guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu Mkuu wa hicho chama Mh. John Mnyika alishawahi kukanusha mbele ya vyombo vya habari, ya kwamba hakuna ruzuku yoyote waliyo pokea. Hivyo hii taarifa yako haina ukweli.Mkuu, mbona wenyewe hawajakanusha wewe ndiyo unakanusha.
Mkuu, mbona wenyewe hawajakanusha wewe ndiyo unakanusha.
Ruzuku zimeingia kupitia account gani?Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Hawa jamaa sijui wanaishi dunia ya wapi! Wanataka hao Chadema wawe wanakanusha kila siku! Maana walishakanusha kitwkbo tu! Na wangekuwa wanapokea hiyo ruzuku, wangepata wapi ujasiri wa kuwafuta ubunge hao wenzao!Hii issue ilisha kataliwa na,Chadema kitambo.
"Rzuku wanayochukuwa"?Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Si umuulize aliyewapa? umuulize hivi umewapa ya nini ruzuku ilihali wabunge wao wamewafukuza uwanachama? ikiwezekana umpeleke mahakamani huyo anayegawa ruzuku kwa wasiohusika.Yaani wewe udodoshe makusudi mimi niokote then swali niulizwe mimi kwanini nimeokota?Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Limerudi, huyo Taga anakuwaga active Rais akiwa ni Muislam. Kuna yeye, Big Show,kile Kibibi na hata The Boss.He! Kumbe hili taga bado lipo..
Timu hii iliyoingia ni ile ile ya kipindi cha JK,hawa wanafuata Rais wa imani yao."Rzuku wanayochukuwa"?
Wamechukuwa, au wamesukumiziwa?
Lakini niulize tu swali: Timu mpya imeingia kazini kuchukuwa nafasi ya ile ya Jiwe hapa JF?
Kile kibibi kimepotea sanaLimerudi,huyo Taga anakuwaga active Rais akiwa ni Muislam. Kuna yeye, Big Show,kile Kibibi na hata The Boss.
Yeye,bi kigagula faizafoxy na the big show ni mashujaa wa imani kila inapotokea rais ni wa imani ya arabuniHe! Kumbe hili taga bado lipo..
Ushahidi gani unataka? Pesa zimeingizwa kwenye akaunti yako kwanini usizirudishe kama huzitaki?Wewe ndiyo umeileta hapa ja,vini lete ushahidi!!!!
Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.