econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Katika andiko lako, hoja yenye msingi, na ambayo ndiyo lengo kuu la viongozi wa upinzani ni katiba mpya itakayo waweka madarakani na siyo maendeleo ya nchi, kama ulivyodokeza kuwa katiba mpya is fine lakini mnaidai huku government ikiwa ime relax, no pressure from the citizens. Wananchi wanahitaji maendeleo na si Katiba mpya.
Ili nia hiyo (maendeleo) iwe kweli kunahitajika mifumo shirikishi ya maendeleo na mamlaka za kuwajibisha watendaji wasiotimiza wajibu wao na wale wanaotumia madaraka vibaya kwa manufaa binafsi.
Katiba mpya ndio msingi wa maendeleo. Maana ndio sheria mama. Halafu sio lazima wananchi waandaamane ndio ujue wanataka katiba mpya. Tanzania tuliandika katiba mpya mwaka 1977 na 1984 bila wananchi kuhusika Wala kudai katiba mpya.