Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ulivyo chini ya wauza watumwa wa kiarabu dpworld mkiongozwa na mamayenu huko ccm kulikojaa mapumbavu 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛.Gentleman,
unamaanisha Chadema hii ya chairman Mbowe iwe chini ya mabwenyenye ya magharibi sio?
sidhani kama itaitwa Chadema, ikiwa chini ya kibaraka 🐒
😆😆😆 Gentleman huyu mtu mzalendo wa kweli sio mtu wa maadili kama viongozi x, watanzania tunaenda nae huyuLisu anachoweza kushinda ni njaa pekee gentleman, and that is the truth kwasababu anaishi kwa kuombaomba,
lakini sio kushinda uchaguzi dhidi ya mwamba wa kaskazini chairman Freeman Aikaeli Mbowe 🐒
AmenMungu ampe uzima tu
Kelele mtandaoni za nini sasa!Tayali ameshinda
Hakuna uhusiano,hata akiwa ni mbelijiji ni sawa tuKuna uhisiano gani na kuwa mwenyekiti? Mkuu
Ni Watanzania.Lakini lisu watoto wake si niwamarekani?
angeweza kutenganisha mambo binafsi na ya Chadema kwa kiasi angweza kushawishi wengi,😆😆😆 Gentleman huyu mtu mzalendo wa kweli sio mtu wa maadili kama viongozi x, watanzania tunaenda nae huyu
Mke naye ni mmarekani?Ni Watanzania.
Dunia kijiji. Kusoma Marekani hakumfanyi mtu kuwa Mmarekani.
Baba wa taifa Nyerere alisoma Makerere Uganda na Oxford Uingereza
Hayo mapungufu yake ndio wanayondea gentleman, hakuna binadu perfectangeweza kutenganisha mambo binafsi na ya Chadema kwa kiasi angweza kushawishi wengi,
lakini pia,
angepunguza pupa, mdomo na makelele bila shaka yoyote asingepingwa na mjumbe yeyeto wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema.
hata hivyo,
asingekua mnafiki wa kutupwa kama alivyo sasa, kuelezea uozo au mapungufu ya Chadema wakati anatafuta cheo angeaminika zaidi,
Otherwise muungwana ni kibaraka tu wa mabwenyenye ya magharibi🐒
Wenye akili timamu,hawawezi kumpigia kura ya ndiyo TAL!!angeweza kutenganisha mambo binafsi na ya Chadema kwa kiasi angweza kushawishi wengi,
lakini pia,
angepunguza pupa, mdomo na makelele bila shaka yoyote asingepingwa na mjumbe yeyeto wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema.
hata hivyo,
asingekua mnafiki wa kutupwa kama alivyo sasa, kuelezea uozo au mapungufu ya Chadema wakati anatafuta cheo angeaminika zaidi,
Otherwise muungwana ni kibaraka tu wa mabwenyenye ya magharibi🐒
Wanapanga kutumia wezi wazoefu wa ccm kuiba kura kwa ajili ya vibaraka wao Mbowe na Wenje..Huko Chadema kuna watu waliosomea kuhusu "bao la mkono " shida ni hiyo, kama sivyo Lissu ni mwenye kiti mtarajiwa.
Lissu hata hajulikani anasali wapi na lini!Hakuna cha kuiba kura Wala kuonja wajumbe , mkuu