CHADEMA msipo badili mbinu ya kisiasa hamuwezi kushika dola

CHADEMA msipo badili mbinu ya kisiasa hamuwezi kushika dola

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Utanzania kwanza 🇹🇿

1. Hamuwezi Kushika Dola kwa kudharau vyama vingine vyenye Nia. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.

2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto, right? Mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo, msingeendelea ku applaud.

3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities.

4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.

5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.

6. Je, mmewasoma Watanzania vizuri? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa.

7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.

8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao, hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.

9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je, mtafanikiwa?

10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.

Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.

Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
 
Utanzania kwanza 🇹🇿
1. Hamuwezi KUSHIKA DOLA kwa kudharau vyama vingine vyenye NIA. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.
2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto. Right mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo,msingeendelea ku applaud.
3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities,.
4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.
5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.
6. Je , mmewasoma Watanzania vizuri, ? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa,..
7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.
8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao,hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.
9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je mtafanikiwa?
10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.
Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.
Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote,. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
Nyumbu wanadhani kura zutapigiwa mitandaoni ikiwemo Jf.
Huku chini kwa wananchi wapiga kura hali ni tofauti kabisa. Wao ni Magufuli tu, na bahati mbaya mpaka wasomi hali ni hiyohiyo.

Sasa hawa Nyumbu wanadhani wakitukana mtandaoni na majukwaani basi wananchi watawaelewa na kumchukia JPM.

Narudia tena, kwenye uchaguzi Undedogs ambao ni wengi watatushangaza
 
Nyumbu wanadhani kura zutapigiwa mitandaoni ikiwemo Jf.
Huku chini kwa wananchi wapiga kura hali ni tofauti kabisa. Wao ni Magufuli tu, na bahati mbaya mpaka wasomi hali ni hiyohiyo.

Sasa hawa Nyumbu wanadhani wakitukana mtandaoni na majukwaani basi wananchi watawaelewa na kumchukia JPM.

Narudia tena, kwenye uchaguzi Undedogs ambao ni wengi watatushangaza
Huyu Jiwe wenye akili wanajua alikuwa fisadi na ndio maana alimuondoa Assad kihuni. Ujinga wa wabongo ni kubariki wizi wa mtu kisa kafanya mambo fulani ya kuonekana machoni(stupidity of highest order). China wangekuwa na akili kama zenu, sijui kama wangekuwa wananyonga mafisadi kwani nchi yao teyari ina maendeleo makubwa ya kuonekana machoni ila sio excuse ya watawala kufanya ufisadi.

Ngozi nyeusi ni laana.
 
Utanzania kwanza [emoji1241]
1. Hamuwezi KUSHIKA DOLA kwa kudharau vyama vingine vyenye NIA. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.
2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto. Right mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo,msingeendelea ku applaud.
3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities,.
4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.
5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.
6. Je , mmewasoma Watanzania vizuri, ? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa,..
7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.
8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao,hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.
9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je mtafanikiwa?
10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.
Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.
Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote,. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
Katika andiko lako, hoja yenye msingi, na ambayo ndiyo lengo kuu la viongozi wa upinzani ni katiba mpya itakayo waweka madarakani na siyo maendeleo ya nchi, kama ulivyodokeza kuwa katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Wananchi wanahitaji maendeleo na si Katiba mpya.

Ili nia hiyo (maendeleo) iwe kweli kunahitajika mifumo shirikishi ya maendeleo na mamlaka za kuwajibisha watendaji wasiotimiza wajibu wao na wale wanaotumia madaraka vibaya kwa manufaa binafsi.
 
Acha kuwadanganya CHADEMA kuwa nje ni nyeupe 2025. Au ulimaanisha uchaguzi mkuu wa Twitter? Hakuna namna ambayo CHADEMA wanaweza kuleta ushindani kwenye uchaguzi mkuu 2025 dhidi ya Mama Samia. Kwanza hata wao wanakushangaa kwasababu tayari wameshampatia tuzo mgombea wetu mtarajiwa kwa tiketi ya CCM. Ile tuzo peke yake ni ishara kwamba CHADEMA wamempitisha Mama Samia kwenye urais 2025.

Kuhusu katiba mpya ni kwamba wananchi hawawezi kusapoti CHADEMA kwasababu kuna ya vitu wanavyovitaka CHADEMA kwenye katiba mpya ni tofauti kabisa na wananchi tunayoyataka. CHADEMA wao wanachotaka ni serikali tatu ili kuongeza nafasi za ulaji wakati sisi wananchi tunataka hata serikali moja kama ingewezekana ili kupunguza gharama na pia kuimarisha zaidi umoja.

Ninawashauri CHADEMA wapuuze huu ushauri wako na kujikita zaidi kwenye kumsapoti Mama Samia.
 
Utanzania kwanza 🇹🇿
1. Hamuwezi KUSHIKA DOLA kwa kudharau vyama vingine vyenye NIA. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.
2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto. Right mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo,msingeendelea ku applaud.
3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities,.
4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.
5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.
6. Je , mmewasoma Watanzania vizuri, ? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa,..
7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.
8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao,hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.
9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je mtafanikiwa?
10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.
Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.
Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote,. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
Nimekusoma hadi hapo katikati, mkuu 'Mhuli ya Matenga'; kuna mambo umeyaandika ninakubaliana nayo na mengine,... aha, ndiyo hivyo tena, hatuwezi kukubaliana kwa kila kitu.

Jambo ambalo limenipa msukumo niku'quote' ni kwa kutowaelewa vizuri hao CHADEMA unaowananga hapa. Na ili nieleweke vyema nitaje moja kwa moja CHADEMA anayoisimamia Mbowe.

Hii CHADEMA ya Mbowe, ni hiyo hiyo CCM anayoiongoza Samia, na ni CCM ile ile aliyokuwa akiisimamia Kikwete.

Sasa wewe unapokuja hapa na kuhimiza CHADEMA na viongozi wake waliopo upande wa Mbowe wafanye tofauti na anayofanya Samia, ina maana kwamba uelewa wako wa CHADEMA unao upungufu fulani.
Kwa hiyo, kwa hili usiitegemee CHADEMA, ambayo kiongozi wake ni Mbowe iwe mbali na CCM anayoiongoza Samia. Hili kamwe halitatokea.

Kinachosubiriwa tu sasa ni jinsi watakavyounganisha hivi vyama viwili ili wote wawe kwenye ulaji mhula unaofuata endapo kama waTanzania unaowasema hapa hawatakuwa makini.

Umewekeza sana upande wa waTanzania kuendelea kuenzi ya Magufuli, lakini usisahau kwamba mbinu zitatumika kukiondoa kizingiti hicho, hasa hapo itakapobainika kwamba hakuna mbadala wa kuaminika dhidi ya CCM (hata hiyo CCM pungufu chini ya Samia).
Ondoa matuaini yako juu ya CHADEMA ambayo itaendelea kuwa chini ya uongozi wa Mbowe. CHADEMA hiyo haitakuwa na tofauti yoyote na CCM anayoiongoza Samia, baada ya kuzima masalia yote ya Magufuli.
 
Huyu Jiwe wenye akili wanajua alikuwa fisadi na ndio maana alimuondoa Assad kihuni. Ujinga wa wabongo ni kubariki wizi wa mtu kisa kafanya mambo fulani ya kuonekana machoni(stupidity of highest order). China wangekuwa na akili kama zenu, sijui kama wangekuwa wananyonga mafisadi kwani nchi yao teyari ina maendeleo makubwa ya kuonekana machoni ila sio excuse ya watawala kufanya ufisadi.

Ngozi nyeusi ni laana.
Sawa Magufuli alikuwa fisadi. Je, ushajiuliza kati ya Fisadi mmoja na anayeruhusu mafisadi 200 kukwepa kodi na kuiba pesa za umma ni yupi mwenye akili?

Nadhani hujatumia vizuri ubongo wako kufikiri. Hata kama Magufuli alikuwa fisadi ila hakubariki wizi wa umma. Ufisadi sio tabia ya kujivunia kama kiongozi.
 
Sawa Magufuli alikuwa fisadi. Je, ushajiuliza kati ya Fisadi mmoja na anayeruhusu mafisadi 200 kukwepa kodi na kuiba pesa za umma ni yupi mwenye akili?

Nadhani hujatumia vizuri ubongo wako kufikiri. Hata kama Magufuli alikuwa fisadi ila hakubariki wizi wa umma. Ufisadi sio tabia ya kujivunia kama kiongozi.

Halubariki wizi wa umma? Check your facts again. And check CAG report all over
 
Acha kuwadanganya CHADEMA kuwa nje ni nyeupe 2025. Au ulimaanisha uchaguzi mkuu wa Twitter? Hakuna namna ambayo CHADEMA wanaweza kuleta ushindani kwenye uchaguzi mkuu 2025 dhidi ya Mama Samia. Kwanza hata wao wanakushangaa kwasababu tayari wameshampatia tuzo mgombea wetu mtarajiwa kwa tiketi ya CCM. Ile tuzo peke yake ni ishara kwamba CHADEMA wamempitisha Mama Samia kwenye urais 2025.

Kuhusu katiba mpya ni kwamba wananchi hawawezi kusapoti CHADEMA kwasababu kuna ya vitu wanavyovitaka CHADEMA kwenye katiba mpya ni tofauti kabisa na wananchi tunayoyataka. CHADEMA wao wanachotaka ni serikali tatu ili kuongeza nafasi za ulaji wakati sisi wananchi tunataka hata serikali moja kama ingewezekana ili kupunguza gharama na pia kuimarisha zaidi umoja.

Ninawashauri CHADEMA wapuuze huu ushauri wako na kujikita zaidi kwenye kumsapoti Mama Samia.
Umetisha mwamba🙏🙏CHADEMA wamu support Samia si ndiyo?? Wewe unatetea asali yako huna baya.
 
Utanzania kwanza [emoji1241]

1. Hamuwezi Kushika Dola kwa kudharau vyama vingine vyenye Nia. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.

2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto, right? Mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo, msingeendelea ku applaud.

3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities.

4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.

5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.

6. Je, mmewasoma Watanzania vizuri? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa.

7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.

8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao, hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.

9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je, mtafanikiwa?

10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.

Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.

Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
Sukuma gang hamuwezi kuifundisha chadema siasa wakati mliahidi kuiuwa akafa kiongozi wa sukuma gang chadema ipo tuu.
Uchaguzi huru na tume huru hakuna mwana ccm atapita
 
China wangekuwa na akili kama zenu, sijui kama wangekuwa wananyonga mafisadi kwani nchi yao teyari ina maendeleo makubwa ya kuonekana machoni

Wamefikishwa Mahakamani na magerezani mafisadi na masaliti na magaidi ya Nchi hii.....

Wametolewa Magerezani mafisadi na masaliti na magaidi ya Nchi hii....


Matusi ni yale yale......Mnasomeka, ila ninawaonea huruma sana walio kwenye madaraka na kuwasoma. Ni kweli hakuna atakayekuja kumkomboa Mtanzania mbele ya wanafiki na wazodoaji.

R.I.P Comrade J.P.Magufuli

Laana ipo Ulaya na Kwingi eko.....
".... uso wa nchi nyingi za Kikristo unaleta hali ya kutisha ya ujinga, unafiki na uchoyo." William Carey fundi viatu wa Uingereza ambaye ninaweza kusema ndie alikuwa muasisi wa Faharasa ya Uchumi wa Dunia au World Economic Index
 
hawa jamaa walichowatendea wapiga kura wao 2015 itawachukua miaka 100 kuikamata dola
 
Utanzania kwanza [emoji1241]

1. Hamuwezi Kushika Dola kwa kudharau vyama vingine vyenye Nia. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.

2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto, right? Mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo, msingeendelea ku applaud.

3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities.

4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.

5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.

6. Je, mmewasoma Watanzania vizuri? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa.

7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.

8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao, hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.

9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je, mtafanikiwa?

10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.

Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.

Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.
Hamna chama mule,wale wah*ni wameshaaidiwa kupewa vijimbo kadhaa uchaguzi ujao basi.
Lowasa alijaribu kutikisa Mbuyu ila alikosa support;Ile CCM inatakiwa igawanyike wengine waende upinzani kama walivyofanya akina Hayati Kibaki kuiacha KANU na kuungana na upinzani,apo ndipo tutakuwa na mageuzi ya kweli ya kisiasa na siasa za ushindani wa hoja siyo viroja vya akina Mbowe.
 
Huyu Jiwe wenye akili wanajua alikuwa fisadi na ndio maana alimuondoa Assad kihuni. Ujinga wa wabongo ni kubariki wizi wa mtu kisa kafanya mambo fulani ya kuonekana machoni(stupidity of highest order). China wangekuwa na akili kama zenu, sijui kama wangekuwa wananyonga mafisadi kwani nchi yao teyari ina maendeleo makubwa ya kuonekana machoni ila sio excuse ya watawala kufanya ufisadi.

Ngozi nyeusi ni laana.
Ndiyo upimbi wenu mnaoonywa nao,hamsikii!
 
Sukuma gang hamuwezi kuifundisha chadema siasa wakati mliahidi kuiuwa akafa kiongozi wa sukuma gang chadema ipo tuu.
Uchaguzi huru na tume huru hakuna mwana ccm atapita
Sukuma Gang hawawezi kuungana na Chaga Gang kwa sababu baadae kwenye kugawana keki lazima Sukuma Gang wadhulumiwe. Sukuma Gang washang'amua hilo.
 
Utanzania kwanza 🇹🇿

1. Hamuwezi Kushika Dola kwa kudharau vyama vingine vyenye Nia. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na Democrat. Hatujafika huko.

2. Maridhiano mliyopewa ni danganya toto, right? Mngejua kinachozungumzwa kwenye corridor za Wana Lumumba kuhusu maridhiano hayo, msingeendelea ku applaud.

3. Jifunzeni kuwa inspirational speakers na si wabwatukaji. Ukipewa mic itendee haki, address issues wachana na personalities.

4. Moja ya kitu kina wa discredit ni kumtaja Sana Magufuli kwa mabaya. Guys kila mnapofanya mkutano sie wengine huwa tunakuwepo pale, wananchi Wana wadharau Sana kuona hamna ajenda bali mmebakia kumsema hayati ambaye hayupo na wala hatakuwepo kwenye ballot box. Wananchi wengi wanamuona yeye kama mkombozi wao,mkimtaja tu kwa baya wanaguna kimoyomoyo, stop this.

5. Je mna political strategists kweli? Naona hakuna, mnajiendea tu. Politics is the game of dynamics. Haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu. Kwanini mnaacha mtaji mzuri wa Wana Lumumba wanaotaka kutafuta changamoto mpya kwa kuendelea kuwa nanga ili Hali wanatamani kutoka kundini na kujiunga sehemu zingine.

6. Je, mmewasoma Watanzania vizuri? Study the behavior of the voters and then get to radicalize, nafupisha tu hapa.

7. Je mnazifahamu kanda za uchaguzi? Je ni wap kuna idadi kubwa ya wapiga kura? Je , namba moja wa sasa ana kanda yoyote Tanzania Bara inayomkubali kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake? Jibu ni kwamba Hana zaid ya zenji.

8. Kwanini mkiwa kanda ya ziwa mnawatukania shujaa wao,??? Hata kama alikuwa na mapungufu kwenu, kwao ni mtoto wao, hawezi kuwa mbaya, mlitakiwa kubadilika hapo na ikiwezekana kunadi mazuri yake mengi tu. Hapa watu watawaelewa vizuri kwamba kumbe nanyi mnathamini mchango wake na mna nia ya kuleta maendeleo.

9. Someni siasa za urusi, china Singapore na Magharibi Kisha wekeni kwenye kapu moja. Scout people with big IQ wachana na watu wanaopanda jukwaani kubwata, jengeni hoja my friends kuelekeza 2025, katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Je, mtafanikiwa?

10. What are the rules of power? Kamwe msiache kuungana wanangu. Ruto na Odinga kila mmoja aliungana na vyama kutengeneza nguvu yake, take it as a pilot...acheni konyagi, nionavyo Mimi NJIA ni NYEUPE 2025 kuliko wakat mwingine wote tangu nijitambue kuanzia awamu ya nne kuja hapa.

Watanzania tumechoka kuwa wasindikizaji, tunataka viongozi wazalendo na wanaochukia ufisadi si kwa maneno tu Bali kwa dhamira toka moyoni. Na wakisema tuone Wana maanisha kweli.

Mwisho CHADEMA msijitenge, ukombozi wa nchi yetu ni jukumu letu sote. Hatupendi kuona nchi yetu ikipigwa mnada hivi.

Punguza unafiki, ni chama kimoja tu ndio kinafanya mikutano ya kisiasa CHADEMA, akina Chongolo walijitahidi wakashindwa. Wewe endelea kuandika makala ndefu za unafiki, huku ukijua vyama vipo karibia ishirini.
 
Nyumbu wanadhani kura zutapigiwa mitandaoni ikiwemo Jf.
Huku chini kwa wananchi wapiga kura hali ni tofauti kabisa. Wao ni Magufuli tu, na bahati mbaya mpaka wasomi hali ni hiyohiyo.

Sasa hawa Nyumbu wanadhani wakitukana mtandaoni na majukwaani basi wananchi watawaelewa na kumchukia JPM.

Narudia tena, kwenye uchaguzi Undedogs ambao ni wengi watatushangaza

Nyumbu mwenyewe
 
Back
Top Bottom