Pre GE2025 CHADEMA mpya inakuja chini ya Mwenyekiti Tundu Lissu Wakili Msomi na mpinga Rushwa Tanzania

Pre GE2025 CHADEMA mpya inakuja chini ya Mwenyekiti Tundu Lissu Wakili Msomi na mpinga Rushwa Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Jamani moyo wangu umefurahi sana baada ya kuona wanachadema na watanzania wanaendakupata mwenyekiti mpyaaaaaaaaaaaa baada ya miaka 20 na zaidi kupita.

Hii kwangu na kwa watanzania wenye akili timamu na wazalendo wataifa letu la Tanzania imekaa vzr sana tena sana.

Upinzani ukiwa imara siku zote serikali inawajibika vzr sana kwa wananchi lakin kama upinzani ukiwa legelege, na ni upinzani wa maadili na fursa ,Rushwa, serikali inakuwa dhaifu sana na haiwajibiki kwa wananchi vizuri.

Kama mwanavyo
CHADEMA chini ya Tundu Lissu serikali ya ccm itakuwa bize kutoa huduma kwa wananchi.

FAIDA ZA LISU KWA WANANCHI KUWA KIONGOZI MKUU CHADEMA :

1. Rushwa na ufisadi itaenda kupungua ndani ya serikali na ndani ya chadema.

2. Uwajibikaji unaenda kuongezeka kwa viongozi wa serikali na CHAMA pia

3.chadema itaenda kukua sana, wanachama wote waliokata tamaaa, waliohama watarudi chadema.

4. Viongozi wengi wa ccm watajiunga na chadema.

5. Unafuu wa maisha utaongezeka
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Kuanguka Kwa Majani nikuruhusu Huyo mtu Ashinde Kiti hicho.

Majani hayatakubari hilo litokee
Na Ili lisitokee ni lazima ZERO aendelee kukalia Hapo kama Pazia lao.

Shida ya Majani sio Kwa chaufupi kama Chaufipi
Shida yao ni Aina ya Siasa Alizo nazo ni Kuamsha Watanganyika Kujitambua kutoka kwenye Usingizi wa Pomo.

Ni Maajabu ya Dunia Kuona Chama Chenye Wasomi Karne hii kinaongozwa na ZERO kweli.
 
Patachimbika, Walevi wa kusini watakubali kweli?
 
Kuanguka Kwa Majani nikuruhusu Huyo mtu Ashinde Kiti hicho
Majani hayatakubari hilo litokee
Na Ili lisitokee...
Trip hii kayatimba ameingi choo cha kike, hana hoja ya kuendelea kuwa mwenyekiti
 
Jamani moyo wangu umefurahi sana baada ya kuona wanachadema na watanzania wanaendakupata mwenyekiti mpyaaaaaaaaaaaa baada ya...
Gentleman,
unamaanisha Chadema hii ya chairman Mbowe iwe chini ya mabwenyenye ya magharibi sio?

Sidhani kama itaitwa Chadema, ikiwa chini ya kibaraka 🐒
 
Gentleman,
unamaanisha Chadema hii ya chairman Mbowe iwe chini ya mabwenyenye ya magharibi sio?

sidhani kama itaitwa Chadema, ikiwa chini ya kibaraka 🐒

Gentleman hajalishi itabadilika jina cha muhimu lisu ameshinda na kuongoza mapambano zidi ya wote wala rushwa na mafisadi
 
Jamani moyo wangu umefurahi sana baada ya kuona wanachadema na watanzania wanaendakupata mwenyekiti mpyaaaaaaaaaaaa baada ya miaka 20 na zaidi kupita.
Hii kwangu na kwa watanzania wenye akili timamu na wazalendo wataifa letu la Tanzania imekaa vzr sana tena sana. Upinzani ukiwa imara siku zote serikali inawajibika vzr sana kwa wananchi lakin kama upinzani ukiwa legelege, na ni upinzani wa maadili na fursa ,Rushwa, serikali inakuwa dhaifu sana na haiwajibiki kwa wananchi vzr kama mwanavyo
Chadema chini ya Tundu lisu serikali ya ccm itakuwa bize kutoa huduma kwa wananchi.
FAIDA ZA LISU KWA WANANCHI KUWA KIONGOZI MKUU CHADEMA :
1. Rushwa na ufisadi itaenda kupungua ndani ya serikali na ndani ya chadema
2. Uwajibikaji unaenda kuongezeka kwa viongozi wa serikali na CHAMA pia
3.chadema itaenda kukua sana, wanachama wote waliokata tamaaa, waliohama watarudi chadema,
4. Viongozi wengi wa ccm watajiunga na chadema.
5. Unafuu wa maisha utaongezeka
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kaombe kura,shinda mitandaoni,majibu utayapata siku ya kupiga kura.
Wajumbe humu hawapo na hawajui unachokiandika humu,na hawakusikii
 
Gentleman hajalishi itabadilika jina cha muhimu lisu ameshinda na kuongoza mapambano zidi ya wote wala rushwa na mafisadi
Lisu anachoweza kushinda ni njaa pekee gentleman, and that is the truth kwasababu anaishi kwa kuombaomba,

lakini sio kushinda uchaguzi dhidi ya mwamba wa kaskazini chairman Freeman Aikaeli Mbowe 🐒
 
Back
Top Bottom