The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hatujawasikia kipindi cha magufuli walikuwa bannedMbona wamekuwa popular Sana kwa Sera zao hizo hizo za kumpinga Magufuli miaka yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujawasikia kipindi cha magufuli walikuwa bannedMbona wamekuwa popular Sana kwa Sera zao hizo hizo za kumpinga Magufuli miaka yote
Walikuwa banned mikutano ya hadhara ila mitandaoni walikuwepo tuHatujawasikia kipindi cha magufuli walikuwa banned
CHADEMA sio chama kilichofilisika kisiasa. Magufuli aliitesa CHADEMA na watu wake. Magufuli hamna namna yeyite anaweza kusemwa na CHADEMA kwamba alikuwa ni baba wa demokrasiaCHADEMA mna wakati mgumu Sana kunadi será zenú.
Mnamsema vibaya Magufuli huku wananchi tukimwona ndiyo alikuwa mkombozi wetu.
Hata CCM wameruhusu mikiutano wajue mtaongea nini. Tena huko Mwanza msije mkansema vibaya Magufuli.
Nasubiri Kwa hamu nione agenda zenú, ila kumbukeni bila kuwa mlengo wa Magufuli mtapata tabu Sana
Ileje na nanjilinji Nani nanajua social mediaWalikuwa banned mikutano ya hadhara ila mitandaoni walikuwepo tu
Bando bei gani?Walikuwa banned mikutano ya hadhara ila mitandaoni walikuwepo tu
Haaaaa kumbe ni hawana tatizo mimi natumia kiswaili wewe unatumia kiswahili tatizo ni gani [emoji1787]Wewe una akili gani? Unashindwa kuandika hata neno hawana. Awana ndio mdudu gani?
Usiwafundishe maadui zako cha kusema.Mnapenda siasa za uhasama nyie msio wazalendo.Kuondolewa kwa zuio haramu la mikutano ya hadhara ya siasa ni fursa nyingine inayofungua milango ya kisiasa kujenga na kumarisha demokrasia ya Tanzania wapinzani wanapaswa kuchanga karata zao vizuri katika agenda watakazotoka nazo.
Japo mlikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake mnatakiwa kuachana na kumzungumzia au kulitaja jina la Magufuli kabisa katika majukwaa ya hadhara ya kisiasa. Magufuli haipaswi kuwa mojawapo ya ajenda kwa sababu hayagusi maisha ya raia tena kwa namna yoyote kwa sasa, hata hivyo mnaweza kuwazungumzia watu wake aina ya kina Mnyeti, Gelasius Byakanwa, Makonda, Sabaya, Muro n.k
Ajenda kuu za upinzani zinatakiwa kuwa
1. Hali ya maisha kiuchumi
2. Upatikanaji wa huduma za kijamii
3. Miondombinu
4. Hali ya kidemokrasia
5. Tume huru ya uchaguzi
6. Katiba mpya
7. Mikopo ya nchi
8. Mazingira ya kufanya biashara
9. Matumizi ya serikali
10. Uvunaji na uhifadhi wa maliasili zetu.
Hapa tayari umeshapanic 😂😂😂Watu wanaweza kuudhuria siyo kwa kuikubali chadema ...ukweli chadema ni kama matapishi kwa watz walio wengi ...chadema kimekuwa chama cha wapuuzi ...walamba makalio ya mabeberu
Jiwe lazima atajwe, kuna uchafu wake mwingi sana ambao ulisababisha madhara mengi ila obviously hatakuwa main agenda.Kuondolewa kwa zuio haramu la mikutano ya hadhara ya siasa ni fursa nyingine inayofungua milango ya kisiasa kujenga na kumarisha demokrasia ya Tanzania wapinzani wanapaswa kuchanga karata zao vizuri katika agenda watakazotoka nazo.
Japo mlikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake mnatakiwa kuachana na kumzungumzia au kulitaja jina la Magufuli kabisa katika majukwaa ya hadhara ya kisiasa. Magufuli haipaswi kuwa mojawapo ya ajenda kwa sababu hayagusi maisha ya raia tena kwa namna yoyote kwa sasa, hata hivyo mnaweza kuwazungumzia watu wake aina ya kina Mnyeti, Gelasius Byakanwa, Makonda, Sabaya, Muro n.k
Ajenda kuu za upinzani zinatakiwa kuwa
1. Hali ya maisha kiuchumi
2. Upatikanaji wa huduma za kijamii
3. Miondombinu
4. Hali ya kidemokrasia
5. Tume huru ya uchaguzi
6. Katiba mpya
7. Mikopo ya nchi
8. Mazingira ya kufanya biashara
9. Matumizi ya serikali
10. Uvunaji na uhifadhi wa maliasili zetu.
Uko vizuri, baada ya Jiwe kuzuia umma wa Watanzania wasivae T-shirts za 'Get well soon Lissu' na akafa huku Lissu yuko hai basi endelea kwani Sukuma gang wapo wa kutosha watanunua.Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.
Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya, tena wenye nguvu, usiobezeka..
Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.
Niko hapa naprint za kutosha
Watu wanaweza kuudhuria ila ukaishia kuzomewa tu ...kumbuka magufuli alipo pokea kijiti kwa muhuni mzee wa msoga alivyo pata tabu mikoa ya mbeya watu walikuwa wanakwenda ila wanazomea na hata zito kabwe kakutana na kashi kashi za hivyo walikuwa wanakenda kwa wingi ila wanapiga kelele yuda yudaHapa tayari umeshapanic [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya tuma salamu kwa mataga 50 popote walipo.Watu wanaweza kuudhuria ila ukaishia kuzomewa tu ...kumbuka magufuli alipo pokea kijiti kwa muhuni mzee wa msoga alivyo pata tabu mikoa ya mbeya watu walikuwa wanakwenda ila wanazomea na hata zito kabwe kakutana na kashi kashi za hivyo walikuwa wanakenda kwa wingi ila wanapiga kelele yuda yuda
Ndio sisi CCM, tukiongozwa na BASHE waziri wetu.Nyie ndio mlidai mchele uuzwe nje ya nchi, au nimesahau ?