KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Wanasiasa wetu wanacheza na akili na mihemko ya wanachama wake.......Kwanini Baraza kuu la Chadema halikai na kutoa maamuzi ya rufaa ya Covid 19 vinginevyo Chadema ni wasanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wetu wanacheza na akili na mihemko ya wanachama wake.......Kwanini Baraza kuu la Chadema halikai na kutoa maamuzi ya rufaa ya Covid 19 vinginevyo Chadema ni wasanii
Ningekuona mwenye busara na akili kama swali lako ungelielekeza kwa JOB NDUGAI anaewatambua wabunge ambao CDM haiwatambui. Muulize ndugai kwa nini wanawapa CHADEMA ruzuku wakati CDM wamewafukuza wabunge hao !?Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Ritz amka...acha kuvuta shuka, kumekucha tayari na jua linachomoza...!Mkuu, mbona wenyewe hawajakanusha wewe ndiyo unakanusha.
Kwa hiyo wamechukuwa ruzuku.Si umuulize aliyewapa? umuulize hivi umewapa ya nini ruzuku ilihali wabunge wao wamewafukuza uwanachama? ikiwezekana umpeleke mahakamani huyo anayegawa ruzuku kwa wasiohusika.Yaani wewe udodoshe makusudi mimi niokote then swali niulizwe mimi kwanini nimeokota?
Ulichokiandika unakijua?Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
wewe sheheee ubwabwa unadanganya mwezi mtukufuWanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
amefufuka kumtetea muislam mwenzake,jiwe alikuwa mkatolikiNaona umefufuka baada ya miaka sita
weka ushahidi mbona simple tuUshahidi gani unataka? Pesa zimeingizwa kwenye akaunti yako kwanini usizirudishe kama huzitaki?
Ahahahahahahaha! Lissu aliishawahi kuweka ushahidi wa Mlinzi wa Rais JPM alikufa kwa COVID?weka ushahidi mbona simple tu
Ndio identity yao ya kipuuzi.Limerudi,huyo Taga anakuwaga active Rais akiwa ni Muislam. Kuna yeye, Big Show,kile Kibibi na hata The Boss.
Kiti cha Bàshiru mnakigombea kwa kila mbinuWanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Mimi nadhani wanaotakiwa kuweka ushahidi kwamba hawajapokea ni Chadema.Ningekuona mwenye busara na akili kama swali lako ungelielekeza kwa JOB NDUGAI anaewatambua wabunge ambao CDM haiwatambui. Muulize ndugai kwa nini wanawapa CHADEMA ruzuku wakati CDM wamewafukuza wabunge hao !?
Kwa hiyo unataka Nani akujibu, Chadema? Mtagi katibu mkuu hapa, John mnyika atakupa majibu. Hata hivyo chadema walishakataa kuwa hawajachukua ruzuku tangia uchaguzi uliopitaMimi nadhani wanaotakiwa kuweka ushahidi kwamba hawajapokea ni Chadema.
Hizo hela kama zimelipwa basi atakuwa amelipwa Msajili wa vyama maana ndiyo michezo yake alishacheza na lile propesa la buguruni.Wanabodi.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.
Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.
Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
walishakanusha hawachukui,umepewa link. una kingine? kwa mtu aliyekuwa chimbo kama wewe angekuja na hoja nzito-kimya kizito kina mshindo. Sio unakuja na utopolo kama huuJibu hoja Chadema wamechukua rukuzu?
Jenga hoja ya ruzuku mambo ya imani yangu inahusu nini.