukataa kughulikia waliohusika wao wameshatangulia mbele ya haki. Sasa hii haitokei hivi hivi kuna namna mwenyezi anataka na wewe uone umuhimu wa kusikia kutoka kwa usiopenda kusikia kutoka kwako.

Yapo mambo Lisu anayaelezea vizuri zaidi kuliko mtu yeyote, zilipita tawala za kina firauni huko ambapo level yao ya udikteta ulipitiliza na leo hawapo tena duniani hapa, sasa sheria na katiba zetu zilitungwa na wakoloni kwa maslahi yao sasa zimepitwa na wakati.
 
Kwa ufupi lissu hana uzalendo wowote ule katika taifa hili ndo maana watoto wake wote wana uraia wa marekani,pili lissu ni mtu mwenye uchu na madaraka yuko tayari kufake issue ili apate madaraka na kingine ni kuwa kibaraka wa wazungu.
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
Una maelezo yanyovutia lakini yenye uhaba wa ukweli;
1.Kusema Lisu alimtukana Baba wa Taifa hili Jambo sijui huwa mnalitoa wapi. Lisu alimkosoa Baba wa Taifa Kwa style aliyotumia kuunda Muungano na akatumia neno ujanja ujanja. Ni Muungano huu àmbao mpaka Leo tunapokaribia miaka 59 ya kuasisiwa kwake bado haijulikani ni Muungano dume au jike. Umejaa kero na nyingine zinazaliwa Kila asubuhi. Tume ya Warioba ilikuja na pendekezo la serikali 3, CCM wakaikataa kwamba itavunja Muungano Kwa kumfanya Rais wa Tanganyika awe na nguvu Sawa na wa Zanzibar na hivyo wa Muungano kubaki anaelea. Hii ndo iliyokuwa hoja ya kina Marehemu Njelu Kasaka na wenzake mwaka '90 iliyozimwa na Mwalimu. Kwa hiyo hoja yako kwamba kilichovunja Bunge la Katiba ni maneno ya Lissu Kwa Baba wa Taifa haina uhalisia na sababu inajulikana Hadi kuzaliwa Kwa UKAWA.
2.Lissu angekwenda Ikulu kumwambia Rais badala ya kuita waandishi wa habari na kwamba si Kila Jambo la nchi linasemwa hadharani.
Kwanza nikupingeze kuwa kukubali kwamba Lissu alikuwa na hoja japokuwa unasema hakuiwasilisha sehemu sahihi. Kwa Taarifa yako na wengine wasioelewa Lissu ni mwanaharakati wa mazingira na mtetezi wa waliodhurumiwa kabla hajawa Mbunge. Nyamongo na Barick wanajua vizuri habari yake. Kumbuka Mzee aliyesafiri toka Tarime kwenda Nairobi hospital kumuona Lissu kilichomsukuma ni nini? Tukirudi kwenye hoja yako Kwa nini asingepeleka ushauri Ikulu, tueleze Ikulu ipi inhempokea Lissu? Nchi zenye DEMOKRASIA iliyopevuka wapinzani huitwa Wenye mawazo mbadala, huku dunia nyeusi wapinzani huwa ni Wakinzani. Spika awatoe nje ya Bunge, wakifuka nje Rais atakula nao sahani moja. Hapo ukategemea Lissu angepokelewa Ikulu na akasikilizwa? Njia pekee iliyokuwa imebaki ni kupiga kelele kunusuru Mali za Watanzania, bahati mbaya aliyepigiwa kelele alikuwa na jibu moja tu, RISASI.
3.Lissu alikuwa na hoja nzuri ya kuzieleza nchi wahisani Kwa utulivu juu ya kilichompata na wangemuelewa na kupiga ban serikali na kwamba hata wewe ulitaka hili litokee.
Sawa kabisa, ulitaka litokee na Kwa Taarifa yako kama ulikuwa hujui lilitokea. Wewe Ulitegemea total ban lakini wenzio Wana akili wakatupiga partial ban tukanyooka. Matendo ya kuchukua hela za watu kwenye akaunti na kesi za uhujumu uchumi Kila mahali hazikuja bure. Ilikuwa last kick of the Horse. Tukaumia kiuchumi tukatafuta marafiki wanafiki lakini hatukupona. Hukumbuki kuna nchi zilitangaza kupunguza kabisa misaada? Au nikutajie?
4.Lissu Hana utulivu katika kuongea na analazimisha aliyokusudia yaaminiwe na watu wote.
Mtu yeyote makini na mwenye hoja zilizoshiba hawezi kupeleka hoja legelege anayoamini eti itapingwa na kukosa mashiko. Hata wewe umeleta hapa hoja yako kuhusu Lissu unataka tukuamini kwamba ulichomwongelea Lissu ndivyo alivyo. Lakini tunaomjua zaidi tunasema hapana. Sasa kama wewe unajiamini kwamba unachosema ndicho sahihi kuhusu Lissu Kwa nini wewe unataka Lissu asijiamini kwamba hoja zake ambazo nyingi anazifanyia utafiti kabla ya kuzisema hadharani ni sahihi?
5.Wanaomwamini Lissu wanalazimisha watu wote waamini kwamba ni Shujaa.
Sidhani. Lini na wapi imetokea hivyo? Hakuna Shujaa wa watu wote. Hajawahi kutokea Shujaa mmoja akaonekana na kukubalika Shujaa wa watu wote. Daudi alimpiga Goliati Kwa jiwe la kombeo lakini hakuhesabika Shujaa wa Wafilisiti Bali wa Waisrael. Mpaka Leo Yesu ni Mwamba na Shujaa wa Wakristo lakini hachukuliwi Kwa uzito huo na Waislamu na Wayahidi. Mtume Mohamed (SAW) ni Mtume wa Mnyazi Mungu kiongozi wa Wengi lakini hatambuliwi hivyo na Wakristo na Wayahudi. Dalai Lama na Agha Khan ni mashujaa katika jurisdiction zào lakini si Kwa watu wote. Kwa maana hiyo wanaomuona Lissu Shujaa Wana haki na hawapaswi kubezwa maana Wana vigezo vyao kama wanaomuona Magufuli Shujaa wakati kuna wanaomuona kuna Mambo mengi kaharibu. Kuwapangia watu Nani au Shujaa wao na Nani awe dhaifu kwao si Sawa.
SABATO NJEMA MTU WA MUNGU.
 
Una maelezo yanyovutia lakini yenye uhaba wa ukweli;
1.Kusema Lisu alimtukana Baba wa Taifa hili Jambo sijui huwa mnalitoa wapi. Lisu alimkosoa Baba wa Taifa Kwa style aliyotumia kuunda Muungano na akatumia neno ujanja ujanja. Ni Muungano huu àmbao mpaka Leo tunapokaribia miaka 59 ya kuasisiwa kwake bado haijulikani ni Muungano dume au jike. Umejaa kero na nyingine zinazaliwa Kila asubuhi. Tume ya Warioba ilikuja na pendekezo la serikali 3, CCM wakaikataa kwamba itavunja Muungano Kwa kumfanya Rais wa Tanganyika awe na nguvu Sawa na wa Zanzibar na hivyo wa Muungano kubaki anaelea. Hii ndo iliyokuwa hoja ya kina Marehemu Njelu Kasaka na wenzake mwaka '90 iliyozimwa na Mwalimu. Kwa hiyo hoja yako kwamba kilichovunja Bunge la Katiba ni maneno ya Lissu Kwa Baba wa Taifa haina uhalisia na sababu inajulikana Hadi kuzaliwa Kwa UKAWA.
2.Lissu angekwenda Ikulu kumwambia Rais badala ya kuita waandishi wa habari na kwamba si Kila Jambo la nchi linasemwa hadharani.
Kwanza nikupingeze kuwa kukubali kwamba Lissu alikuwa na hoja japokuwa unasema hakuiwasilisha sehemu sahihi. Kwa Taarifa yako na wengine wasioelewa Lissu ni mwanaharakati wa mazingira na mtetezi wa waliodhurumiwa kabla hajawa Mbunge. Nyamongo na Barick wanajua vizuri habari yake. Kumbuka Mzee aliyesafiri toka Tarime kwenda Nairobi hospital kumuona Lissu kilichomsukuma ni nini? Tukirudi kwenye hoja yako Kwa nini asingepeleka ushauri Ikulu, tueleze Ikulu ipi inhempokea Lissu? Nchi zenye DEMOKRASIA iliyopevuka wapinzani huitwa Wenye mawazo mbadala, huku dunia nyeusi wapinzani huwa ni Wakinzani. Spika awatoe nje ya Bunge, wakifuka nje Rais atakula nao sahani moja. Hapo ukategemea Lissu angepokelewa Ikulu na akasikilizwa? Njia pekee iliyokuwa imebaki ni kupiga kelele kunusuru Mali za Watanzania, bahati mbaya aliyepigiwa kelele alikuwa na jibu moja tu, RISASI.
3.Lissu alikuwa na hoja nzuri ya kuzieleza nchi wahisani Kwa utulivu juu ya kilichompata na wangemuelewa na kupiga ban serikali na kwamba hata wewe ulitaka hili litokee.
Sawa kabisa, ulitaka litokee na Kwa Taarifa yako kama ulikuwa hujui lilitokea. Wewe Ulitegemea total ban lakini wenzio Wana akili wakatupiga partial ban tukanyooka. Matendo ya kuchukua hela za watu kwenye akaunti na kesi za uhujumu uchumi Kila mahali hazikuja bure. Ilikuwa last kick of the Horse. Tukaumia kiuchumi tukatafuta marafiki wanafiki lakini hatukupona. Hukumbuki kuna nchi zilitangaza kupunguza kabisa misaada? Au nikutajie?
4.Lissu Hana utulivu katika kuongea na analazimisha aliyokusudia yaaminiwe na watu wote.
Mtu yeyote makini na mwenye hoja zilizoshiba hawezi kupeleka hoja legelege anayoamini eti itapingwa na kukosa mashiko. Hata wewe umeleta hapa hoja yako kuhusu Lissu unataka tukuamini kwamba ulichomwongelea Lissu ndivyo alivyo. Lakini tunaomjua zaidi tunasema hapana. Sasa kama wewe unajiamini kwamba unachosema ndicho sahihi kuhusu Lissu Kwa nini wewe unataka Lissu asijiamini kwamba hoja zake ambazo nyingi anazifanyia utafiti kabla ya kuzisema hadharani ni sahihi?
5.Wanaomwamini Lissu wanalazimisha watu wote waamini kwamba ni Shujaa.
Sidhani. Lini na wapi imetokea hivyo? Hakuna Shujaa wa watu wote. Hajawahi kutokea Shujaa mmoja akaonekana na kukubalika Shujaa wa watu wote. Daudi alimpiga Goliati Kwa jiwe la kombeo lakini hakuhesabika Shujaa wa Wafilisiti Bali wa Waisrael. Mpaka Leo Yesu ni Mwamba na Shujaa wa Wakristo lakini hachukuliwi Kwa uzito huo na Waislamu na Wayahidi. Mtume Mohamed (SAW) ni Mtume wa Mnyazi Mungu kiongozi wa Wengi lakini hatambuliwi hivyo na Wakristo na Wayahudi. Dalai Lama na Agha Khan ni mashujaa katika jurisdiction zào lakini si Kwa watu wote. Kwa maana hiyo wanaomuona Lissu Shujaa Wana haki na hawapaswi kubezwa maana Wana vigezo vyao kama wanaomuona Magufuli Shujaa wakati kuna wanaomuona kuna Mambo mengi kaharibu. Kuwapangia watu Nani au Shujaa wao na Nani awe dhaifu kwao si Sawa.
SABATO NJEMA MTU WA MUNGU.
Ujanja ujanja si lugha stahiki kwa mtu yoyote mkubwa wako ama mnayeheshimiana! Hilo ni tusi
 
Lisu sio tu shujaa wa chadema ni shujaa wa wakati huu, ni yeye pekee amepigwa risasi nyingi na serikali ili kuzibwa mdomo na bado amebaki hai, ila sasa waliamua na kukataa kughulikia waliohusika wao wameshatangulia mbele ya haki. Sasa hii haitokei hivi hivi kuna namna mwenyezi anataka na wewe uone umuhimu wa kusikia kutoka kwa usiopenda kusikia kutoka kwako.

Yapo mambo Lisu anayaelezea vizuri zaidi kuliko mtu yeyote, zilipita tawala za kina firauni huko ambapo level yao ya udikteta ulipitiliza na leo hawapo tena duniani hapa, sasa sheria na katiba zetu zilitungwa na wakoloni kwa maslahi yao sasa zimepitwa na wakati.
Umeandika nini hiki? Hata wewe umekielewa ulichoandika ukihusianisha na mada tajwa hapo?
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.

Ninakusoma utambulisho wako hapa:

"Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake."

Wewe utakuwa chawa wa Mama; ambalo si kosa.

Umesema:

"Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao."

Kwa hiyo una maana ni nani huyo aliyekereka na Lissu kiasi cha kutunyima sisi wengine haki yetu ya kupata katiba mpya?

NIkazie:

"Usicheze mbali na hoja ikiwamo za Lissu. Tunataka katiba mpya sasa."

Angalizo:

"Ushujaa wake ni kwenye hii nia yake ya dhati ya kuidai katiba mpya kama haki yetu."

Labda kama wewe unaidai kuliko sisi au yeye.
 
..halafu Prof.Kabudi si alijitokeza na kusema madai ya usd 191 bil dhidi ya acacia hayakuwa ya kweli?


..Na kauli Prof.Kabudi inakazia kauli aliyotoa Tundu Lissu kwamba ripoti za uchunguzi zilikuwa " professorial rubbish. "

..Jpm alianzisha utamaduni mbaya sana wa kulaghai wananchi na kuwa na makundi ya wapambe ya kutetea ulaghai wake.
Yule mzee alikuwa katiri sana na haya ndio matunda ya kuwa na KATIBA mbovu inayo weza kuokoteza mtu yeyote kuwa kiongozi.
Kila nikimbuka machozi ya watu wasio na hatia aliyo watenda nashindwa kumsamehe najikuta tuu napeleka mashitaka Mbele za MUNGU mkuu nikimsihi aangalie machozi na damu za watu Hawa waliotendwa jeuri na bwana yule. Namsihi Mungu anipe moyo wa msamaha ili nami nisihukumiwe kwa kuto msamehe.
 
Yule mzee alikuwa katiri sana na haya ndio matunda ya kuwa na KATIBA mbovu inayo weza kuokoteza mtu yeyote kuwa kiongozi.
Kila nikimbuka machozi ya watu wasio na hatia aliyo watenda nashindwa kumsamehe najikuta tuu napeleka mashitaka Mbele za MUNGU mkuu nikimsihi aangalie machozi na damu za watu Hawa waliotendwa jeuri na bwana yule. Namsihi Mungu anipe moyo wa msamaha ili nami nisihukumiwe kwa kuto msamehe.
Kuna nduguyo ulishuhudia akitendwa hivyo mkuu au tu mvumo uliopo na wewe umekukumba!
 
Ukisema hivyo ,unakua unakosea mkuu kwamba ww umelifanyia nini taifa,kila mtu ana nafasi yake katika taifa na analifanyia taifa makubwa kwa nafasi yake,wote hatuwezi kua wanasiasa je unataka na yeye awe mwanasiasa ili alifanyie jambo kubwa taifa?
Soma uelewe broo... wapi nimesema awe mwanasiasa? Wapo wanamziki,wanasoka,wabunifu nk. Walofanyia taifa makubwa!!
Nimemuuliza yeye kafanyia taifa nini mpaka aseme Lisu hajafanya lamaana (kuwa sishujaa) maana navyojua kafanya mengi sana katika kutetea haki kama mwanasheria...leo kisa mrengo wakisiasa unstuoambua hana lolote ??
 
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana!

Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa katika tageti zake zote za kiasa!

Kati ya mambo ambayo hayampi kuwa na historia nzuri ni pamoja na kushindwa kulisaidia Taifa katika nafasi aliyokuwa nayo pale alipoongoza wapinzani kwenye bunge la katiba, kama ilivyotazamiwa na wengi kwamba Tanzania itaenda kuwa na katiba nzuri na ya mfano katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kwa kuwa ilikuwa na watu makini kama kina Lissu

Matokeo yake huyu ambaye wengi wa wanachadema wanalazimisha watu tumuone ni shujaa na kwamba nchi nzima bila yeye Taifa haliwezi kwenda' mh Tundu lisu aliongoza mashambulizi ya kumsema na kumkashifu Baba wa Taifa hayati JKN na kufanya bunge la katiba kuvurugika kuvunjika, Hapa tuelewane, Baba wa Taifa kwa maarifa na hekima yake ukijumlisha na wasomi wachache mno ambao alifanya nao kazi nyakati hizo mpaka kuliweka taifa hili kuwa misingi ya umoja uliopo mpaka leo, ni dhahiri shahiri haihitaji mtu aombwe kumheshimu huyu mwamba wa Tanzania, Africa na Duniani

Mwl Nyerere aliendesha nchi chini ya katiba mbovu na huku akijua ni mbovu lakini hakujilimbikizia hata mali, alikufa masikini huku akiyaacha madini ili Watanzania wakija kusoma na kuyaelewa umhimu na thamani yake, basi wafaidi kizazi cha kina Lissu n.k, ajabu anatokea tu mtu asikojulikana kuja kutukana na kukashifu? Hizi dharau, na hata yeye mh Lissu angelikuwa ndiye baba wa taifa, binafsi yangu nisingelikubali adhalilishwe!

Na kwa sababu hiyo! Mh Lisu hakosi kuwepo kwenye lawama za kuwakosesha watanzania katiba yao

Pili:

Kama nchi, kuna mambo mengine huwa hayahitaji upinzani, badala yake yanahitaji utu, utanzania na uzalendo tu wa kulipenda Taifa hasa Taifa linapongia katika kudai kile linaamini ni haki ya watu wake

Mh Tundu lisu badala ya kuingia Ikulu moja kwa moja ili kutoa ushauri wake kuhusiana na ile mikataba ya kinyonyaji ya Madini

Yeye aliamua kupayuka na kuita wandishi wa habari akiamini hapo anatoa ushauri na asijuekuwa anaharibu zaidi, kwani si kila jambo linaweza ongelewa mbele ya makamera n.k

Huyu huyu aliendelea kusema kwa kujiamini kuwa' serikaliisipochukua ushauri wake aliousemea kwa wandishi wa habari wa nje na ndani, lazima Serikali ingeshitakiwa MIGA

Je' Ni kweli kwamba Serikali ilipoacha kuchukua ushauri wa mh Lisu ilishitakiwa MIGA?

Na kama haikushitakiwa' ushujaa na uelewa mkubwa kuliko watanzania wote kwa mh Lisu uko wapi?

Angalizo...

Kuna zile hoja za wachache wenye kuona mh Lisu hawezi kukosea, wao watadai, je serikali ililipwa yale matrion yaliyokuwa yakidaiwa na serikali?

Shida sio kulipwa matrion" shida ni mashabiki wa mh Lisu waseme na wataje iwapo kweli serikali ilishitakiwa kweli kwenye mahakama za kimataifa MIGA?

Faida moja wapo ya uboreshwaji mikataba hiyo iliyoombewa kushitakiwa MIGA, ni serikali kuingia shere na mwekezaji na kuundwa kampuni mpya ya Twiga!

Jambo lingine ni kwamba"

Nia ya mh Lisu kutoka ndani ya moyo wake kipindi alipokuwa kule Ughaibuni na akiendelea na kule kuichongea serikali kuhusu kupigwa risasi kwa madai yake na kwa wengi kwamba serikali ilihusika, alitamani serikali ipigwe bani na ikiwezekana kiongozi aliyekuwepo afanywe kisaddam Hossen.

Binafsi yangu nilipendelea hivyo, tatizo haikuwa ni wazungu kuipiga ban serikali hiyo, shida ilikuwa ni yeye kwa kukosa utulivu wa kuelezea vema tukio hilo.

Kulihitajika hekima kidogo tu wakati akielezea hilo kwa wandishi mbalimbali huko Ughaibuni.

Niishie kwa kusema' Mh Tundu lissu kinachokosekana kwake ni ile hekima na utulivu, hawapishani tu na mwendazake.

Na hivyo tuwaombe chadema! Wastake kulazimisha eti watu wote tumuone Mh Lisu ni shujaa nchi nzima na hakuna mwingine.
One sided story. Haya, umemaliza kakojoe ulale.
 
Back
Top Bottom