CHADEMA mnaweza kuchukua nchi 2025 ila kama mtafanyia kazi mambo yafuatayo

CHADEMA mnaweza kuchukua nchi 2025 ila kama mtafanyia kazi mambo yafuatayo

Hivi Chadema ni ya Mbowe??. Upuuzi wakudhani Chadema ipo hapo kwaajili ya Mbowe ndio kimenifanya nikipuuze hiki chama asee!. Chadema inaamini katika ujenzi wa taasisi imara na sio mtu imara, kinachonisikitisha katika wanachokiamini hawataki kukifanyia kazi wao kwanza.
Siku Mbowe hayupo means Chadema haipo tena?.
 
Hivi Chadema ni ya Mbowe??. Upuuzi wakudhani Chadema ipo hapo kwaajili ya Mbowe ndio kimenifanya nikipuuze hiki chama asee!. Chadema inaamini katika ujenzi wa taasisi imara na sio mtu imara, kinachonisikitisha katika wanachokiamini hawataki kukifanyia kazi wao kwanza.
Siku Mbowe hayupo means Chadema haipo tena?.
Wewe unaamini taasisi inaweza kutengenezwa Africa? Thubutuuu.
 
CCM wanaogopa hicho chama wakati wao mbeleko yao ni vyombo vya dola? Au hicho chama pia kitapata mbeleko ya vyombo vya dola?
UMOJA PARTY kiko ndani ya Dola..tena kimekita mzizi.
 
CDM kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwa na ubunge (Vija ni chini ya miaka 40).


Kwa leo ni hayo tu.
Labda Chadema wachukue nchi kwenye magemu ya PlayStation 2!
 
CDM kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwa na ubunge (Vija ni chini ya miaka 40).


Kwa leo ni hayo tu.
Ndoto za.mlebi,kama Nchi huwa inachukuliwa Basi sawa.
 
Hawana mgombea uraisi makini,at all.
Nahuo ndio ukweli.

Wamkodi Bashir,Lukuv,kabud,polepl ama mpine.

2020 chadema hawakuwa serious ndio maana waliamua kumuweka Miga..
Umetaja matakataka matupu
 
Dola hiihii ya wanaomtetemekea mtoa vyeo?
Kuna hao wanaotemekea teuzi afu kuna hawa wanaojari maslahi mapan ya nnchi na ni wengi sana huku kwa ground.

Huwaambii chochote. Wajisahau tu UMOJA PART ije uone.
 
Haiwezekani. Wapo wapinzani watakaochukua nchi kutoka kwa CCM siku moja ila sio CHADEMA
Chadema ikishindwa hakuna atakayeweza Tena ni kama Kenya tu kama Odinga ameshindwa usitarajie Kabila nje ya Kikuyu na Kalenjin kuwa Rais ever again. Chadema kimeshaenea kuliko chama chochote katika historia ya upinzani so ikitokea chama kingine itagawa kura hivyo CCM kuendeleza kutawala milele.

Angalia FDC ya Uganda baada ya ujio wa chama Cha Bobi wine ama DA ya South Africa baada ya ujio wa chama Cha Julius Malema. So ikishindwa chadema hakuna atakayeweza MILELE
 
Kuna hao wanaotemekea teuzi afu kuna hawa wanaojari maslahi mapan ya nnchi na ni wengi sana huku kwa ground.

Huwaambii chochote. Wajisahau tu UMOJA PART ije uone.
Kwa katiba ipi? Umoja party ikianza tu watajaza TISS wa kutosha so hakuna njia kitapita, nchi hii mwenyekiti wa CCM ni mungu hahojiwi hapingwi
 
Hawana mgombea uraisi makini,at all.
Nahuo ndio ukweli.

Wamkodi Bashir,Lukuv,kabud,polepl ama mpine.

2020 chadema hawakuwa serious ndio maana waliamua kumuweka Miga..
NECCM

OVA
 
Kwa katiba ipi? Umoja party ikianza tu watajaza TISS wa kutosha so hakuna njia kitapita, nchi hii mwenyekiti wa CCM ni mungu hahojiwi hapingwi
TISS ndio wenye UMOJA PARTY.

Ndio maana CCM wanaogopa kukiachia. CHAMA KILIANZA KUUNGWA MKONO KABLA HAKIJAJULIKNANA MWANZILISHI NI NANI,
 
Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera na hata kiajenda,Hakuna chama Wala mtu aliye tishio kwa CCM,hayupo mtu huyo na Wala hajazaliwa, serikali ya CCM imefanya kazi kubwa katika kutekeleza ilani take ambayo mambo yote Ni take yagusayo maisha ya watanzania, serikali ya CCM imekuwa sikivu kwa watanzania na imwkita mizizi game Katika mioyo ya wanzania

Serikali ya CCM imekuwa upande wa watanzania na kushughulika na kero za watanzania na kutoa majibu ya kuridhisha, imegusa kila sehemu kuliko na watanzania,imemfikia kila mmoja mwenye kuhitaji kuhudumiwa na serikali,imemshika mkono kila mtanzania mwenye kuhitaji kuinuliwa,Imewekeza pesa katika miradi inayobeba matumaini ya watanzania.

CCM Ni chama Cha watanzania kilicho mikononi mwa watanzania na kinacholindwa na kupiganiwa na watanzania
 
Yaani mwanaccm kindaki ndaki tena chawa wa magufuli aliyekuwa na chuki dhidi ya Chadema ndio awe mshauri wa jinsi Chadema inapaswa kushinda?
CDM kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwa na ubunge (Vija ni chini ya miaka 40).


Kwa leo ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom