Ninakubaliana nawe jambo moja tu, la CHADEMA kuwa na nafasi nzuri sana kuliko wakati mwingine wowote wa kuchukua madaraka ya nchi kama watajipanga vizuri kuifanya kazi ya kufanikisha hilo.CDM kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.
1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwa na ubunge (Vija ni chini ya miaka 40).
Kwa leo ni hayo tu.
Hayo mengine uliyoorodhesha hapo chini hayana uhusiano wowote na mafanikio ya kazi hiyo.