CHADEMA mnachukua ruzuku ya nini wakati Wabunge 19 mmewafukuza?

CHADEMA mnachukua ruzuku ya nini wakati Wabunge 19 mmewafukuza?

Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Ningekuona mwenye busara na akili kama swali lako ungelielekeza kwa JOB NDUGAI anaewatambua wabunge ambao CDM haiwatambui. Muulize ndugai kwa nini wanawapa CHADEMA ruzuku wakati CDM wamewafukuza wabunge hao !?
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Mkuu, mbona wenyewe hawajakanusha wewe ndiyo unakanusha.
Ritz amka...acha kuvuta shuka, kumekucha tayari na jua linachomoza...!
 
Si umuulize aliyewapa? umuulize hivi umewapa ya nini ruzuku ilihali wabunge wao wamewafukuza uwanachama? ikiwezekana umpeleke mahakamani huyo anayegawa ruzuku kwa wasiohusika.Yaani wewe udodoshe makusudi mimi niokote then swali niulizwe mimi kwanini nimeokota?
Kwa hiyo wamechukuwa ruzuku.
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Ulichokiandika unakijua?
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
wewe sheheee ubwabwa unadanganya mwezi mtukufu
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Kiti cha Bàshiru mnakigombea kwa kila mbinu
 
Ningekuona mwenye busara na akili kama swali lako ungelielekeza kwa JOB NDUGAI anaewatambua wabunge ambao CDM haiwatambui. Muulize ndugai kwa nini wanawapa CHADEMA ruzuku wakati CDM wamewafukuza wabunge hao !?
Mimi nadhani wanaotakiwa kuweka ushahidi kwamba hawajapokea ni Chadema.
 
Mimi nadhani wanaotakiwa kuweka ushahidi kwamba hawajapokea ni Chadema.
Kwa hiyo unataka Nani akujibu, Chadema? Mtagi katibu mkuu hapa, John mnyika atakupa majibu. Hata hivyo chadema walishakataa kuwa hawajachukua ruzuku tangia uchaguzi uliopita
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Hizo hela kama zimelipwa basi atakuwa amelipwa Msajili wa vyama maana ndiyo michezo yake alishacheza na lile propesa la buguruni.
 
Kuna walitoweka humu muda sasa wamerudi kwa kasi.
Tulikuwa na zama za waimba pambio sasa ni zama za wapiga miluzi.
 
Back
Top Bottom