Pre GE2025 CHADEMA mnajivua nguo kwa kuanzisha michango ya kumnunulia Lissu gari la kifahari. Hampo kwa ajili ya wananchi

Pre GE2025 CHADEMA mnajivua nguo kwa kuanzisha michango ya kumnunulia Lissu gari la kifahari. Hampo kwa ajili ya wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Anachangiwa gari yake binafsi unaumia nini au kinawauma nini? Wana Watanganyika tukumnunulia gari mpamvanaji pia mnaumia tunataka aendelee kuwakanda akiwa na chuma mpya kabisa inayofika kokote
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
ukizoea kuchangiwa na kusaidiwa kila mara, usipochangiwa au kusaidiwa kwa muda fulani mrefu, unajiskia kiu na hamu sana ya kuchangiwa mithili kiu ya mnywa pombe au mvuta sigara vile 🐒
 
ukizoea kuchangiwa na kusaidiwa kila mara, usipochangiwa au kusaidiwa kwa muda fulani mrefu, unajiskia kiu na hamu sana ya kuchangiwa mithili kiu ya mnywa pombe au mvuta sigara vile 🐒
Mkuu kwenye hoja hii wananchi ameamua kwa hiyari yao na mapenzi yao kuchangia mpendwa wao Tundu Lissu hela ya kununua kumnuulia gari.

Tafadhali Tlaatlaah thibitisha kinagaubaga juu ya insinuation yako kuhusu the alleged mazoea, kiu na hamu ya Lissu kuomba michango ya kusaidiwa!
 
Mkuu kwenye hoja hii wananchi ameamua kwa hiyari yao na mapenzi yao kuchangia mpendwa wao Tundu Lissu hela ya kununua kumnuulia gari.

Tafadhali Tlaatlaah thibitisha kinagaubaga juu ya insinuation yako kuhusu the alleged mazoea, kiu na hamu ya Lissu kuomba michango ya kusaidiwa!
mpaka Ulaya na Marekani alipitisha bakuli kwa diaspora, na akawasihii sana wamchangie chochote kitu, na akasema, ati wale jamaa nyumbani wakijua nimeshindwa kulipa ada za watoto sijui itakuaje 🤣

na alichangiwa mamilioni ya dollar, stahiki na mafao yake alilipwa still bado tena anatamani kuchangiwa? 🐒

mazoea yana tabu sana hakika
 
Halafu dudu kama hili lilifurahia mama kuchangiwa hela ya fomu sasa anataka kusema mama hawezi nunua fomu? Kwa taarifa yako wananchi tulichangia hela za matibabu hadi Lissu kapona na ni hela nyingi zaidi ya hilo gari la kifahari, ccm mlimpiga risasi mkaharibu mwili wake na gari yake wananchi wa kawaida tukashirikiana na madaktari tukiongozwa na Mungu tutaurejesha mwili mliouharibu na sasa tunataka kumnunulia NDINGA YA MAANA kinachokuuma nini?
Sisi Lissu ni kila kitu kwetu akizungumza tunatabasamu unawashwa na nini? Roho mbaya kama BLACK MAMBA mnataman mzuie michango isiyo wahusu nyambaaf
 
Kwanini asinunue mwenyewe, mafao yote aliolipya hayatoshi kuninua gari, kweli wananchi ni tools za viongozi kuishi maisha mazuri.
Tumeamua kumchangia pamoja na umasikini wetu hayakuhusu na usitupangie
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Mficha uchi hazai ndo mana wanajivua nguo
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Upendo Peneza acha hasira.
 
Back
Top Bottom