Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
I think ana mapungufu mengi zaidi ya chairman wa sasa wa Chadema,Hayo mapungufu yake ndio wanayondea gentleman, hakuna binadu perfect
.Na hayo ndiyo yatakayomfelisha hadi kwenye urais 2025🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think ana mapungufu mengi zaidi ya chairman wa sasa wa Chadema,Hayo mapungufu yake ndio wanayondea gentleman, hakuna binadu perfect
Mkishindwa mkubali pia kusalia chademaI'li wajue wala rushwa na mafisadi kuwa moto wao unakuja wajiandae kisaikolojia
Wanaenda naye wapi? Belgium?Gentleman man binadamu hafanani wanachadema wanaenda na lisu
hizo ndoto za alinacha gentleman,Gentleman man binadamu hafanani wanachadema wanaenda na lisu
Ccm na polisi wakiingilia katihizo ndoto za alinacha gentleman,
infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa watamchagua kwa kishindo kikuu, ndugu Freeman Aikaeli Mbowe kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa 2025 -2030 bila mbambamba yoyote 🐒
GarbageJamani moyo wangu umefurahi sana baada ya kuona wanachadema na watanzania wanaendakupata mwenyekiti mpyaaaaaaaaaaaa baada ya miaka 20 na zaidi kupita.
Hii kwangu na kwa watanzania wenye akili timamu na wazalendo wataifa letu la Tanzania imekaa vzr sana tena sana.
Upinzani ukiwa imara siku zote serikali inawajibika vzr sana kwa wananchi lakin kama upinzani ukiwa legelege, na ni upinzani wa maadili na fursa ,Rushwa, serikali inakuwa dhaifu sana na haiwajibiki kwa wananchi vizuri.
Kama mwanavyo
CHADEMA chini ya Tundu Lissu serikali ya ccm itakuwa bize kutoa huduma kwa wananchi.
FAIDA ZA LISU KWA WANANCHI KUWA KIONGOZI MKUU CHADEMA :
1. Rushwa na ufisadi itaenda kupungua ndani ya serikali na ndani ya chadema.
2. Uwajibikaji unaenda kuongezeka kwa viongozi wa serikali na CHAMA pia
3.chadema itaenda kukua sana, wanachama wote waliokata tamaaa, waliohama watarudi chadema.
4. Viongozi wengi wa ccm watajiunga na chadema.
5. Unafuu wa maisha utaongezeka
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Akili za migombani hizo amka utajinyeaLissu anangojea kuvuruga chadema ,arukie pipa aondoke
Haahaa weka kura za maoni hapa, mbowe kote anapigwa tu😂😂Mtahangaika sana, humu hamna kura za Lissu labda clubhouse.
Chadema itajivuruga yenyeweLissu anangojea kuvuruga chadema ,arukie pipa aondoke
Haahaa kwani mbowe ana sera Gani?I think ana mapungufu mengi zaidi ya chairman wa sasa wa Chadema,
.Na hayo ndiyo yatakayomfelisha hadi kwenye urais 2025🐒
Tanzania hatujawahi kupata Rais, Rais Halisi mwenye sifa anakuja ni Tundu LissuJamani moyo wangu umefurahi sana baada ya kuona wanachadema na watanzania wanaendakupata mwenyekiti mpyaaaaaaaaaaaa baada ya miaka 20 na zaidi kupita.
Hii kwangu na kwa watanzania wenye akili timamu na wazalendo wataifa letu la Tanzania imekaa vzr sana tena sana.
Upinzani ukiwa imara siku zote serikali inawajibika vzr sana kwa wananchi lakin kama upinzani ukiwa legelege, na ni upinzani wa maadili na fursa ,Rushwa, serikali inakuwa dhaifu sana na haiwajibiki kwa wananchi vizuri.
Kama mwanavyo
CHADEMA chini ya Tundu Lissu serikali ya ccm itakuwa bize kutoa huduma kwa wananchi.
FAIDA ZA LISU KWA WANANCHI KUWA KIONGOZI MKUU CHADEMA :
1. Rushwa na ufisadi itaenda kupungua ndani ya serikali na ndani ya chadema.
2. Uwajibikaji unaenda kuongezeka kwa viongozi wa serikali na CHAMA pia
3.chadema itaenda kukua sana, wanachama wote waliokata tamaaa, waliohama watarudi chadema.
4. Viongozi wengi wa ccm watajiunga na chadema.
5. Unafuu wa maisha utaongezeka
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.