CHADEMA mnaweza kuchukua nchi 2025 ila kama mtafanyia kazi mambo yafuatayo

CHADEMA mnaweza kuchukua nchi 2025 ila kama mtafanyia kazi mambo yafuatayo

Kwani Lissu hafai? Unafikiri ni mjinga kwenda kuwekeza kwenye siasa za kimataifa huko?
 
Mnyika vs Heche,

Heche hatoshi.

Maridhiano yafanyike warudishe Dr Slaa Kwa nafasi yake.
Slaa ni takataka iliyooza, bora hata Sugu kuliko huyo mnafiki. Loyalty ni kitu muhimu sana, kumkaribisha mtu anayeweza kuwasaliti katikati ya mapambani ni kujiweka kwenye unnecessary risks.
 
CHADEMA kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwani na ubunge (Vijana ni chini ya miaka 40).

Kwa leo ni hayo tu.
Agenda ya CHADEMA sio wabunge 19, wala mikutano ya siasa wala Uchaguzi wa 2025, hayo ni maono hafifu... lengo ni KATIBA kwanza... CHADEMA sio TCA maono ofisi ya kisasa... malengo yakiwa hayo wakishindwa 2025 na chama kitafikia mwisho.
 
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwani na ubunge (Vijana ni chini ya miaka 40).
Hoja hii haina mashiko. Hebu twambie umuhimu wa hoja hii ktk siasa za upinzani. Insaidiaje? (Mfano ktk ccm mm namuona January (above 45) ni bora mara 10000+ kuliko Sabaya (below 40)
 
Hoja hii haina mashiko. Hebu twambie umuhimu wa hoja hii ktk siasa za upinzani. Insaidiaje? (Mfano ktk ccm mm namuona January (above 45) ni bora mara 10000+ kuliko Sabaya (below 40)
Kwa siasa za Sasa vijana wanazijua sana kuliko wazee.

Ni rahisi sana kijana kumuondosha Mzee kwenye ubunge kuliko mzee kwa mzee.

Nayaandika haya nikiwa mzoefu kwenye medani za siasa za hivi karibuni.

Makamba yuko hapo kwa sababu ya JK, ila nae akaipata kijana tu anapigwa asubuhi.
Lakini bunge la Sasa huwezi mshindanisha mtu kama Wasira na kijana yeyote makini.
 
Lakini bunge la Sasa huwezi mshindanisha mtu kama Wasira na kijana yeyote makini
Wasira ni mzee (lkn siyo kila mwenye above 40 ni mzee). Kwenye maelezo yako umesema above 40 hawezi kushindana na under 40. Ndiyo maana nikakupa mfano wa Makamba
 
Chadema iangalie wagombea bora waanze nao huko majimboni.
Wawekeze kwenye Uchaguzi wa 2024 maana hapo ndo matokeo ya 2025 yataonekana.
Kwenye Wenyeviti wa Mitaa hapo Chadema wasifanye kosa la kupeleka wasiosoma.
Wapeleke wasomi pekee na wanaokubalika eneo husika
 
Wasira ni mzee (lkn siyo kila mwenye above 40 ni mzee). Kwenye maelezo yako umesema above 40 hawezi kushindana na under 40. Ndiyo maana nikakupa mfano wa Makamba
Na mimi ndo maana nikakwambia, tumia chini ya miaka 40. Watakuja kunishukuru badaee.
 
Kwamifumo ya uongozi/ utawala tulionao chadema hatawamshushe malaika awe mgombea wao "hatuwapi nchi" lkn pia hata halia ya uongozi/utawala ikibadilika na kuruhusu mabadiliko "ki-halali" hatutampa " nchi yeyote yule alochaguliwa kama kwa "viwango vyetu" hakidhi kukaa kwenye nafasi ileee!... Na sabau ni kuwa sehemu kubwa ya jamii haijuwi ni incompetent!. (asomaye na aelewe).
 
CHADEMA kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwani na ubunge (Vijana ni chini ya miaka 40).

Kwa leo ni hayo tu.


Lissu ampishe Lema kuwa MM na yule Asenga anaeshinda kwenye mitandao kutukana serikali anatakiwa awe mwenezi wa cham
 
CHADEMA kina nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi iwapo tu itafanyia kazi mambo yafuatayo.

1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
2. Katibu mkuu awe Heche.
3. Mgombea Urais atoke CCM (Tulizeni kichwa hapa).
4. Kwenye Majukwaa sera zenu ziwe against awamu ya sita na sio awamu zilizopita.
5. Muwape Vijana wengi kugombea udiwani na ubunge (Vijana ni chini ya miaka 40).

Kwa leo ni hayo tu.
Ni mpumbavu tu huwaza Chadema kuwa kuna siku hili genge la Malaghai kuchukua Nchi tunahitaji Chama makini wa kuking'oa CCM sio hizi SACCOSS za akina Mbowe na Zito
 
Back
Top Bottom