The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Hivi CHADEMA wakitumia pesa hiyo ya kulazimishwa itakuwa ni ishara ya kukubali uhalifu wa Ndugai?
Hili ni swali mkuu, siyo maoni!
Hilo ni bonge la tego...
Nadhani CHADEMA nao wameshauona na kuutegua...
Kwa swali lako, jibu ni BIG YES...